Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo kupata ujauzito sasahivi hawafukuzwi, wana postpone wanarudi waka unaofuata baada ya kujifungua.Makosa yanaweza kusabaisha mwanafunzi kifukuzwa shule: 1. Kuwa na simu au kifaa chochote cha simu
2. Kupigana au kupiga
3. Kuharibu mali ya umma Kwa maksudi
4. Kugoma adhabu
5. Kupata uja uzito/kusabaisha uja uzito/ kutoka mimba.....
Nafikiri inategemea na sheria za shule husika.Shuleni
Viboko mujarabu hadi shati la teacher linaloa jasho maeneo ya kwapa na mgongoni......inatakiwa kuvunjwa mbele ya wenzake na viboko mujarabu vya kadiri kumshukia mwanafunzi
Simu ipondwe na nyundo na mwanafunzi akakae nyumbani siku 21 kisha arudi na Mzazi wake na apatiwe adhabu ya kuchimba visiki[emoji16][emoji16][emoji16]Je, simu hiyo anapaswa kurudishiwa, au kuitaifisha au kufanya nini? Tafadhali nijibu kulingana na sheria inavyosema na sio kwa kuzingatia maadili.
Me nilikamatwa na cm bwenin nilipokua kidato Cha 3Je, simu hiyo anapaswa kurudishiwa, au kuitaifisha au kufanya nini? Tafadhali nijibu kulingana na sheria inavyosema na sio kwa kuzingatia maadili.
Duh pole sana ila ulifanya kosa baya dana.mwisho wa siku simu ulirudishiwa au ilitaifishwa??Me nilikamatwa na cm bwenin nilipokua kidato Cha 3
Nilrudshwa nyumban na barua ya kuludi na mzazi na faini 50k
Sitosahau,walimu walikua wakisoma msg kwenye cm mbele ya baba yangu zile msg zile, walimu walimwambia baba,unasomesha mke wa mtu,nilipigwa na baba yaan walimu ndo kuja kunisaidia Mzee inatosha,
Ukweli ni kwamba ILE cm n yangu ila nilikua siitumii mimi walikua wanatumia wenzangu,mimi sikua babe MIAKA ile
Kila shule ina joining instructions zake. Nina hakika masharti kuhusu simu yapo bayana.Je, simu hiyo anapaswa kurudishiwa, au kuitaifisha au kufanya nini? Tafadhali nijibu kulingana na sheria inavyosema na sio kwa kuzingatia maadili.