Tetesi: Sheria ya uchaguzi kuwasilishwa Bungeni, Mgombea urais awe ameishi nchini mfululizo miaka miwili ili akidhi sifa ya Urais

Tetesi: Sheria ya uchaguzi kuwasilishwa Bungeni, Mgombea urais awe ameishi nchini mfululizo miaka miwili ili akidhi sifa ya Urais

Ndugu yangu chini ya huyu mshambaa kila kitu kimeparanganyika, Sheria ya bodi ya mikopo makato toka 8% kwenda 15% imetukumba na tuliomaliza chuo miaka ya 2000's hili unalizungumziaJe in relation to hii Sheria??
Akikujibu nitag
 
Sheria huwa haiact kurudi nyuma, itaanza kuwa na effect tarehe na siku hiyo itakaposainiwa kwenda mbele si kwa kurudi nyuma, kwa hiyo wanajisumbua bure
Mbona sheria ya board ya mikopo imeact kwa kukata 15% Tanzania yote yanawezekana.
 
Hii sheria inaweza kuwa nzuri kama itakuwa haina lengo ovu. Hata mimi sioni ni vizuri mtu aliyekuwa anaishi nje ya nchi kwa miaka miwili arudi kugombea. Ila tuwe na tahadhari, kusafiri kusiwe kikwazo na hata kukaa muda mrefu kwa ajili ya matibabu isiwe kikwazo. Na tusiishie kwenye urais tu bali kwangu mimi ubunge ndiyo muhimu zaidi. Tuweke sheria kuwa mbunge ni lazima awe mkazi wa kudumu wa jimbo lake na asiwe anaishi sehemu nyingine. Familia yake pia iwe inaishi kwenye jimbo analoliwakilisha.

Kaka siku hizi sharia zinatungwa kuelnga watu specific
 
Kifo cha nyani miti yote haishikiki huku anahangaika na Membe,huku na akina Makamba na Kinana kwa kutumia kipaza sauti chake Musiba,sasa karukia kwa Lissu kweli Lissu wewe ni nomaaaa sana huku nyumbani kivuli chako kinawakimbiza waheshimiwa.
 
Miaka miwili ni kitu gani jamani,mbona haitoshi mtu anayetaka kugombea urais kuwajua Watanzania kwa ndani.Kwa nini isiwe kwamba ni lazima awe anaishi Tanzania?Hii kitu inaweza kututokea puani.Watu ambao wameshaishi nje mara nyingi wanakuwa vibaraka wa mabeberu.Kwa nini tunashindwa kuelewa kwamba mtu anayekimbia nchi yake kwa sababu yeyote ile sio mzalendo wa kweli.Tunataka kumfurahisha nani kulegeza masharti kiasi hicho?

[emoji1610]
 
Hii sheria inaweza kuwa nzuri kama itakuwa haina lengo ovu. Hata mimi sioni ni vizuri mtu aliyekuwa anaishi nje ya nchi kwa miaka miwili arudi kugombea. Ila tuwe na tahadhari, kusafiri kusiwe kikwazo na hata kukaa muda mrefu kwa ajili ya matibabu isiwe kikwazo. Na tusiishie kwenye urais tu bali kwangu mimi ubunge ndiyo muhimu zaidi. Tuweke sheria kuwa mbunge ni lazima awe mkazi wa kudumu wa jimbo lake na asiwe anaishi sehemu nyingine. Familia yake pia iwe inaishi kwenye jimbo analoliwakilisha.
Mbunge yuko mjengoni kwa interest za taifa wala sio jimbo, jimbo huwa ni geresha tuu
 
Inawezekana ila ilisikika kuna watu walijipanga kwenda mahakamani lakini inashangaza hawasikiki tena?

Inawezekana walitishiwa na mkono wa chuma!
Hakuna mtu aliyekuwa na interest ya kuichallenge mahakamani, angejitokeza mtu ingepigwa chini
 
Inawezekana ila ilisikika kuna watu walijipanga kwenda mahakamani lakini inashangaza hawasikiki tena?

Inawezekana walitishiwa na mkono wa chuma!

Sasa Lissu utamtishia mkono wa Chuma?
Survivor wa risasi 16 anaogopa nini tena? . Atawaburuza mahakamani
 
Habari JF siasa.

Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni.
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.

Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.

Chanzo changu nyeti serikalini kimeniambia mkakati huu umeiva na nitege sikio Bungeni November 2019 au February 2020.

Mimi nilimkatalia katakata lakini kasimama na msimamo wake.
Nilimuuliza je kama Mtaka urais kasafiri nje ya nchi siku moja au hata wiki mbili ndani ya hiyo miaka miwili itakuwaje?
Alijibu hili halina shida hata kidogo lakini ikiwa ni mwezi au miezi kadhaa basi hapo Mgombea atakosa sifa.

Yangu macho!!
KWA HIO PReSIdENT LiSu bado anawavuruga tumbo sio ee
 
Habari JF siasa.

Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni.
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.

Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.

Chanzo changu nyeti serikalini kimeniambia mkakati huu umeiva na nitege sikio Bungeni November 2019 au February 2020.

Mimi nilimkatalia katakata lakini kasimama na msimamo wake.
Nilimuuliza je kama Mtaka urais kasafiri nje ya nchi siku moja au hata wiki mbili ndani ya hiyo miaka miwili itakuwaje?
Alijibu hili halina shida hata kidogo lakini ikiwa ni mwezi au miezi kadhaa basi hapo Mgombea atakosa sifa.

Yangu macho!!
Je kwamgonjwa na anavielelezo kama lisu(Mr September 7),inatafsiriwaje kwani naona kama bado wanapwaya juu yake
 
Hivi mastermind wa hizi takataka ni John mwenyewe , makonda au kabudi ?
 
Hakuna mtu atakayekuwa na sifa hiyo kwa sababu hata kitendo cha Mh. Rais kwenda ziara nje ya nchi kinamnyima sifa hiyo. Hawezi kukaa nchini miaka 2 mfululizo.
Kusafiri haiwezi kukuondolea sifa. Hii sheria ipo kwenye nchi za Europe kama una apply for a long stay visa. Wewe kwenda kutembea Spain hauwezi kusema unaishi Spain. Kuishi ni pamoja na kuwa na permanent address, medical doctor etc.
 
Kwa bunge hili la maccm inawezekana kabisa.bunge hili linatunga mpaka sheria zinazokinzana na katiba yetu. Hili bunge tumelamba hasara.
 
Wana wasiwasi gani na Lisu hata kama akishinda watampora ushindi....
Wanamfahamu uwezo wake kisheria kiuongozi na ushawishi kwa kuheleweka haraka na vilevile wanahofia kwakua atakuwa support kutoka icc na jopo la wanasheria mfano fatuma karume na kibatari itakuwa kisanga mkuu
 
Mimi nashauri wangetunga sheria mtu aliewahi kupigwa risasi zaidi ya kumi na hakufa asigombee.

Maana huyo hatakua binadamu wa kawaida.
Pia wangetunga sheria mgombea urais sharti apate kibali toka ikulu cha kuchukua fomu ya urais..
 
Back
Top Bottom