Ukirudi mwambie shoga ake aondoke ili umalizane nae wewe mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sijamuona hivyo.Basi kuna utaratibu wake maalum ambao unakubalika kwa misingi ya ki-fiqh.
Umemuona kabisa kwa macho yako uume wa jamaa upo ndani ya uke wa mkeo?? Hapa haitakiwi iwe umemuona sijui katokea ghetto wala nini mzee. Twende taratibu tutaelezana tutafika
Sijasema hivyo Mbona?Sio siku zote anayesalitiwa amefeli jamani... Nyege haziangalii pa kutokea.
Mmmmh😵😵Sijasema hivyo Mbona?
Mkuu nipo idara husika, aina ya kesi yako ina changamoto kwa kweli.
Niseme tu kutokujua idadi sahihi ya mali ulizonazo sio kitu. Mahakama ikitaka kujua unachomiliki itajua tu.
Kisheria yule bado ni mkeo hata baada ya kumuachia kila kitu ukaja kuanza maisha mapya na kumiliki hizo mali ulizonazo bado kuna gawio linalomuhusu kisheria kutoka kwenye hizo mali ulizo nazo.
Ulifanya kosa kama kumpa talaka ilibidi umpe wakati ule ambao ulimuachia kila kitu.
Maswali ya kujiuliza?
Je, Wakati unamuachia kila kitu uliandikishana nae au ulifanya kumsusia?
Mahakama haiwezi kutambua vitu ulivyomuachia kama mgao wa mlichochuma mkiwa pamoja ikiwa ulimuachia kienyeji.
Inahitaji upate mtu wa kukutetea ila kisheria kesi yako inabidi ianzie mahakama ya mwanzo ambayo huwaga inatakiwa muhusika awepo si muwakilishi na hata wakili hatakiwi.
Endapo kesi ya ikaisha na huyo mwanamke akashinda utahitaji kukata rufaa kwenda Mahakama ya wilaya husika ambapo hapo una uwezo wa kumuajiei wakili atakaeisimamia hiyo kesi.
Ila mara vipengele vingi kwenye sheria ya ndoa vinam,beba mwanamke hasa ikiwa mna watoto mliozaa pamoja.
well, kisheria ni kwamba kuanzia mahakama kuu kuja mpaka mahakama ya mwanzo zote zina uwezo wa kusikiliza kesi za talaka na migawanyo ya mali, na mawakili wanaweza kwenda kuwateteni nyie wataliki kuanzia mahakama ya wilaya kuja mahakama kuu.
sasa hakuna ndoa itakayo vunjwa kama haijapitia baraza la ndoa la kata, kwaio kwenye baraza huko mtathibitishwa kwamba sasa hamuwezi kua pamoja mnatakiwa muende mahakamani mkavunjiwe ndoa na mali zigawanywe rasmi. sijui mkeo aliwezaje kwenda kwenye baraza mwenyewe na akapitishiwa kua sasa aende mahakama kuu ku process talaka, labda ulipotea kwa miaka zaidi ya mitano bila kujulikana uko wapi then waka assume umekufa 'pressumption of death'.
usiogope, mali ulizo zipata sasa ukiwa hauko na uyo mwanamke ni zako na haziwezi kuhesabiwa kama ni matrimonial properties, sheria ya ndoa ina ruhusu wana ndoa kua na mali zao apart bila shida na hazitousishwa na maswala yao ya ndoa, na vile vile endapo kutatolea mgawanyo wa mali, mali zitakazo gawanywa ni zile ambazo mlizipata wakati mkiwa wote kwenye ndoa na hapa itaku favor wewe zaidi ambae ukiamua unaweza kudai mgawanyishwe mali, huku hizi zako za sasa za hapa dar zikiwa safe bila shaka yoyote.
mali ulizo nazo sasa ni zako, ulijitaftia mkiwa mko separate kitu ambacho sheria ya ndoa inakijua.
wewe kutokuwepo nchi hio siku kesi haiwezi kuamuliwa exparte(upendeleo wa kuskilizwa kwa mtu mmoja) ila itahairishwa tu na useme siku utakayo kuwepo, lakin pia unaweza ajili mwanasheria akawa ana kuwakilisha au unaweza mpa mtu nguvu kwa kutumia power of attorney na mambo yakaenda vizuri tu.
shida sasa na ubaya watu wa humu jf tunawashauri kweli, tatizo hamletagi mrejesho wala hamtoi ata hela ya bia nyie mpo tu na kusema ahsante basi wakati maarifa haya ni mazito tunayo wapeni.
wakili.
well, kisheria ni kwamba kuanzia mahakama kuu kuja mpaka mahakama ya mwanzo zote zina uwezo wa kusikiliza kesi za talaka na migawanyo ya mali, na mawakili wanaweza kwenda kuwateteni nyie wataliki kuanzia mahakama ya wilaya kuja mahakama kuu.
sasa hakuna ndoa itakayo vunjwa kama haijapitia baraza la ndoa la kata, kwaio kwenye baraza huko mtathibitishwa kwamba sasa hamuwezi kua pamoja mnatakiwa muende mahakamani mkavunjiwe ndoa na mali zigawanywe rasmi. sijui mkeo aliwezaje kwenda kwenye baraza mwenyewe na akapitishiwa kua sasa aende mahakama kuu ku process talaka, labda ulipotea kwa miaka zaidi ya mitano bila kujulikana uko wapi then waka assume umekufa 'pressumption of death'.
