Sheria za Nchi zinasemaje kuhusu Wanawake wanaotukatia Viuno Madirishani katika Mabasi waliyokodi kwenda Shughulini?

"safari ya beach"
 
KWANINI AKILI YAKO INAFIKIRIA NGONO ZEMBE TUUU, HUFIKIRI MAENDELRO???
 
Wale huwa hawana sehemu maalumu ya kwenda kukatikia kiuhalisi kwa kuwa hawana waume wa kufanya hivyo mahsusi. We unashangaa wa kwenye mabasi? Kuna wa kwenye bajaj wanaopaki kando ya barabara wanashukuka na kupiga magoti kwa ile style ya mbuzi kagoma huku jamaa liko nyuma linakatikiwa live ile tuna iita kula kinguonguo. Shangaa na ile ya kwenye bodaboda ule mkao wa kubinua kibini
 
Mkuu Genta uliamua kupanda daladala ili kuona joto ya jiwe tunayopata wapanda daldala uliamua kupaki Crown yako
 
dah kuna mmoja alikuwa anakatika shanga zote nje alitokea muhumi alimpiga kidole hatar mpaka akajinyea usiniulize alimpiga alimuingiza kidole wapi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Huwa wanaburudisha, kuna siku walikuja huku mtaani kwenye shughuli, wanataka kuondoka gari likazingua wakawa wamekaa tu....nikawaita ndani nikawanunulia kvant aseeeeh walikata viuno, walicheza chura balaaaa...
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nenda kama hujarudi nyumbani kwako na boksa na kandambili za lodge.
 
Huu mjadala mara utageuka na kuhusu mleta mada kupanda Daladala coz JF kila mtu ana Gari kali.

πŸ˜€πŸ˜€
Nadhani Binafsi kama GENTAMYCINE nilishasema ( tena hapa hapa JamiiForums ) kuwa Mimi ndiyo Member Masikini kuliko Wote hapa nasikitika tu kuwa Umechelewa kulijua hili.
 
Hiyo ndio kazi ya wazalamo waruguru Makonde wandegereko wakwele wandamba wapogoro tena uwa wanainama wakunya madera wanaacha matako nje wanashindana kukata mauno
 
Hakuna sheria inayo kataza kukata kiuno, maadili ndio yanayokataza maana yana haribu watoto
 
Hawa mara nyingi hupigwa finga na masela kukiwa kuna kifoleni au gari zao zikienda kwa taratibu hua wanakula finga za kutosha mpaka wanaingiza makalio yao ndani.ila maisha ya uswahilini ni shida sana na ni maisha ya kuigana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…