Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 222
- 1,827
Tupambane na Makamba ndugu zangu. Kijana huyu pamoja na kulelewa na TISS lakini hana uzalendo kwa nchi yake. Taarifa za pesa chafu alizopokea anajua zitakuwa leaked hapa JF na hivyo anaelewa hatma yake si nzuri hapo baadae.
Rais atakayeingia Madarakani ajiandae kufahamishwa uchafu wa kijana huyu. Tutamwaga mtama hapa, ikishindikana tutapata namna ambayo Mwenyezi Mungu anajua itafikisha ujumbe.
Imetosha
Rais atakayeingia Madarakani ajiandae kufahamishwa uchafu wa kijana huyu. Tutamwaga mtama hapa, ikishindikana tutapata namna ambayo Mwenyezi Mungu anajua itafikisha ujumbe.
Imetosha