Tetesi: Sheria ya uchaguzi kuwasilishwa Bungeni, Mgombea urais awe ameishi nchini mfululizo miaka miwili ili akidhi sifa ya Urais

Tetesi: Sheria ya uchaguzi kuwasilishwa Bungeni, Mgombea urais awe ameishi nchini mfululizo miaka miwili ili akidhi sifa ya Urais

Sasa ww unaona ni haki kutaka urais huku upo nje ya nchi unayotaka kugombea urais?tutajuaje ww kweli umekunywa bendera yetu au umekunywa bendera ya mabeberu.Acheni unafki wakati mnaelewe sana ila mnafumba macho eti kwa sababu mnamchukia JPM.
Hapa msisitizo ni kuwa ugonjwa uzingatiwe. Kama mtu kaenda kwa matibabu je sheria ikoje?
 
Kwa hisani ya Tundu Lisu rais ajaye, kwahiyo mtu anayefanya kazi ubalozini na ni raia wa Tanzania atanyimwa haki. Hili liinchi hata kibuli cha sisimizi watu wanatimua mbio. Kikubwa ongozeni kwa haki watu wawapende mkileta hizi mbichi watu watazidi kuwakataa
 
Miaka miwili ni kitu gani jamani,mbona haitoshi kwa mtu anayetaka kugombea urais kujua matatizo ya Watanzania kwa undani?Kwa nini isiwe kwamba ni lazima awe anaishi Tanzania?Hii kitu inaweza kututokea puani.Watu ambao wameshaishi nje mara nyingi wanakuwa vibaraka wa mabeberu.Kwa nini tunashindwa kuelewa kwamba mtu aliyeikimbia nchi yake kwa sababu yeyote ile, hawezi kuwa mzalendo wa kweli.Tunataka kumfurahisha nani kwa kulegeza masharti kiasi hicho?
Hata Nape alifurahia kuleta muswaada wa sheria kandamizi ya habari .
Muulize leo maoni yake. Huku anadukuliwa mawasiliano yake.

Hivyo hata wewe shangilia hujui mwanao kesho atakuwa wa mrengo gani ?!
 
Hii sheria inaweza kuwa nzuri kama itakuwa haina lengo ovu. Hata mimi sioni ni vizuri mtu aliyekuwa anaishi nje ya nchi kwa miaka miwili arudi kugombea. Ila tuwe na tahadhari, kusafiri kusiwe kikwazo na hata kukaa muda mrefu kwa ajili ya matibabu isiwe kikwazo. Na tusiishie kwenye urais tu bali kwangu mimi ubunge ndiyo muhimu zaidi. Tuweke sheria kuwa mbunge ni lazima awe mkazi wa kudumu wa jimbo lake na asiwe anaishi sehemu nyingine. Familia yake pia iwe inaishi kwenye jimbo analoliwakilisha.
Usiombe iwe hivyo,ni moja ya sheria mbaya kabisa kama itawekwa.

Kuna wanasiasa hukimbizwa uhamishoni kwa visa na visasi.
Unaweza kuwa upo kama balozi huko nje.
Unaweza enda kwa masomo ama shughuli yeyote ile ya kukujenga.

Tulianza na utanzania wa namna fulana,leo ukaazi,kesho race,ukabila,udini,ukanda n.k Mungu aiepushe mipango hii.
 
Wazo langu vyama vya upizani wange organize tu awamu hii ya uchaguzi waache tu kusimamisha wagombea urais na ikibidi chaguzi zote wasishiriki ili afurahi kwa kwenda mbele.
Kwa kweli!Si kwa uoga huu.Sasa mbona tunaambiwa yeye ndo kafanya maendeleo hakuna wa kufanana naye tangu kuumbwa kwa ulimwengu?
 
Hata Nape alifurahia kuleta muswaada wa sheria kandamizi ya habari .
Muulize leo maoni yake. Huku anadukuliwa mawasiliano yake.

Hivyo hata wewe shangilia hujui mwanao kesho atakuwa wa mrengo gani ?!
Siwezi kushangilia sheria ambayo hatimaye inaweza kuliingiza taifa katika matatizo makubwa.It is not about money for an individual,it is about a bright future for our nation.
 
Katoa taarifa yyte Kwa mwajili wake? Kama ametoa Kwa nin amefukuzwa kazi....
Mr polepole kiti ulichonacho alikuwa nacho kingunge, Nape nk. Leo wananyoshewa bunduki na hata bungeni akisema hawamuelewi. So hata kwako ni swala la muda.

Walileta muswaada wa sheria kandamizi ya habari. Leo anadukuliwa yeye [emoji23][emoji1787].
 
Huyu jamaa anatamani aonane na mungu amulize kabisa ili ajue ataishi mpaka lini ili aungane na maswaiba zake wa afrika mashariki M7 kagame na Nkulunziza
 
Sheria huwa haiact kurudi nyuma, itaanza kuwa na effect tarehe na siku hiyo itakaposainiwa kwenda mbele si kwa kurudi nyuma, kwa hiyo wanajisumbua bure

Mzee umeisahau sheria ya HELSB.? Walivyotunga sheria kuongeza asilimia za marejesho ambazo ziliwabana hata walioomba mkopo kabla ya hiyo sheria

Ni kweli sheria huwa mara nyingi haiact retrospectively Ila haimaanishi kuwa inashindikana!!.
 
Mzee umeisahau sheria ya HELSB.? Walivyotunga sheria kuongeza asilimia za marejesho ambazo ziliwabana hata walioomba mkopo kabla ya hiyo sheria

Ni kweli sheria huwa mara nyingi haiact retrospectively Ila haimaanishi kuwa inashindikana!!.

Hiyo sheria haikupingwa mahakamani
Lakini hii ya uchaguzi ikitungwa kuna watu kama akina Lissu hawawezi kuiacha hivihivi ipite
 
Back
Top Bottom