Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mnashabikia huo upuuzi.Kuna mantiki katika hili;
Sioni umuhimu wa kumchagua mtu ambaye anawafahamu anaowaomba kura kupitia vyombo vya habari.
Lazima kiongozi uwe sehemu ya hao unaotaka kuwaongoza.
huu ni uzwazwa tuHii sheria inaweza kuwa nzuri kama itakuwa haina lengo ovu. Hata mimi sioni ni vizuri mtu aliyekuwa anaishi nje ya nchi kwa miaka miwili arudi kugombea. Ila tuwe na tahadhari, kusafiri kusiwe kikwazo na hata kukaa muda mrefu kwa ajili ya matibabu isiwe kikwazo. Na tusiishie kwenye urais tu bali kwangu mimi ubunge ndiyo muhimu zaidi. Tuweke sheria kuwa mbunge ni lazima awe mkazi wa kudumu wa jimbo lake na asiwe anaishi sehemu nyingine. Familia yake pia iwe inaishi kwenye jimbo analoliwakilisha.
huu ni uzwazwa tuHii sheria inaweza kuwa nzuri kama itakuwa haina lengo ovu. Hata mimi sioni ni vizuri mtu aliyekuwa anaishi nje ya nchi kwa miaka miwili arudi kugombea. Ila tuwe na tahadhari, kusafiri kusiwe kikwazo na hata kukaa muda mrefu kwa ajili ya matibabu isiwe kikwazo. Na tusiishie kwenye urais tu bali kwangu mimi ubunge ndiyo muhimu zaidi. Tuweke sheria kuwa mbunge ni lazima awe mkazi wa kudumu wa jimbo lake na asiwe anaishi sehemu nyingine. Familia yake pia iwe inaishi kwenye jimbo analoliwakilisha.
Huwajui magamba wewe muda wote hutunga sheria kumlenga MTU na sio taifa .usishangae wakasema inaanza miezi 36 iliyopitaUzuri wa sheria huanza kazi pale inaposainiwa
Umesahau na kulinda chama chetu pendwa ccmKumbuka polisi hulinda sheria, hivyo sheria za kuzilinda ziwepo
Bado ni tetesi ila wazo itakua katoa kibajaji au msukuma likaonekana bonge la wazo kuelekea ushindi wa Sunami maana yule bwana victim hana tena mlango wa kupitiaHabari JF siasa.
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni.
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.
Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.
Chanzo changu nyeti serikalini kimeniambia mkakati huu umeiva na nitege sikio Bungeni November 2019 au February 2020.
Mimi nilimkatalia katakata lakini kasimama na msimamo wake.
Nilimuuliza je kama Mtaka urais kasafiri nje ya nchi siku moja au hata wiki mbili ndani ya hiyo miaka miwili itakuwaje?
Alijibu hili halina shida hata kidogo lakini ikiwa ni mwezi au miezi kadhaa basi hapo Mgombea atakosa sifa.
Yangu macho!!
Masharti ya uchaguzi wa Rais yako kikatiba..Habari JF siasa.
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni.
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.
Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.
Chanzo changu nyeti serikalini kimeniambia mkakati huu umeiva na nitege sikio Bungeni November 2019 au February 2020.
Mimi nilimkatalia katakata lakini kasimama na msimamo wake.
Nilimuuliza je kama Mtaka urais kasafiri nje ya nchi siku moja au hata wiki mbili ndani ya hiyo miaka miwili itakuwaje?
Alijibu hili halina shida hata kidogo lakini ikiwa ni mwezi au miezi kadhaa basi hapo Mgombea atakosa sifa.
Yangu macho!!
Maana huyo MTU kwenye urais wa TLS walihangaika SANA kumkwamisha lakini ikashindikanaHapo kuna mtu anaogopwa sana wanamtafutia pa kumkamatia
Masharti ya uchaguzi wa Rais yako kikatiba..
Hili kwa kina kabudi haliwasumbui, wao kutunga sheria zinazopingana na katiba ndo zao..Masharti ya uchaguzi wa Rais yako kikatiba..
Kwani katiba hiyo haina viraka..?Masharti ya uchaguzi wa Rais yako kikatiba..
Watasema lazima awe ameenda kwa kibali cha rais na sio vinginevyo.magamba Ni mashetani utu uliondoka na mwenye chama nyerere wamebaki interahamwe tu.kwao chama Ni muhimu kuliko taifa lao na watu waoMaana huyo MTU kwenye urais wa TLS walihangaika SANA kumkwamisha lakini ikashindikana
By the way, MTU AKISAFIRI NJE YA NCHI MUDA MREFU KWA MATIBABU, ITAKUWAJE? Maana mtu huyo atakuwa ametoka nje ya nchi kwa sababu za kiafya
nitakupa jina lake MHE LISSU, raisi wa awamu ya 6Hapo kuna mtu anaogopwa sana wanamtafutia pa kumkamatia
Waulize wanufaika Wa mkopo elimu ya juu nini kimewakutaSheria huwa haiact kurudi nyuma, itaanza kuwa na effect tarehe na siku hiyo itakaposainiwa kwenda mbele si kwa kurudi nyuma, kwa hiyo wanajisumbua bure
Asante kwa kuelimisa waccm ambao wengi hawakuona ndani ya darasa, hii sheria hata ikipita itaaza kutumika after 2020 GENERAL ELECTIONS, and NOT BEFORE 2020 ELECTIONS, yaani itaaza kufanya kazi baada ya uchanguzi wa hapo 2020 sio kablaSheria huwa haiact kurudi nyuma, itaanza kuwa na effect tarehe na siku hiyo itakaposainiwa kwenda mbele si kwa kurudi nyuma, kwa hiyo wanajisumbua bure
Pointi yangu Ni kuwa kubadilisha masharti ya uchaguzi hufanyika kwa kubadili KatibaKwani katiba hiyo haina viraka..?
Ok, Lakini kumbuka hawashindwi hao kufanya yanayowezesha wayatakayo yafanikiwe... Be it kubadiri kipengere cha katiba Kwa hati ya dharula au vinginevyo... ILIMRADI IWEZEKANE... This is known by you...Pointi yangu Ni kuwa kubadilisha masharti ya uchaguzi hufanyika kwa kubadili Katiba
Hujui kuwa mbele Lisu, Magufuli atapata kura mbili!!!!?Wana wasiwasi gani na Lisu hata kama akishinda watampora ushindi....