Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Umuhimu wa kutokuoa ndio unakuja hapa.
 
Nimefungua shauli mahakama ya mwanzo magu, nimempelekea samasi anandai kesho anaondoka kwenda kwao DODOMA KWA AJILI YA LIKIZO KWA HIYO MPK ARUDI. Kila mara huwa anapenda kabisa kunichenga chenga sasa sijui yeyey anawaza nini!!
 
Nimefungua shauli mahakama ya mwanzo magu, nimempelekea samasi anandai kesho anaondoka kwenda kwao DODOMA KWA AJILI YA LIKIZO KWA HIYO MPK ARUDI ....Kila mara huwa anapenda kabisa kunichenga chenga sasa sijui yeyey anawaza nini!!!
Kwann unaonekana kama Mdhaifu kwa uyo mwanamke?

Janja gan alizonazo mpaka uhisi anakuchenga chenga?

Anakufanyia ivo sababu anajua Huyo jamaa alonaye haweze NA HATOWEZA kumuoa .

So nikama anavuta vuta muda kwa kukuweka kiporo , utashangaa siku moja anarudi kwa lugha Fulani ivi ya kilzembe. Ila kwakua unaudhaifu utakubaliana naye.

Mimi nijuavyo, MTU ukimpa Samansi. Maana Yake ni Sheria ndio imemuhitaji kufanya hivo.

Je, anapinga Sheria au lah?

Kama amekuchenga, na wewe samasi umehakikisha imemfikia na majibu alokupa ni hayo, yahifadhi tu hayo majibu ili Yaje kua ushahidi ..... Ikiwezekana izo meseji ziweke + na hata mnapoongea katika simu wee uwe unamrekodi .


Ni Busara kurudi na kutoa Taarifa kua nmempa samasi lkn kajibu moja mbili.

Wao watamuandikia tena Samasi... Asipotokea maana yake ni FAIDA KWAKO. Na ndo mwanzo wakupata Ushindi .

ACHA KURUHUSU MWANAMKE ALOSHINDWA KUKUGEUZA KUA MSHINDWAJI.

UNAKAA MIAKA MIWILI??? BILA NDOA ,BILA KUMJUA MKEO, ALAFU NAYE UNAWAZA WAZA NA KULIA LIA
 
Vladimirovich Putin, Asante kaka kwa mawazo na busara zako , ukweli hata mimi naona kabisa ana buy time kwangu

Nimeshaenda leo kutoa taarifa na wao wameandika kwenye jalada nilofungua ......!!

Nitajitahidi sana maana kanipotezea muda wangu mwingi sasa NAUGUZA MAMA YANGU , BILA MKE NA AMEPOOZA ...nitoke kazini shughuli zote mimi

Natamani sana nilikamiloshe hili ...ili niwe huru kweli kweli
 
Mkuu, Kuna vyeti vya ndoa vinavyotolewa na mashirika ya kidini, mfano Bakwata ama Catholic, je ndoa yenye vyeti hivyo bila cheti cha serikali ni ndoa halali kisheria?
 
Leo hii tutajadili kuhusu 'presumption of marriage ' yaani 'Dhanio la ndoa '
Stay tuned, ngoja nikapate lecture kwa mdogo wangu ambaye ni mwanasheria nikirudi nakuja kumwaga madini
 
Ikitokea mimi mwanaume nimeoa mwanamke mwenye mali huku mimi sina kitu ila tukaendelea kufight pamoja na tukaishi na kuzaa watoto wawili. Ikitokea tukapeana talaka mali tutagawana??
Mali hamtagawana hadi pale ithibitike kuna mchango ulioutoa ww kwenye kupatikana Mali hiyo! Yaani Kama ulimkuta na nyumba halafu ndani ya ndoa mkaboresha hiyo nyumba hapo itakuwa sawa
 
Waungwana Mimi sio mdau Sana wa JamiiForums lakini mara kadhaa nimepata msaada hapa.

Leo walengwa ni wale wenye uelewa wa sheria kwa uzoefu au kukaa darasani. Niliwahi kuomba ushauri humu kuhusu kusalitiwa na mama watoto, sasa hali imekuwa mbaya zaidi. Kwa kifupi, ni kwamba tulikubaliana kuishi pamoja nilitoa mahari na nikakabidhiwa mwanamke ila hatukufunga ndoa kanisani.

Mwenzangu amekuwa akinisaliti na bahati nzuri ushahidi ninao, amekuwa mtu kisirani muda wote bila sababu. Watoto ni kama hawajali sana, bize na mchepuko.

Nimezungumza naye Mara kadhaa bila mafanikio. Hivi karibuni nimenasa masiliano yake na mchepuko wake. Nikawashirikisha kaka zake (shemeji zangu) walichukulia rahisi sana. Ni Kama wanamtetea, hawakumuonya. Kiukweli nikakata tamaa na mimi nikawa bize sasa, don't care. Yeye akilaumu kwamba nimemdhalilisha mbele ya jamii kwa kuweka wazi yale mazungumzo.

