Wangeongeza sheria iwe kali zaidi, kwani watz wanavichwa vigumu sana, na ukizingatia kwamba watz ni washamba wa hii mitandao, kwa hali hiyo wanaingia kwa nguvu kubwa sana hadi wanataka wao wawe juu ya wale ambao wana miaka zaidi ya 50, na wakati huo ni mbumbumbu hata hawajui sheria zinasemaje.