Kama dingi nimepigwa?.Mtoto hana kosa apate stahiki zote
Daaah hii kitu ni mbaya sana ukikutokea, ni bora angemtumia tu mpira[emoji16][emoji1787][emoji3061] mambo yashaanza….bado trends za watoto wa nje ya ndoa kuanza kuua wazazi waliowatelekeza….Chukulieni rahisi kuwapa mimba wanawake na kurudi jf kubeza singlemoms…..Time will tell.
Mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wa mama.hii imewekwa kwa ajili ya kutunza maadili
"....Sheria hizi zibadilishwe..."
Yaani wabadilishe Quran?
Waedit? watakuelewa Shehe?