Sheria ya Mirathi ya Kiislamu kwa mtoto wa nje ya ndoa ibadilishwe

Sheria ya Mirathi ya Kiislamu kwa mtoto wa nje ya ndoa ibadilishwe

Ukristo hauelezi Mali za marehemu zitagawanywa vipi wala mahali italipwa vipi na kama kuna maelezo hayo kwenye biblia ni utamaduni wa eneo ilipoandikwa Biblia.

Ukristo sio utamaduni ila uislamu ni utamaduni wa sehemu flani ambao umekua ni dini.

Hivyo ishu za mgawanyo wa Mali kwenye ukristo zinategemea na Mkristo husika Yuko eneo lenye utamaduni gani kwani sio suala la dini.

Ukristo hauna habari ya mahali ila utamaduni wa eneo husika ndio unamahali.

Mkristo kama Alizaa nnje ya ndoa Mungu anaweza kumsamehe.
Nilizungumza kuhusu hizi ishu za wakristo jina kama wewe ambao mnapenda kuongelea mambo ya kidini for personal interest mnakuwa wabushi na wagumu kuukubali ukweli.
We ni mpumbavu (katazame maana ya neno mpumbavu)
 
Ukristo hauelezi Mali za marehemu zitagawanywa vipi wala mahali italipwa vipi na kama kuna maelezo hayo kwenye biblia ni utamaduni wa eneo ilipoandikwa Biblia.

Ukristo sio utamaduni ila uislamu ni utamaduni wa sehemu flani ambao umekua ni dini.

Hivyo ishu za mgawanyo wa Mali kwenye ukristo zinategemea na Mkristo husika Yuko eneo lenye utamaduni gani kwani sio suala la dini.

Ukristo hauna habari ya mahali ila utamaduni wa eneo husika ndio unamahali.

Mkristo kama Alizaa nnje ya ndoa Mungu anaweza kumsamehe.
Uislamu si utamaduni wa eneo fulani
Kabla ya kuongea fanya utafiti kwanza.

Wewe unawakilisha 80% ya wakristo wote duniani ambao hamna muda wa kusoma maandiko matakatifu, mkimezeshwa maneno mnaamini Kuwa ndio maandiko.
Kasome ukijua utanitafuta sa hivi unaropoka tu huna ulijualo.
 
Sisi watoto wa nje ya ndoa kwa kingereza ndo wanatuita “bastards“??…………. Anyway sijawah kujilaum hata siku moja kua mtoto wa nje ya ndoa..!
kunawengine wanawaita son of bitch
 
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?

Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?

Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.

Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?

Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
Asante kwa taarifa hii
 
kwenye uislamu hakuna mtoto wa kwanza wala wa mwisho, wote wanarithi kwa mujibu wa sheria hata wakiwa 30, alimradi wawe wamezaliwa ndani ya ndoa.

Urithi unakwenda kama ifuatavyo:
Wake zake (1 mpaka 4) wanarithi robo ya mali yote halafu watagawana
Watoto wa kiume watarithi kwa ratio ya mbili, wa kike kwa moja
Ikiwa mfano kijana amefariki lakini wazazi wake wapo hai, nao pia watapata urithi (nimesahau ngapi)

Mgawanyo huu unakwenda kwa kutumia LCM kwa wale wataalamu wa hesabu.
Hizo hesabu na hiyo migawanyo aliweka mungu au binadamu tuu kama sisi, usanii mtupu
 
Ona unavyojidhihirisha dini jinsi ilivyo na ubaguzi,so wa kulaumiwa ni mama wa mtoto na sio wote?? Baba yeye hapaswi kulaumiwa?
Sheria ya biblia kuhusu wazinifu inasemaje?

Hapo sasa.
 
mtoto wa nje ya ndoa hana chake,ila baba anaweza kumkatia chochote kitu kwa huruma yake
Aya historia ya mtume unaijua vizuri kwaio na yeye alikuwa haramu maana walikuwa hawafungi ndoa kipindi hicho
 
Sisi watoto wa nje ya ndoa kwa kingereza ndo wanatuita “bastards“??…………. Anyway sijawah kujilaum hata siku moja kua mtoto wa nje ya ndoa..!
Hapana, mnaitwa "sons of a pagan" by Agoro Anduru!
 
