Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
Niliipasua assembly mbela ya walimu na wanafunz wote,nikapewa nyundo niibondeDuh pole sana ila ulifanya kosa baya dana.mwisho wa siku simu ulirudishiwa au ilitaifishwa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliipasua assembly mbela ya walimu na wanafunz wote,nikapewa nyundo niibondeDuh pole sana ila ulifanya kosa baya dana.mwisho wa siku simu ulirudishiwa au ilitaifishwa??
hahahhah wanaita viboko vya kadiri yani hadi mwalimu itakapo mpendezaViboko mujarabu hadi shati la teacher linaloa jasho maeneo ya kwapa na mgongoni......
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hahahhah wanaita viboko vya kadiri yani hadi mwalimu itakapo mpendeza
Waziri mmoja alishawahi kusema mwanafunzi akikutwa na simu shuleni afukuzwe mara mojaJe, simu hiyo anapaswa kurudishiwa, au kuitaifisha au kufanya nini? Tafadhali nijibu kulingana na sheria inavyosema na sio kwa kuzingatia maadili.