Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Acha chuki kafiri wewe mla nguruweSiku mbili nyuma nimeshuhudia tukio ambalo serikali imelikalia kimya ila lingeweza kuleta madhara makubwa sana kwa Jamii.
kondoo zaidi ya mia 4 zimechinjwa bila kufuata taratibu za kiafya na kisha kugawiwa kwa raia!
Je, hii mifugo ilikuwa salama kiafya haikua na magonjwa yoyote?
serikali ilituma wawakilishi wake kusimamia usalama katika machinjio yale yasiyokuwa rasmi?