Unaifahamu sheria ya bodi ya mikopo ya vyuo vikuu?Sheria huwa haiact kurudi nyuma, itaanza kuwa na effect tarehe na siku hiyo itakaposainiwa kwenda mbele si kwa kurudi nyuma, kwa hiyo wanajisumbua bure
Hilo nalo neno!Ndugu yangu chini ya huyu mshambaa kila kitu kimeparanganyika, Sheria ya bodi ya mikopo makato toka 8% kwenda 15% imetukumba na tuliomaliza chuo miaka ya 2000's hili unalizungumziaJe in relation to hii Sheria??
Washamba na malimbukeni hawakulijua hill wataumbukaje? Hapo walikaa Bashite ,Baba Bashite ,Musiba,Jeri Muro ,Mnyeti ,Gambo,Ali Hapi na Lemutuz wakamshauri baba yao wakaona bonge la ushauri .Sheria huwa haiact kurudi nyuma, itaanza kuwa na effect tarehe na siku hiyo itakaposainiwa kwenda mbele si kwa kurudi nyuma, kwa hiyo wanajisumbua bure
Hebu dadavua, maana njuavyo mikutano yake ilikuwa kiduchu sana ikabidi aongeze push ups. Kumbe zilifika mil tatu na nusu, nikiamini ni mil mbili!!!?Jinsi kura mil 3 unusu alizopata mtu zinavyomuumiza kichwa
Sheria itaweka masharti lazima uwe umepata kibali cha kutibiwa nje.hapo wanamlenga lissu.maana Ni ukweli ubavu wa kupambana na lissu jukwaani hawana. Hapo hapo wana polis na tume.Nadhani watunga sheria hii watazingatia baadhi ya sababu za kumfanya mtu awe nje ya nchi kama vile matibabu na masomo. Vinginevyo ipo siku sheria hiyo itawaumbua kwa kuwakata wenyewe pale wanayemtegemea kuwa mgombea wao atakapokumbwa na maradhi ya kutakiwa kwenda kutibiwa nje ya nchi kwa zaidi ya mwezi.
Kwa ccm hili sio lazima hasa zama hizi, believe me.Pointi yangu Ni kuwa kubadilisha masharti ya uchaguzi hufanyika kwa kubadili Katiba
Eti mafundi wao Ni lusinde, msukuma na mlinga.Wagonga Meza walio wengi Bungeni sishangai kupitisha huo upuuzi.
Unauliza ' Bangi ' Arumeru?
Aiseee chalii hata iyo laki tisa tu nimemuongezea. Nilasikia kutoka chanzo cha uhakika kwenye kitengo alipata laki 5 na huenda Janet alimpigia maMvi
Kwani sheria ngapi za kipuuzi zimepitishwa! Tangu lin lusinde,msukuma na kina mlinga wapitishe sheria? Tuna wabunge wa hovyo haina mfanoItakuwa sheria ya kipuuzi sana na watakaoipitisha watakuwa wapuuzi pia!
Habari JF siasa.
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni.
Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais waghaibu au diaspora ambao wanajipanga kuwania urais.
Sheria hii mpya ya uchaguzi itamtaka Mgombea Urais awe ameishi nchini Tanzania kwa miaka walau miwili mfululuzo hadi kufikia Mwezi August 2020 ili akidhi kigezo cha kupewa Fomu na NEC na hatimaye kugombea urais.
Chanzo changu nyeti serikalini kimeniambia mkakati huu umeiva na nitege sikio Bungeni November 2019 au February 2020.
Mimi nilimkatalia katakata lakini kasimama na msimamo wake.
Nilimuuliza je kama Mtaka urais kasafiri nje ya nchi siku moja au hata wiki mbili ndani ya hiyo miaka miwili itakuwaje?
Alijibu hili halina shida hata kidogo lakini ikiwa ni mwezi au miezi kadhaa basi hapo Mgombea atakosa sifa.
Yangu macho!!
Hakuna Hati ya dharura kwenye kubadili Katiba... kwenye hili ondoa shaka. Ibara ya 100 ya Katiba imeweka utaratibu wakubadilisha Katiba.Ok, Lakini kumbuka hawashindwi hao kufanya yanayowezesha wayatakayo yafanikiwe... Be it kubadiri kipengere cha katiba Kwa hati ya dharula au vinginevyo... ILIMRADI IWEZEKANE... This is known by you...
Uwezo wa lissu kumiliki jukwaa na kushawishi Ni mkubwa sana.jpm hawezi shindana na lissu kamwe.OoH Lord Give Mr Lissu Strength.
Bado Lissu anaogopwa kiasi hiki??
Hahahahahaaa.
Jamani anaumwa tu hakusafiri kula bata.
Mkuu kama Rais anaweza zuia vifungu vya katiba sembuse kubadili kifungu? Unakumbuka mikutano ya vyama?Hakuna Hati ya dharura kwenye kubadili Katiba... kwenye hili ondoa shaka. Ibara ya 100 ya Katiba imeweka utaratibu wakubadilisha Katiba.
Ya nini kujichosha wakati tume ya uchaguzi ni Yao!!Wana wasiwasi gani na Lisu hata kama akishinda watampora ushindi....