TGInnocent
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 1,088
- 582
FEBRUARY kaona jamiiforums itamfanya akose urais.kwa mawazo yake anadhani watanzania wanamfahamu kama wanavyomfahamu lowasa,kwa hili amebugi na ndio mwanzo wa kuwafanya watu wazidishe imani kwa lowasa. yeye akae na waganga wake washauriane njia nyingine lakini kwa hii tutamdharau sana,mtoto mdogo anakuwa na sheria za kikoloni utafikiri zee la miaka 152. makamba hatukupi urais ng'o hata ufanyeje
Labda huyu ni puppet wa Joseph Makamba