Shetani Baba Yangu ( Devil My Father )

Shetani Baba Yangu ( Devil My Father )

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Sehemu ya 1

Ninaitwa Kapeli ni mtoto wa sita kati ya watoto saba familia yetu ni ya kimasikini kama waadhirika wengine wa vita nchini kongo
siku nyingine tungepitisha siku tatu bila kugusa chochote, ni maji tu ndio tungekuwa tunauhakika nayo

Ni mdogo ninamiaka 15 sasa nawaza kuhusu hali yetu ikiwa mimi ndie mtoto pekee wa kiume baba yetu amekwisha fariki, mama amebeba mzigo mzito sana sana afanye kibarua ili sisi tule

Kisa kinaanza miaka mitatu mbele pale nilipo kwea mlima na kukaa juu yake mbele yangu kulikua na jiwe kubwa na miti minne, kwa mawazo yangu niliketi hapo mpaka giza likatanda sana, mara nikasikia

kijana mwana wa kigosi kwanini unahudhunika?
Nikageuka kwa hofu huku nikisimama haula sikuona mtu bali giza, nilipata woga na kujiuliza nimezembea vipi mpaga usiku unikute hapa? mama yangu atakuwa na hofu sana

Nikasikia tena Najua shida yako nitakusaidia nawe utanifanyia kazi yangu, Hamadi chini ya miti ile minne na juu ya mwamba kulikua na Mbwa mweusi tiii na ulimi kama wa nyoka yaani uliogawanyika, Wee Miguu nisaidie wapi.. sikuweza kukimbia kabisa kabisa

Akasema hutaweza kutoka hapa ila kwa amri yangu, na siku nyingine nitakapo kuja kwako nitakuja kwa maumbo tofauti tofauti usije ogopa utachizika

Weeweee ni nani? sauti ya woga ikinitoka nikiwa nimedondoka chini miguu isiweze sogea, Alijibu mimi ni baba yako tangu sasa, mimi ni mkuu wa pepo mimi ndimi tajiri kuliko wote uliowahi kuona au kusikia, aliendelea kijana unanyota nzuri nimekuwa nikisikiliza mawazo yako tangu siku ile walinzi wa eneo hili walipo nieleza kuhusu wewe, najua utakuwa mtiifu kwangu

Nenda nyumbani nitakupa pesa na mali nyingi kama utakavyo hutalia njaa tena, mara miguu ikapata nguvu wala sikusubiri ruhusa ni mbio mpaka nyumani kipindi naanza kukimbia nilisikia kishindo kikubwa sana ila wala sikugeuka uoga nilioupata unatosha sana

Nilipo fika nyumbani nikakutana na dada yangu wa kwamza, nilimsalimia hakuitika akazama ndani mama akatuita akasema tusali, mara nasikia sauti ikisema, Unafukuza pesa? unapenda umasikini ondoka usishiriki nao

Ikabidi nimwambie mama mimi najisikia vinaya siwezi hata kusimama, mama akasema nenda jikoni unywe uji upumzike nilipitiliza chumbani nikalala kwakua nilikua mtoto pekee wa kiume basi nililala mwenyewe mara naona mbwa aina ya bulldog akija kwa kasi na kusimama karibu yangu bin vuu kawa chura mkubwa na kutapika mbele yangu pesa, kisha akawa mjusi na kusema mimi ni baba yako nenda uchukue pesa chooni

Nikashtuka ni alfajiri nilipotoka niliakuta ndugu zangu wamekusanyana wakisema mama hajihisi vema hawezi kwenda kutafuta kitu kwa ajili yetu, ndipo nilipokumbuja ile ndoto na kukimbia chooni kweli nilikuta pesa nyingi tu, nikachota na kuzipeleka pale kwa ndugu zangu

dada yangu alianza wewe pesa hizi umezitoa chooni? nikajibu ndio akasema nani kaweka? nikajibu baba yangu Mama akadakia kusema baba yako alishakufa na sisi kwa imani yetu ni kuwa haiwezekani kabisa mfu kuleta kitu, dada yangu wa tatu akasema hatuwezi tumia pesa za kishirikina wote waliunga mkono ila mdogo wangu akasema tutumie tu sababu hatuna jinsi na mama anaumwa

kweli walifikiri mara mbilitatu kisha tukakubaliana tununue chakula na kumpeleka mama hospitalini kisha siku ya ijumaa tupitie gulioni tupate nguo nzuri, pesa hazikuwa ndogo ni nyingi sana

baada ya kukamilisha yote ndipo nilipoona pesa niliyobakiza ni nyingi, mama akasema kwanini usiende kuongea na inonga akupe mbinu za kufanya biashara ya nguo gulioni, kesho yake mapema nilimtafuta huyo mzee ambaye ambaye siku hiyo ya jpili alikua hazunguuki kwenye magulio, nilimweleza wazo la mama

akasema ni wazo zuri ila siku ya juma3 twende nae kama kijana wake wa kazi nione jinsi anavyozunguuusha nguo na kununua mzigo na kuhesabu faida kwa muda wa wiki mbili huku nikitafuta eneo la kuanza kutandaza mzigo.

