Sheria za Nchi zinasemaje kuhusu Wanawake wanaotukatia Viuno Madirishani katika Mabasi waliyokodi kwenda Shughulini?

Sheria za Nchi zinasemaje kuhusu Wanawake wanaotukatia Viuno Madirishani katika Mabasi waliyokodi kwenda Shughulini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nilikuwa ndani ya DalaDala naelekea Mjini kwa Mambo yangu ila baada ya Kupishana na Gari Moja limewabeba Wanawake wanakata Viuno Madirishani (tena Makusudi na kwa Kuturingjshia) huku ndani wakiwa na Madela ndani bila Chupi kiukweli Hamu ya Ngono nami imenipanda na nimeamua Kugeuza na kwenda nami kumtafuta wa Kunikatikia hivyo Viuno.

Je, hawa kuna Sheria za Nchi zinawalinda? Ila kuna Mmoja alikuwa anakata Viuno kiasi kwamba hata kama huna Hamu ukimuangalia tu zinapanda/ zinakupanda.
 
mMja ya vitu vinavyoharibu sana jamii hasa watoto ni hivi pia, Serikali ilipaswa kupiga narufuku huu ujinga na baadala yake wawe wanafanya upumbavu wao huu kwenye maeneo ya ndani na kwa vibali na kusiwe na mtoto yeyote chini ya 18yrs.
 
Nilikuwa ndani ya DalaDala naelekea Mjini kwa Mambo yangu ila baada ya Kupishana na Gari Moja limewabeba Wanawake wanakata Viuno Madirishani (tena Makusudi na kwa Kuturingjshia) huku ndani wakiwa na Madela ndani bila Chupi kiukweli Hamu ya Ngono nami imenipanda na nimeamua Kugeuza na kwenda nami kumtafuta wa Kunikatikia hivyo Viuno.

Je, hawa kuna Sheria za Nchi zinawalinda? Ila kuna Mmoja alikuwa anakata Viuno kiasi kwamba hata kama huna Hamu ukimuangalia tu zinapanda/ zinakupanda.
Dah kuna mmoja alisaula kifua chote(manyonyo yote) nje kupitia dirisha
 
Back
Top Bottom