Sheria ya Ubakaji: Maswali yangu kuhusu adhabu ya miaka 30 ya kumbaka mwanafunzi

Sheria ya Ubakaji: Maswali yangu kuhusu adhabu ya miaka 30 ya kumbaka mwanafunzi

nyambaterito

Member
Joined
Aug 11, 2022
Posts
51
Reaction score
46
Hebu tuiangalie sheria hii ya ubakaji, kwa wanafunzi. Kila mmoja anajua kuwa sheria ya ubakaji kwa upande wa mwanafunzi ni miaka 30 kwa upande wa mwanaune na kuachishwa masomo kwa upande wa mwanamke. Hapa nataka niliseme jambo kuhusu hii sheria na. mambo yenyewe ni kama matatu hivi.

1. Nani atahusika na kutoa huduma kwa yule mjamzito na mtoto atakapozaliwa? Maana tunafahamu familia zetu nyingi hali za kimaisha sio mzuri?

2. Je, Baba akifanikiwa kutoka jela anakuwa na haki na yule mtoto au inakuwaje hapa?

3. Je, Ustawi wa jamii watahusika na hili endapo mtoto atakosa malezi ya mazazi mmoja(Baba) ikiwa sheria inembana baba?

NB: Nachotaka kusema hapa kwa mtazamo wangu ni kuwa iandaliwe sheria ambayo itawabana hawa wahusika kwa namna yoyote ambayo sio lazima kuwafungia kwa miaka hiyo yote 30 na kuwafanya waweze kuwahudumia hao watoto na mama zao basipo na Manyanyaso yoyote na pia iwekwe sheria fulani itakayo mruhusu mwanafunzi kurudi shule kwa yule atakae pendelea kuendelea na masomo.
 
Makosa mengi kwenye sheria ya kanuni na adhabu (The Penal Code) na sheria nyingine za adhabu inabidi yapitiwe upya, maana hayaendani kabisa na mazingira ya Tanzania. Tunalazimisha mambo, ndiyo maana watu wengi huwa wanaishia kuumizwa, sehemu ambapo kwa akili ya kawaida wangeachwa huru.

Ulichokisema ndugu mtoa mada nyambaterito kina uhalisia, lakini binafsi naomba nikujibu kupitia swali jingine. Kama mtu kafanya kosa la kuua halafu ambalo adhabu yake ni kunyongwa, halafu ana watoto wadogo mapacha watatu, ustawi wa jamii watafanyaje hapa?

Mbali na hapa, tuseme bahati mbaya mama wa hawa watoto amefariki wakati wa uzazi. Hapa nani atakuwa na majukumu ya kulea hawa watoto mayatima?

Umeongea jambo la msingi sana ambalo inabidi lifanyiwe mjadala mpana sana.
 
Makosa mengi kwenye sheria ya kanuni na adhabu (The Penal Code) na sheria nyingine za adhabu inabidi yapitiwe upya, maana hayaendani kabisa na mazingira ya Tanzania. Tunalazimisha mambo, ndiyo maana watu wengi huwa wanaishia kuumizwa, sehemu ambapo kwa akili ya kawaida wangeachwa huru.

Ulichokisema ndugu mtoa mada nyambaterito kina uhalisia, lakini binafsi naomba nikujibu kupitia swali jingine. Kama mtu kafanya kosa la kuua halafu ambalo adhabu yake ni kunyongwa, halafu ana watoto wadogo mapacha watatu, ustawi wa jamii watafanyaje hapa?

Mbali na hapa, tuseme bahati mbaya mama wa hawa watoto amefariki wakati wa uzazi. Hapa nani atakuwa na majukumu ya kulea hawa watoto mayatima?

Umeongea jambo la msingi sana ambalo inabidi lifanyiwe mjadala mpana sana.
Hii sheria waiangalie kwa jicho la pili mwanafunzi ana miaka 18 utasemaje hapo ni kubaka
Ni kweli kabisa,Nasijui inakuwaje endapo mtoto mwenyewe kasema amekubali mwenyewe.
 
Makosa mengi kwenye sheria ya kanuni na adhabu (The Penal Code) na sheria nyingine za adhabu inabidi yapitiwe upya, maana hayaendani kabisa na mazingira ya Tanzania. Tunalazimisha mambo, ndiyo maana watu wengi huwa wanaishia kuumizwa, sehemu ambapo kwa akili ya kawaida wangeachwa huru.

