Tetesi: Sheria ya uchaguzi kuwasilishwa Bungeni, Mgombea urais awe ameishi nchini mfululizo miaka miwili ili akidhi sifa ya Urais

Tetesi: Sheria ya uchaguzi kuwasilishwa Bungeni, Mgombea urais awe ameishi nchini mfululizo miaka miwili ili akidhi sifa ya Urais

Kama wanamlenga Lisu basi akili zao zitakuwa na mabonde. Hivi kuna mtu mwenye akili timamu atasema lisu kaishi ulaya miaka 2!!!
 
hehe target ni Lissu, hujakaa sawa unasikia na membe wamemchokonoa ili akatibiwe nje miezi, dikteta uchwara shida sana
 
Ipelekwe tuili tuthibitishe upumbavu wao. Wakati mwingine kichaa huhutaji hata kumpeleka hospitali, atajithibitisha mwenyewe kwa matendo yake.
 
hehe target ni Lissu, hujakaa sawa unasikia na membe wamemchokonoa ili akatibiwe nje miezi, dikteta uchwara shida sana
No, ni diaspora wote ambao hawajui mazingira ya Tanzania vizuri
 
No, ni diaspora wote ambao hawajui mazingira ya Tanzania vizuri

Kukaa nje mwezi hakuzuii kuijua Tanzania vizuri, mtu anayeishi nje mwezi sio diaspora, huyo kaenda kutembea tu kama tourist na kurudi. Hii sheria ni ha kipuuzi, wangesema aliyekaa nje mwaka ningeelewa ila sio uhoro wanaoutoa, timeframe ipi inatumika kudefine mfululizo? Na kwa nini wanatunga sheria ya tatizo ambalo halijawahi kuwepo? Matatizo mengi yapo wangeyafikiria wanakaa kufikiria solution ya kitu ambacho hakipo?
Target hapa ni very obvious, lissu membe.

We unajua mazingira ya Tanzania vizuri kumzidi Lissu ambaye alikaa nje kutibiwa? Hapa wamepata gepu pia la kuondoa watu huko mbeleni kwenye kugombea, wakikuchukia wanakusababishia ili upate sababu ya kwenda nje muda mrefu, ukirudi unasikia umeondolewa coz umekaa nje mwezi na, hata kama sababu ni kupewa matibabu. Watu mmefumba macho sijui, huyu jiwe anachofanya soon mtasikia miaka ya urais imeongezwa anataka akae hadi afe, anaandaa mazingira vizuri sana
 
Kukaa nje mwezi hakuzuii kuijua Tanzania vizuri, mtu anayeishi nje mwezi sio diaspora, huyo kaenda kutembea tu kama tourist na kurudi. Hii sheria ni ha kipuuzi, wangesema aliyekaa nje mwaka ningeelewa ila sio uhoro wanaoutoa, timeframe ipi inatumika kudefine mfululizo? Na kwa nini wanatunga sheria ya tatizo ambalo halijawahi kuwepo? Matatizo mengi yapo wangeyafikiria wanakaa kufikiria solution ya kitu ambacho hakipo?
Target hapa ni very obvious, lissu membe.

We unajua mazingira ya Tanzania vizuri kumzidi Lissu ambaye alikaa nje kutibiwa? Hapa wamepata gepu pia la kuondoa watu huko mbeleni kwenye kugombea, wakikuchukia wanakusababishia ili upate sababu ya kwenda nje muda mrefu, ukirudi unasikia umeondolewa coz umekaa nje mwezi na, hata kama sababu ni kupewa matibabu. Watu mmefumba macho sijui, huyu jiwe anachofanya soon mtasikia miaka ya urais imeongezwa anataka akae hadi afe, anaandaa mazingira vizuri sana
Umeongea vizuri sana, lakini kumbuka Membe hajaishi nje ya nchi muda hata wa mwezi.
 
Umeongea vizuri sana, lakini kumbuka Membe hajaishi nje ya nchi muda hata wa mwezi.
Tulia sasa uone game watakalolicheza, mwakani utashangaa mwenyewe, we huoni wanachomfanyia Erick sasa hivi? subiri uone wapinzani wa kufuli mwakani kitakachowapata, loopholes zote watatumia ikishindikana nguvu itatumika. Chato akiamua ameamua
 
Tulia sasa uone game watakalolicheza, mwakani utashangaa mwenyewe, we huoni wanachomfanyia Erick sasa hivi? subiri uone wapinzani wa kufuli mwakani kitakachowapata, loopholes zote watatumia ikishindikana nguvu itatumika. Chato akiamua ameamua
Asije zidisha miaka
 
Back
Top Bottom