The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Aiseee chalii hata iyo laki tisa tu nimemuongezea. Nilasikia kutoka chanzo cha uhakika kwenye kitengo alipata laki 5 na huenda Janet alimpigia maMviHamna bwana wanasema ni milioni mbili!
Mm namshangaa sana huyu baba, anajidai anauchungu sana na Tz kuliko waliopigania uhuruKutunga sheria kwa ajili ya kundi la watu fulani kwa wakati fulani ni shida kubwa. Tuache ubinafsi tuenende for the good of our mother Tanzania not for sake jiwe. Kwani nchi lazima itawaliwe na jiwe?
Sijui wanaogopa nini wakati tume ya uchaguzi wanaimiliki kabisa wao ndio wanaamia nani awe mbunge nani awe rais kama kinondoni au jimbo la nassari kule arushaWana wasiwasi gani na Lisu hata kama akishinda watampora ushindi....
Au kuuliza nyege Segerea.Unauliza ' Bangi ' Arumeru?
Duh, kumbe Masaki One imeshatema.Jinsi kura mil 3 unusu alizopata mtu zinavyomuumiza kichwa
Kwani mna mpango wa kumtupia bomu kabla ya uchaguzi maana risasi zimedunda.Kwani Lissu ni mgombea urais?
Tuache kutunga sheria ambazo haziishi badala yake kutunga sheria za mahitaji maalum ya uchaguzi wa 2020 ''Where are we heading to, is it to save a group of people interest or for a person''Habari JF siasa.
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni.
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.
Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.
Chanzo changu nyeti serikalini kimeniambia mkakati huu umeiva na nitege sikio Bungeni November 2019 au February 2020.
Mimi nilimkatalia katakata lakini kasimama na msimamo wake.
Nilimuuliza je kama Mtaka urais kasafiri nje ya nchi siku moja au hata wiki mbili ndani ya hiyo miaka miwili itakuwaje?
Alijibu hili halina shida hata kidogo lakini ikiwa ni mwezi au miezi kadhaa basi hapo Mgombea atakosa sifa.
Yangu macho!!
Wanaposema ''kuishi mfululizo'' haimaanishi kukaa sehemu moja bila kutoka. Hii ina maana kuwa unaishi sehemu husika, yaani makazi yako au nyumbani kwako ni sehemu fulani. Dunia ya leo huwezi kumzuia binadamu kusafiri. Na kusafiri kuna sababu nyingi. Watu wanaweza kusafiri kwa sababu za kibiashara, matibabu, kutalii kozi au masomo nk. Kwa mfano mtu anayeishi kijiji cha Gezaulole akipata kozi ya miezi mitatu kujifunza kilimo Japan huyu anahesabika makazi yake ni Gezaulole.Hakuna mtu atakayekuwa na sifa hiyo kwa sababu hata kitendo cha Mh. Rais kwenda ziara nje ya nchi kinamnyima sifa hiyo. Hawezi kukaa nchini miaka 2 mfululizo.
Mazezeta wa lum umba endeleeni kupiga mapambio kuna siku mtakuja kuelewa somo ila itakuwa too late wenye akili tunajua kwamba nyerere alitawala miaka mingi na magu sometimes anajinasibisha na nyerere hiyo ni lugha rahisi tu kueleweka ukiacha kauli zake za wazi jukwaani wakina nape, janary, kinana,kikwete wote walijenga dhana kwamba ccm ndio chama pekee kinachostahili kutawala wakafanya kila figisu kuwazulumu wapinzani sasa huyu wa Leo ana dhana kwamba yeye ndiye anayefaa kutawala milele na jeuri hiyo anayo kwa kuzingatia katiba mbovu ya chama kimoja iliyopigiwa kelele miaka yote kiuufupi ni kwamba watanzania Tujiandae kisaikolojia na mimi binafsi nampongeza jpm kwa kupiga kaziHabari JF siasa.
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni.
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.
Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.
Chanzo changu nyeti serikalini kimeniambia mkakati huu umeiva na nitege sikio Bungeni November 2019 au February 2020.
Mimi nilimkatalia katakata lakini kasimama na msimamo wake.
Nilimuuliza je kama Mtaka urais kasafiri nje ya nchi siku moja au hata wiki mbili ndani ya hiyo miaka miwili itakuwaje?
Alijibu hili halina shida hata kidogo lakini ikiwa ni mwezi au miezi kadhaa basi hapo Mgombea atakosa sifa.
Yangu macho!!
Hii sheria inaweza kuwa nzuri kama itakuwa haina lengo ovu. Hata mimi sioni ni vizuri mtu aliyekuwa anaishi nje ya nchi kwa miaka miwili arudi kugombea. Ila tuwe na tahadhari, kusafiri kusiwe kikwazo na hata kukaa muda mrefu kwa ajili ya matibabu isiwe kikwazo. Na tusiishie kwenye urais tu bali kwangu mimi ubunge ndiyo muhimu zaidi. Tuweke sheria kuwa mbunge ni lazima awe mkazi wa kudumu wa jimbo lake na asiwe anaishi sehemu nyingine. Familia yake pia iwe inaishi kwenye jimbo analoliwakilisha.