Ulichokisema ndugu mtoa mada nyambaterito kina uhalisia, lakini binafsi naomba nikujibu kupitia swali jingine. Kama mtu kafanya kosa la kuua halafu ambalo adhabu yake ni kunyongwa, halafu ana watoto wadogo mapacha watatu, ustawi wa jamii watafanyaje hapa?

Mbali na hapa, tuseme bahati mbaya mama wa hawa watoto amefariki wakati wa uzazi. Hapa nani atakuwa na majukumu ya kulea hawa watoto mayatima?

Umeongea jambo la msingi sana ambalo inabidi lifanyiwe mjadala mpana sana.
Hapa ndugu Malcom, Mimi naona ustawi wajamii ilisimamie hili tena ikibidi kwa pande zote mbili namaanisha upande wa mtenda na mtendewa hizi familia zote zichukue jukumu la kulea watoto wanao tokana na kesi.kama hizo chini ya usimamizi wao.Pia kuhusu watoto mayatima baada ya wazazi kufariki wakati wa kujifungua pia pawe na nafasi mbili upande wa ndugu na upande wa ustawi wa jamii.Kwa upande wa ndgu wanajukumu la kuwawea hawa watoto na pia ustawi wa jamii wanahaki ya kuwapeleka kwenye vituo husika vya kulelea hawa watoto.
 
Kubaka ni kitendo cha kulazimisha. Sasa watu wamekubaliana wenyewe,hapa kuna ukakasi. Bhasi iwe kesi ya kurubuni mwanafunzi.
Kweli, Pia kwa upande wangu sijakataa kuwa ni kweli utakuta kuna mazingira kwel mtoto anarudi shule anabakwaa huyu hamna mjadala hukumu inamhusu. Lakini pia kuna pale mazingira utakuta mwanafunzi kabakiwa gesti🤔, Au mwanafunzi kabakiwa Ghetto kwa mwalimu au kijana tu na ukija kuchunguza kwa mazingila kama hayo ni lazima kutakuwa na makubaliano ya hawa watu wawili. Hapo naungana na wewe iitwe tu ni kuwa ni kesi ya kurubuni na itafutiwe kifungo au adhabu inayoendana na hiyo.
 
Hapa ndugu Malcom, Mimi naona ustawi wajamii ilisimamie hili tena ikibidi kwa pande zote mbili namaanisha upande wa mtenda na mtendewa hizi familia zote zichukue jukumu la kulea watoto wanao tokana na kesi.kama hizo chini ya usimamizi wao.Pia kuhusu watoto mayatima baada ya wazazi kufariki wakati wa kujifungua pia pawe na nafasi mbili upande wa ndugu na upande wa ustawi wa jamii.Kwa upande wa ndgu wanajukumu la kuwawea hawa watoto na pia ustawi wa jamii wanahaki ya kuwapeleka kwenye vituo husika vya kulelea hawa watoto.
Nakubaliana kabisa na wewe mkuu, japo hapa tatizo ni malezi ya watoto na siyo kupata mimba au utendaji wa makosa. Sheria iko wazi kabisa, kwamba hutakiwi kuanzisha mahusiano yoyote yale ya kimapenzi na mwanafunzi. Changamoto uliyoizungumzia hapa ni suala zima la malezi ya watoto.

Changamoto kama hii haiwezi kutungiwa sheria moja kwa moja kwasababu siyo changamoto iliyosambaa ndani ya jamiii (A Prevalent Problem/ A Potential Storm). Katika hili naona kuna mambo muhimu ya kuyazingatia:
  • Mosi, asilimia kubwa ya watoto wengi wanaokosa malezi ya wazazi haisababishwi na makosa ya jinai kama ubakaji.
  • Pili, siyo kila mwanafunzi anayebakwa anapata mimba. Ndiyo, wanafunzi wengi wanabakwa lakini wengi wao hawapati mimba au hupata na kufanikisha kuitoa. Hii ndiyo sababu ya msingi kwanini kuna kosa la ubakaji (Rape) na lakini hakuna kosa linaloitwa kumpa mtu mimba (Impregnation of a Person)
  • Tatu, suala zima la malezi ya mtoto haliangukii kwenye sheria ya jinai, bali kwenye sheria ya mtoto (A Corpus of the Law of A Child) na sheria ya familia (A Corpus of Family Law). Sheria kuhusu mtoto alelewaje na wazazi, zipo nchini Tanzania sema hazitiliwi mkazo kwasababu mbalimbali.
Hivyo basi, baada ya kuyafahamu haya, huwezi kusema leo bunge litunge sheria ambayo inaangalia PROBABILITY au LIKELIHOOD OF THE OFFENCE kwasababu siyo kila mwanafunzi anayebakwa hupata mimba. Lakini pia, pitia hoja yangu ya kwanza kabisa, halafu jiulize swali hili: Je, ni watoto asilimia ngapi ambao wazazi wao wameshindwa kuwalea kwasababu waliwabaka mama zao na wako jela kutumikia kifungo cha miaka 30 ???