Kwa akili watanisome dua kuwa naharibu dini Yao ila ukweli ni kwamba wanavofanya sio basi watoto wote majina ya baba zao yafutwe yawekwe ya Babu zao upande wa mama maana tayari dini Yao inamkana mtoto
Sasa aliyewaambia waweke majina ya baba zao ni nani? Dina ya kiislam haina muda wa kufanya negotiation bali ni kilichoandikwa kwenye qur an tu
 
Kwanza kabisa.
Muislamu Safi acha Hawa waislamu majina wanaokunywa pombe na kufuga mbwa.
Muislamu Safi anaruhusiwa kua na mtoto nje ya ndoa?
 
Huyo anayezaa au kuzalishwa nje ya ndoa ni Muislamu? Kama jibu ni ndiyo basi ni utapeli, maana huwezi kuzalisha tatizo na kujifucha kwenye kivuli cha dini.

Mtoto hana kosa. Maana hakushirikishwa wakati mnapeana mapenzi na yeye ni matokeo tu. Apewe stahiki zake mapema kabla baba yake hajafa.
 
ISLAM INASEMA NINI KWA WATOTO WA KUZALIWA INJE YA NDOWA?

JIBU
Sifa zote njema anastahiki Allah Aliyetukuka Mola wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) Ahli zake, Sahaba zake (Radhiya Allaahu ‘Anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.

Katika Uislamu kitendo hicho cha zinaa ambacho kimefanywa na mwanaume na mwanamke ndio makosa na waliofanya wanafaa waadhibiwe hapa duniani ili wasafishwe kwa kosa lao hilo hadharani. Na Allah (Subhaanahu Wa Ta’ala) Ametuagizia Tusikaribie kabisa zinaa (17: 32). Lakini tufahamu ya kwamba yule mtoto anayezaliwa hana hatia yoyote. Allah (Subhaanahu Wa Ta’ala) Anasema:

“Na kila nafsi haichumii ila nafsi yake. Na habebi mwenye kubeba mzigo wa mwenziwe. Kisha marejeo yenu ni kwa Mola wenu Naye Atakuambieni mliyo kuwa mkitofautiana” (6: 164).

Na Mtume (Swalla Allaahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) amesema: ((Kila kinachozaliwa kinazaliwa katika Uislamu .....)) l-Bukhaariy).

Na haifai kwa Muislamu kumuita mtoto aliyezaliwa kwa jina la mwana-haramu kwa sababu mtoto mwenyewe si wa haramu bali kitendo chenyewe ndicho haramu. Na ieleweke kuwa mtoto huyu hataitwa kwa jina la huyu mwanaume aliyezini na mamake kwa sababu kisheria si mtoto wake wala hawa wawili hawarithiani kabisa. Mtoto huyu hatamrithi huyo mwanaume na huyo baba hatamrithi mtoto huyo. Lakini mtoto anaweza kumrithi mama yake na mama kumrithi mtoto wake.
Tanbihi kwa kila mmoja wetu ajichunge sana ili asiingie katika madhambi haya ya zinaa. Na ndio sheria ikafanya ndoa kuwa rahisi na ikaweka adhabu kali kwa wenye kuzini.

Source: Watoto Wa Nje Ya Ndoa Nini Hukmu Yake? | Alhidaaya.com
 
Concern yangu ni kwamba kama dini inaonyesha kumbagua kiumbe ambae hakuamua pa kuzaliwa.Kama sheria ingekuwa inawaadhibu hao waliomleta sawa ila kama ni mtoto ndo anakomolewa then hakuna cha kunifanya niende kujifunza kwenye mirathi
Wa kulaumiwa ni wazee wako ambao wanaijua sheria ya dini inavyosema nao wakafanya yao bila ya kufata sheria ya dini. Sio dini ya kulaumiwa hapa
 
Kwakuongeze:
Je tunapaswa kusubiri mda gani baada ya kumzika baba ili kuwasubiri watoto wa nje ya ndoa? Maana Yeye ndie anawajua na alipokuwa akiwatengeneza alikuwa peke yake na haijulikani alizaa na wanawake wangapi!
Hapo labda kama aliwaambia marafiki zake wa karibu otherwise it's a big problem.
 
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?

Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?

Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.

Wanasema kwamba mtoto wa kambo ni mali ya mama hii inakuaje aisee?

Sheria hizi zibadilishwe ili kulinda haki ya mtoto katika taifa hili kwasababu inamharibu mtoto kisaikolojia anajiona kama amelaaniwa kuja duniani .
unaweza kunipa andiko toka kwenye Quran tukufu ikithibitisha hili moja kwa moja!?
 
Back
Top Bottom