usiogope, mali ulizo zipata sasa ukiwa hauko na uyo mwanamke ni zako na haziwezi kuhesabiwa kama ni matrimonial properties, sheria ya ndoa ina ruhusu wana ndoa kua na mali zao apart bila shida na hazitousishwa na maswala yao ya ndoa, na vile vile endapo kutatolea mgawanyo wa mali, mali zitakazo gawanywa ni zile ambazo mlizipata wakati mkiwa wote kwenye ndoa na hapa itaku favor wewe zaidi ambae ukiamua unaweza kudai mgawanyishwe mali, huku hizi zako za sasa za hapa dar zikiwa safe bila shaka yoyote.
mali ulizo nazo sasa ni zako, ulijitaftia mkiwa mko separate kitu ambacho sheria ya ndoa inakijua.
wewe kutokuwepo nchi hio siku kesi haiwezi kuamuliwa exparte(upendeleo wa kuskilizwa kwa mtu mmoja) ila itahairishwa tu na useme siku utakayo kuwepo, lakin pia unaweza ajili mwanasheria akawa ana kuwakilisha au unaweza mpa mtu nguvu kwa kutumia power of attorney na mambo yakaenda vizuri tu.
shida sasa na ubaya watu wa humu jf tunawashauri kweli, tatizo hamletagi mrejesho wala hamtoi ata hela ya bia nyie mpo tu na kusema ahsante basi wakati maarifa haya ni mazito tunayo wapeni.
wakili.
Vipi kama mliishi kwa makubaliao mutual tu, kwa miaka mingi tu inayozidi kumi, na mmefanya mengi pia. Inapofikia hatua ya kuachana mmekubaliana pia kuachana bila ugomvi wowote na hamtaki kushirikisha mtu yeyote kusuluhisha kwa sababu mmeshakubaliana uachana kuna njia yoyote ya kufuata kisheria ili baadae kusiwe na msuguano hasa kwenye mgawanyo wa mali. Mtu anaweza akaridhika na mlivogawana leo lakini baadae shida zikimshika analeta story tofauti!
Mahakama inatambua ndoa ya watu walioishi pamoja kuanzia miaka miwili na jamii inayowazungua wawe wanatambua kwamba nyie ni mke na mume.
Kwaiyo kama mnataka kutengana ni vizuri mkaenda makahamani mkatengana na kugawana mali na kupewa maelekezo jinsi ya kulea watoto kama wapo? Haya yote yatafanyika kwa maandiashi na kuhusu mali mtagawana kwa kadri kila mmojawenu alivyoshiriki
Mlango Wa kutokea Upo n uamuz wako tu!! Soma Kumbukumbu la Torati 24:1Pamoja na sheria za kuvunja ndoa kuwepo sishauri wana ndoa kuvunja ndoa zao.Ndoa zinahitaji uvumilivu sana.Kuna dhehebu fulani wao wanasema ndoa ni nyumba yenye mlango mmoja tu wa kuingilia,hakuna mlango wa kutoka nje!
Mathayo 19:9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Na hasa ukizingatia kwamba ndoa inafungishwa na mawakala tu wanaoganya kazi ya Mungu wakati huohuo wakiwa ni binadam wenye milango ya faham ambao wanaweza kudanganywa vzuri sana. Ndoa ingekua perfect kama Mungu mwenyewe angesimama kufungisha, la sivyo wanadamu waweza ungisha ndoa bado ikawa batili (maana yake angesimama Mungu mwenyewe asingefungisha).Siyo kila kinachoitwa ndoa kina baraka na kibali cha Mungu. Tunazoita ndoa nyingi ni machukizo mbele za Mungu,unakuta zimefungwa kibatili,kwa kufoji na kudanganya mambo,nyingi zinafungwa kwa mtazamo wa sherehe na sifa ya kuoa ama kuolewa siyo dhana ya umilele.
Watu wanajiita wapo na ndoa lkn wanaishi kila mmoja na hamsini zake,hawafuati taratibu anazoagiza Mungu,nyingi ni ndoa vyeti,wengi wanafunga harusi si ndoa.
Km hamfuati misingi na hamkufuata misingi aagizayo Mungu hiyo ni chukizo,hivo siyo kila ndoa uihusianishe na maamrisho ya Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaweza fungua shauri la kuomba mgawanyo wa mali.Vipi kama mliishi kwa makubaliao mutual tu, kwa miaka mingi tu inayozidi kumi, na mmefanya mengi pia. Inapofikia hatua ya kuachana mmekubaliana pia kuachana bila ugomvi wowote na hamtaki kushirikisha mtu yeyote kusuluhisha kwa sababu mmeshakubaliana uachana kuna njia yoyote ya kufuata kisheria ili baadae kusiwe na msuguano hasa kwenye mgawanyo wa mali. Mtu anaweza akaridhika na mlivogawana leo lakini baadae shida zikimshika analeta story tofauti!
Khaah kumbe!Asante Mtumishi.Mlango Wa kutokea Upo n uamuz wako tu!! Soma Kumbukumbu la Torati 24:1
Sent using Jamii Forums mobile app