mwakyindi
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,599
- 2,192
Saw muendelee kuwalinda nakuwakanya pia waache kutushobokea! kunamoja bint wa kidato 4 alianza kunitongoza, nammnimekula tunda kimasihar je apo nan mwenyekoso???We tembea na mwanafunzi halafu pale kizimbani sema hii sheria wametuletea wamagharibi uone JAMHURI itakachoamua. Nchi kupitia wabunge tuliamua kuwa atakayetembea na mwanafunzi abadilishiwe makazi kwa miaka 30.
Tuendelee kuwalinda mabinti zetu wamalize shule salama wakawe walezi bora wa jamii ijayo.