Sasa ameenda baraza la kata kudai talaka sababu ni kwamba simjali. Kesho natakiwa kufika kujibu hoja. Yajayo najua hayafurahishi, naombeni msaada wa jinsi ya kulikabili hili. Ninachojua ni mbinu ya kuseparate na mimi ili awe huru.

Msaada wa haraka tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria inasema baada ya miezi 6 Kama sikosei tayari Ni mke.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni miaka miwili mkiishi chini ya paa moja kama mume na mke, yaani ukathibitishe mahakamani kwamba mlikuwa mkiishi kama mume na mke kwa siku 730 chini ya paa moja, sio mmoja yupo Mwanza halafu mwingine yupo Dar then mnaonana wiki 2 then kila mtu anaondoka kwenye shughuli zake, hizo siku ambazo hamkulala chini ya paa moja hazihesabiwi, hata ukathibitisha mliishi kwa siku 729, ilimradi hazijafika 730 bado hai-qualify, na hata ukithibitisha bado itabidi udhibitishe kwamba mliishi kama mume na mke na sio kaka na dada au mwenye nyumba na house girl wake.

Hiyo itawezekana kama tu mlifunga kamera chumbani kwenu kwa siku zote 730, ah labda kama kuna jirani alikuwa akiwachungulia kwa siku zote 730 na akathibitisha kwa ushuhuda kwamba mlikuwa mpo katika 'mazingira' ya mume na mke wakati akiwachungulia kwa siku zote 730. it sounds ridiculous but the law is the law!

Na hapa ifahamike kwamba kuzaa watoto ndani ya nyumba hata mahouse girl huwa wanazalishwa na hawajawahi kuwa mke, maana huitaji kulala na mtu kwa siku 730 ili kumpa ujauzito, ni siku moja tu, labda uzae watoto 730 ndio iyakuwa full proof kwamba mliishi kama mumu na mke chini ya paa moja kwa siku 730, na tena watoto wote 730 wawe wa huyo unaedai ni mumeo, na haoa ni DNA tu ndio inaweza kuaminika, hivyo itabidi tupime DNA ya watoto wote 730, the law is the law!. Kwahiyo ili kuondoa utata, watu wawe wanafunga ndoa, hata kama ni ya kimila, wafunge ndoa.
 
Km ulitoa Mahari hiyo ni ndoa kimila.
Mila ya nani? Kwa kifungu kipi cha sheria, kiweke hapa. Pre-requisites ili iwe ndoa ni:

1.) Lazima wahusika wote wawe wanafahamu kwamba kinachoendelea hapo ni ndoa, sio unamuita mtu kwenye birthday party kumbe ndio unamfungisha ndoa bila yeye kujua, hata kama ni ndoa ya kimila, lazima wote wawe fully aware kwamba tunafunga ndoa ya kimila, na mashahidi lazima wawepo na wajue kwamba wanachoshuhudia ni ndoa na si mahari au ubatizo au birthday au engagement au kingine chochote. Na wahusikanwote lazima wawe timamu wa akili, wasiwe wameleweshwa au ni mataahira wa akili, wawe timamu kwa kila hali, namuhimu sana wasiwe wamelazimishwa kwa namna yoyote ile, iwe kwa blackmail au vitisho vya namna yoyote ile, kinyume cha hapo ni hiyo ndoa ni NULL & VOID.

2.) Ndoa iwe ya kimila, ya Kanisani au ya msikitini ni lazima pawe na mfungishaji ndoa ambae anatambulika kuwa na mamlaka ya sect. hiyo kufungisha ndoa, kama ni ya kimila basi awe mzee wa kimila na ajue kwamba anafungisha ndoa na si kupokea mahari, kwa kanisani awe padri halali na ajue kwamba anafungisha ndoa, kwa msikitini awe ni sheikh halali na ajue kwa anafungisha ndoa.

Sasa hapo kwenye mahari kuwa ndoa ya kimila sijui ni muujiza upi unataka kuutumia, kwamba MC ndio mzee wa kimila anaefungisha ndoa au ni nani? Kwamba mtu anaenda kutoa mahari ili aweze kufunga ndoa aliyoipanga (iwe ya kimila, kanisani, msikitini) ghafla anakuja kuambiwa ameshafunga ndoa tayati hivyo hiyo ndoa nyingine ya kimila / kanisani / msikitini haina haja tena, kwahiyo hii imeshakiuka sharti la kwanza kwamba wahusika lazima wajue kwamba wanafunga ndoa na si vinginevyo.
Hivi mnavyorahisisha haya mambo hivi huwa mnajazanaga upumbavu wapi?

Na kama ndoa si ya Kimila, si ya Kanisani na si ya msikitini basi inayobaki ni 'assumption of marriage' tu, na hii ndio impossible kabisa kudhibitisha its impossible, soma post no. 7.
 
Back
Top Bottom