Sheria zinaruhusu uchinjaji wa mifugo kwenye maeneo ya Ibada kisha kugawiwa hovyo kwa raia?

Acha chuki kafiri wewe mla nguruwe
 
Waislam ni waminifu hawali vibudu ingekuwa dini nyingine wangewalisha wenzao mizoga
 
Makafara hayo wanachukua nyota zenu.

Endeleeni kupenda vya bure.
 
Sema tu kwa wale watu ambao ni wapigania haki za wanyama, watakuwa wanaumia sana. Maana wanyama wanachinjwa hadharani tu. Ule ni ukatili kwa wanyama mpaka basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…