Ivonya-Ngia
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 703
- 383
Tundu Lissu aliposema nchi inaongozwa na mafashisti wengi hawakumuelewa,,,,na bado muswada wa habari uko njiani.
Sasa mtaelewa alimaanisha nini.
Sasa mtaelewa alimaanisha nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingetungwa sheria ya dharura ya kupambana na mauaji ya albino kwanza
.Hyo ndio dharura
tunaweza jiunga ktk forum za nchi jiran ambazo serikal itakuwa haina mamlaka nazo mfano humu Jf kuna wakenya kibao
Soma interpretation maana ya computer system nafkiri utaelewa wana maana ganiHivi hapo kwenye kifungu cha 16 neno sahihi lilipaswa kuwa ni mfumo wa computer au mfumo wa ki-electronic?
Na mimi sasa nimekaa kama kamati nyuma ya keyboard yangu nikitunga sheria(sheria kandamizi)
kupitia hapa JF.
Ukumbuke kwamba mkurugenzi wa mashtaka anaingia pale ambapo wewe umeamua kwenda kukubali mbele yake kwamba umekubali kosa sasa rufaa ya nini wakati umemfuata mwenyewe ukasaini mwenyewe kwamba unakubaliana na kosa na adhabu mbele yake?Mkuu Informer ilikuonyesha hapa hakuna dhamira njema sec;50
Huu ni utawala wa Imla.Haiwezekani mtu mmoja eti Mkurugenzi wa Mashitaka awe muamuzi wa mwisho na kusiwe na hata nafasi ya kukata rufaa.
Wapinzani wakishiriki katika kupitisha hili,nadhani nitajifikiria kama kunahaja ya kupiga kura hapo Oct.2015
Kama marekebisho ya msingi yatakataliwa wawaache wapitishe wenyewe wenye Nchi(CCM) maana na amini wako watu makini Bungeni watakaoleta maboreho muhimu na yakujenga ,lakini kwa sababu kuletwa kwa msada huu kiuharaka kuna nia ofu ndani yake yatakataliwa.
Suala jingine lenye kuleta mianya na matumizi mabaya ya utawala.Ni hili la Waziri mwenye dhamana kutengeneza Kanuni.
Kanuni hizi ifike mahali zipitie kwenye Kamati ya Uongozi ya Bunge na Kamati ya Katiba na Sheria na ijadiliwe na waipigie kura za wazi.
Tahadhari kwako unaejifamya mtoto wa nyerere.Ndiko tulikofika? All Assad na Gadaf walifanya hivyo, lakini hali ya kibinadamu ni ngumu na ya hatari sana,
Uchina na Urusi walijaribu havyo lakini utandaridhi vimewashinda,
Sasa kwetu si watafunga kila wanayemhisi tu bila ushahidi?
Na wewe acha kutupeleka machaka yako umesoma wapi palipoandikwa hivyosioni haja ya kua na muswada wenye kurasa nyingi wakati wangeweza kuweka maneno machache kua serikali haitaki wananchi tutumie internet basi sio kuuma uma maneno huku dhamira iko wazi
eti usi tume picha ya mtu Bila permission utampata wapi Messi umwombe permission
hii mijitu iliyitunga huu mswada haifai mbinguni wala duniani
Kuna watu humu wanaifurahia hii sheria bila kujua kwamba, imetengenezwa mahsusi ili kuifungia kama siyo kuifuta kabisa Jamii Forums.
Huu ni mkakati maalum wa kuzuia uhuru wa kupata habari hasa ktk kuelekea uchaguzi mkuu.
Hatma ya hili suala liko mikononi mwa wabunge wazalendo na wapenda maendeleo.
JF live long.......
Ni kweli unachokisema.Nakubaliana na wewe Foxbat.. Lakini kwa upande wangu naona tuongeze kitu cha ziada,cha dharura mahususi tu kuhakikisha hawa binadamu wenzetu nao wanaishi kwa amani at least kama wengine ambao hawana tatatizo la ngoziJamani albino si binadamu? Na sheria ya mauaji si ipo? Sasa itengenezwe sheria gani nyingine?
Ngoja ni fute posts zangu zote JF...ninazoziona za hatarii.....Hawa maCCM wameamua, lkn hii itawafanya wapendwe? au ndio jibu la ile hali tete aliyosema JK kwamba nchi yetu inayo?!! ...CCM inakufa kwa kutapatapa sana itaumiza watu wengi mnoo!!
Me nafikiri kabisa hatuwezi kufanya lolote kuzuia hizo sheria.. na kila nchi zina hizo sheria za kudhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii!
Jf ambacho wanatakiwa kujifunza au kuchukua tahadhari ni kuanza moderatio ya aina yake ambayo haitokuwa na huruma na mtu anaye vunja kanuni makusudi na wasitegemee tena watu mpaka wa report abuse kinacho takiwa ni kukakagua kila kinacho anzishwa kwenye majukwaa na kusiwe na huruma tena!
Kwa hali ilivyo ni lazima sheria za namna hii zije japo zinahitaji marekebisho lakini tusitegemee kwa ukuaji wa technology kusiwepo na sheria za namna hii!
Ni kweli unachokisema.Nakubaliana na wewe Foxbat.. Lakini kwa upande wangu naona tuongeze kitu cha ziada,cha dharura mahususi tu kuhakikisha hawa binadamu wenzetu nao wanaishi kwa amani at least kama wengine ambao hawana tatatizo la ngozi