mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Acha yaongezeke tu. Bora uteseke kwenye chakoHiyo Sheria ikifutwa kutakuwa hakuna maana ya ndoa, wanawake watakuwa jeuri mara mbili ya Sasa na watakuwa wezi na wasiokuwa na upendo Wala kujali maana watajua hawana Chao..
Kiufupi mateso yataongezeka Kwa wanaume kuliko ilivyo Sasa.