Tatizo linaweza kuwepo, endapo utanionesha takwimu za hao watoto ambao wazazi wamefungwa, na uhusiano uliopo moja kwa moja baina ya kosa la ubakaji na upatikanaji mimba.....

NB: Japo bado naamini kabisa umeongea jambo la msingi sana ( At a theoretical level).....
 
Nakubaliana kabisa na wewe mkuu, japo hapa tatizo ni malezi ya watoto na siyo kupata mimba au utendaji wa makosa. Sheria iko wazi kabisa, kwamba hutakiwi kuanzisha mahusiano yoyote yale ya kimapenzi na mwanafunzi. Changamoto uliyoizungumzia hapa ni suala zima la malezi ya watoto.

Changamoto kama hii haiwezi kutungiwa sheria moja kwa moja kwasababu siyo changamoto iliyosambaa ndani ya jamiii (A Prevalent Problem/ A Potential Storm). Katika hili naona kuna mambo muhimu ya kuyazingatia:
  • Mosi, asilimia kubwa ya watoto wengi wanaokosa malezi ya wazazi haisababishwi na makosa ya jinai kama ubakaji.
  • Pili, siyo kila mwanafunzi anayebakwa anapata mimba. Ndiyo, wanafunzi wengi wanabakwa lakini wengi wao hawapati mimba au hupata na kufanikisha kuitoa. Hii ndiyo sababu ya msingi kwanini kuna kosa la ubakaji (Rape) na lakini hakuna kosa linaloitwa kumpa mtu mimba (Impregnation of a Person)
  • Tatu, suala zima la malezi ya mtoto haliangukii kwenye sheria ya jinai, bali kwenye sheria ya mtoto (A Corpus of the Law of A Child) na sheria ya familia (A Corpus of Family Law). Sheria kuhusu mtoto alelewaje na wazazi, zipo nchini Tanzania sema hazitiliwi mkazo kwasababu mbalimbali.
Hivyo basi, baada ya kuyafahamu haya, huwezi kusema leo bunge litunge sheria ambayo inaangalia PROBABILITY au LIKELIHOOD OF THE OFFENCE kwasababu siyo kila mwanafunzi anayebakwa hupata mimba. Lakini pia, pitia hoja yangu ya kwanza kabisa, halafu jiulize swali hili: Je, ni watoto asilimia ngapi ambao wazazi wao wameshindwa kuwalea kwasababu waliwabaka mama zao na wako jela kutumikia kifungo cha miaka 30 ???

Tatizo linaweza kuwepo, endapo utanionesha takwimu za hao watoto ambao wazazi wamefungwa, na uhusiano uliopo moja kwa moja baina ya kosa la ubakaji na upatikanaji mimba.....

NB: Japo bado naamini kabisa umeongea jambo la msingi sana ( At a theoretical level).....
Ahsante sana umenifunza kitu.🙏
 
She
Hebu tuiangalie sheria hii ya ubakaji, kwa wanafunzi. Kila mmoja anajua kuwa sheria ya ubakaji kwa upande wa mwanafunzi ni miaka 30 kwa upande wa mwanaune na kuachishwa masomo kwa upande wa mwanamke. Hapa nataka niliseme jambo kuhusu hii sheria na. mambo yenyewe ni kama matatu hivi.

1. Nani atahusika na kutoa huduma kwa yule mjamzito na mtoto atakapozaliwa? Maana tunafahamu familia zetu nyingi hali za kimaisha sio mzuri?

