Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
"....Sheria hizi zibadilishwe..."
Yaani wabadilishe Quran?
Waedit? watakuelewa Shehe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"....Sheria hizi zibadilishwe..."
Yaani wabadilishe Quran?
Waedit? watakuelewa Shehe?
Tena mara mia au angemwaga nje au angepiga nyeto au kumezesha p2 kwa lazimaDaaah hii kitu ni mbaya sana ukikutokea, ni bora angemtumia tu mpira[emoji16]
Kumbuka, mali za baba zimetafutwa na kusimamiwa kwa msaada wa mke mwenye watoto wa ndoa pamoja na msaada wa watoto wa ndoa. Sasa we utoke ulipotoka uje udai kivipi?Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?
Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Watoto hawana hatia mkuu. Hebu wahurumie.Mambo yao waachie wenyewe.
Kwa akili watanisome dua kuwa naharibu dini Yao ila ukweli ni kwamba wanavofanya sio basi watoto wote majina ya baba zao yafutwe yawekwe ya Babu zao upande wa mama maana tayari dini Yao inamkana mtotoUsiongelee kwenye jukwaa hili. Katafute maiki usimame wakuone ndio Utajua rangi zao
Mtoto Hana makosa na akifanikiwa mzee anaanza kujisogeza yaani kama mm utakula vichwa live anilaani tusio kila mtu wa kuzaa nae mtazaa wakifa mtelea wenyewe imetoka hio
m dadazangu niwamwagia maji na mafuta ya mwaposaa kamwe msizae bna waume za watu wamebaki wawili hawa nawapigia maombi saa nane usiku waolewe tu waondoke ndan
Wanawake hawana makosa wenye makosa ni sisi kwanini umtongoze afu umuahidi utamuoa. Huu ni shetani mtoto anakuwa kama nunda vileDAWA NA NYIE MABINTI KABLA YA KUZAA ULIZEN WANASHERIA WATOTO WENU WATAKUJA KURITHI AMA LAH
USIJISHADADUE OOH ANANIPENDA ANA HELA AKINGOKA MTAISHIA KUHUDHURIA MSIBA NA KUWEKA SHADA TU MENGINE B MKUBWA ANAYAMALIZA
DINI ILE WANARITHI KAMA KAWAIDA
mtoto wa kambo ni tafauti na nje ya ndoa. Wa kambo ni wa mama tafauti lakini amemzaa ndani ya ndoa.Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
haya Mungu anajua hiyo biblia iliyoandikwa na Mrumi?Tanzania sio taifa la kiaarabu, waafrika tumelaaniwa huenda usikute hata Mungu haijui hio Quran
Wa nje kwa mwanamke pia hawezi kurithi, alimradi umethibitisha kama siyo wa kwako.je ushawahi kutunza mtotommpaka la saba ukaamua kupimq dna na kukuta si wako??
je wa nje kwa mwanamke nae anarithi
kwa sheria ya dini mtoto wa nje ya ndoa hawezi kuitwa kwa jina lako kama binti fulani au bin fulani.Kwa akili watanisome dua kuwa naharibu dini Yao ila ukweli ni kwamba wanavofanya sio basi watoto wote majina ya baba zao yafutwe yawekwe ya Babu zao upande wa mama maana tayari dini Yao inamkana mtoto
JE?Kwa upande wa ukoo hawawezi kukataa maana Kwa kiukoo mtoto wa kwanza ndie mrithi haijarishi niwa nje au ndani wao hawajui hayomtoto wa kambo ni tafauti na nje ya ndoa. Wa kambo ni wa mama tafauti lakini amemzaa ndani ya ndoa.
Kwa bahati nzuri au mbaya kwako hatuwezi kubadilisha sheria kwenye Qur'ani.
Hiyo itakuwa imekula kwako au kwa mpwa wako.
Lakini anaweza kuruka kipengele hichi kwa kumpa chake kabisa wakati yuko hai. Au sheria ya mirathi inaruhusu yule asiyekurithi umuandikie mpaka moja kwa tatu ya mirathi yako. Na hii ni kuwa mtu anao uwezo wa kumuandikia urithi yeyote yule lakini isizidi moja kwa tatu ya thamani ya mali yake.
Ikiwa anao hata watoto kumi wa nje basi itakuwa hiyo hiyo moja kwa tatu.
Exactly my thought"....Sheria hizi zibadilishwe..."
Yaani wabadilishe Quran?
Waedit? watakuelewa Shehe?