2. Je, Baba akifanikiwa kutoka jela anakuwa na haki na yule mtoto au inakuwaje hapa?

3. Je, Ustawi wa jamii watahusika na hili endapo mtoto atakosa malezi ya mazazi mmoja(Baba) ikiwa sheria inembana baba?

NB: Nachotaka kusema hapa kwa mtazamo wangu ni kuwa iandaliwe sheria ambayo itawabana hawa wahusika kwa namna yoyote ambayo sio lazima kuwafungia kwa miaka hiyo yote 30 na kuwafanya waweze kuwahudumia hao watoto na mama zao basipo na Manyanyaso yoyote na pia iwekwe sheria fulani itakayo mruhusu mwanafunzi kurudi shule kwa yule atakae pendelea kuendelea na masomo.
Sheria imekaaje Kimataifa?
 
Hebu tuiangalie sheria hii ya ubakaji, kwa wanafunzi. Kila mmoja anajua kuwa sheria ya ubakaji kwa upande wa mwanafunzi ni miaka 30 kwa upande wa mwanaune na kuachishwa masomo kwa upande wa mwanamke. Hapa nataka niliseme jambo kuhusu hii sheria na. mambo yenyewe ni kama matatu hivi.

1. Nani atahusika na kutoa huduma kwa yule mjamzito na mtoto atakapozaliwa? Maana tunafahamu familia zetu nyingi hali za kimaisha sio mzuri?

2. Je, Baba akifanikiwa kutoka jela anakuwa na haki na yule mtoto au inakuwaje hapa?

3. Je, Ustawi wa jamii watahusika na hili endapo mtoto atakosa malezi ya mazazi mmoja(Baba) ikiwa sheria inembana baba?

NB: Nachotaka kusema hapa kwa mtazamo wangu ni kuwa iandaliwe sheria ambayo itawabana hawa wahusika kwa namna yoyote ambayo sio lazima kuwafungia kwa miaka hiyo yote 30 na kuwafanya waweze kuwahudumia hao watoto na mama zao basipo na Manyanyaso yoyote na pia iwekwe sheria fulani itakayo mruhusu mwanafunzi kurudi shule kwa yule atakae pendelea kuendelea na masomo.
Sheria kandamizi na isiyo na chembe ya utu ndani yake.
 
Ndio maana wazazi wengi hulimaliza mambo kwa mjadala badala ya kwenda kwenye vyombo vya sheria - ni kwa vile sheria ina ukakasi.
 
NB: Nachotaka kusema hapa kwa mtazamo wangu ni kuwa iandaliwe sheria ambayo itawabana hawa wahusika kwa namna yoyote ambayo sio lazima kuwafungia kwa miaka hiyo yote 30 na kuwafanya waweze kuwahudumia hao watoto na mama zao basipo na Manyanyaso yoyote
  1. Na kama mtoto akija kuwa kiongozi mkubwa nchini kama President, VP au PM sijui huyo baba wa mtoto atachukuliwaje (nawaza tu)
  2. Nadhani ilitakiwa sheria iseme kile anachozalisha baba wa mtoto huko jela asilimia kadhaa ielekezwe kwenye matunzo ya mtoto
 
  1. Na kama mtoto akija kuwa kiongozi mkubwa nchini kama President, VP au PM sijui huyo baba wa mtoto atachukuliwaje (nawaza tu)
  2. Nadhani ilitakiwa sheria iseme kile anachozalisha baba wa mtoto huko jela asilimia kadhaa ielekezwe kwenye matunzo ya mtoto
I agree
 
She

Sheria imekaaje Kimataifa?
Sheria kimataifa sina uwakika kama ipo sawa na yetu.Kwamba ukibaka ndo ufungwe miaka 30 hususani kwa mwanafunzi,hyo.sina hakika ndg.Ila kama unafahamu kwa uchache ningependa unijuze
 
Mfano Kabaka au katembea na mwanafunzi akampa mimba mkamfunga iyo miaka 30!!!

Je future ya mtoto aliyezaliwa kuhusa baba ake na pia mwanamke atakuwa single mother ? Hii imekaaje wadau Sheria still Ina madhaifu at an extent denied some rights of the newborn babies.

Mtoto ana haki ya kulelewa na wazazi wote wawili na kupata malezi Bora
 
Back
Top Bottom