ITAENDA
ni ni right
 
sehemu ya 2

Kweli tulizunguuka pamoja kwa wiki tatu lakini kila eneo nililopata sikuridhishwa nalo kwani lilikua ni kando kando sana hata watu hawapiti

Daaah nilijiwazia baada ya kumueleza mama kuhusu jambo lile na ile pesa inazidi kupungua, kwa kukosa raha nilienda kulala mara nikaota mamba mkubwa anakuja mbele yangu akiwa na mijusi 7, aliponifikia alisema hawa ni wasaidizi wako watumie utakavyoo, utawapata kwa kuwaita majina yao wao ni majini wenye nguvu sana umekabidhiwa ili kurahisisha mambo yako na kujikinga na mambo mabaya, kisha nikatajiwa majina yao na kuambiwa niwahitajipo niweke nia na kuwaita, na muda wote watatembea nao, baada ya hapo yule mamba alipotea kwa kishindo kikuu sana

ndipo wale mijusi walipo niangalia bila kusema jambo kisha nikasema mimi ni nani kwenu? wakajibu bwana wetu, ndipo nilipogundua kuwa pale kati ya wote saba wawili tu ndio walikua wakiume na watani ni wakike, nikasema geukeni kwa umbule la ubinadamu niwaone wote siku zote kwa namna hiyo moshi dk0 kweli walibadilika na walivaa sura kutokana na jinsia zao eeee kweli walemabinti walikua warembo kwani watatu walionekana na asili za uarabu mmoja asili ya kinyarwanda na mwingine mzungu kwa upande wa wale wanaume wote walikua weusi tiii na warefu wenye misuli

wanamume wakasema tupo kama ulinzi wako, wanawake wakasema tupo kufanya jambo lolote kwa amri yako, kweli nilipata ujasiri sana kila nilipoona nabkuongea nao,

kokolikooooo ni sauti ya jogoo ikiwa ni siku nyingine ahsubuhi nikawahi kutoka nabkujiandaaa nikaaaga na kuenda kwa mzee ilikua siku ya juma3 hivyo tulizunguuka kukusanya mzigo na kwenda kwenye gulio kweli akasema nenda ukaangalie eneo niliangaza lakini sikua na tumaini lolote ndipo niliposema moyoni ninyi wasaidizi wangu nataka eneo zuri kwa ajili ya biashara yangu, mara akaja mdada ambaye alivaa ijabu na kunishika, akasema chukua hii pesa na uende nunua bidhaa sehemu ambayo ungependa kufanya biashara, yule mdada akaondoka

Nilisonga kidogo na kukuta mama mmoja akiwa akiuza vyomba vya plastic nikampa pesa na kununua bakuli na vikombe vingi

nikarudi zangu kwa yule mzee na kumsaidia kazi za hapa na pale, mpaka jioni sana na kurudi nyumbani

Nilimpa mama vile vikombe na kula nikaenda kulala

kesho tena nikafanya hivyohivyo kwa kuamka na kwenda na mzee gulioni kutokana na siku husika maeneo yakiwa yanabadilika badilika
Niliita wasaidizi na walinipa pesa na kununua bidhaa sehemu ambayo niliitaka

ilijirudia kwa siku zote sita kasoro j2 kweli wiki iliyofuata nilipata tu idea nibebe pesa kwenda nazo gulioni kweli baada ya kufika huko, kiongozi wa maeneo waliitisha watu na kusema eneo lile mfanyabiashara ameunguliwa na hana mtaji hivyo inabidi mtu ahamie watu wanagombania na kuweka dau, mimi nilitulia kisha mwishoni nikadondosha dau kubwa na kulinyakua eneo hili lilijirudia kwa maeneo yote siku ya j2 kweli hatukuwa na pesa kabisa, hapo mwezi umekatika tayari

nilivyoingia chumbani nikamwita mmoja kati ya msaidizi wangu ambaye alikua na asili ya kinyarwanda kweli ulitokea mwanga kisha nikamwona amekaa pembeni yangu akinipapasa kimapenzi kweli tangy nizaliwe sikuwahi kufanya mapenzi

pia yule mdada alinivutia ndio maana jina lake lilinijia kiurahisi sana, akasema unataka pesa? nikajibu ndio, akasema ili upate pesa nilazima ilale na mimi na tufanyavyoo mapenzi hakikisha unapotaka kukojoa unakojoa mdomoni mwangu

kweli kwakua nilikua beginer yule mrembo jini aliendeesha mchezo mzima baada ya gili mbili tu chaliii, aliniangalia kwa huruma na kusema unataka kuendelea nikusaidie? Nikajibu hapana nimetosheka kweli tulilala ahsubuhi najaribu kupapasa sioni mtu kitandani

ITAENDELEA
 
sehemu ya 3

Napapasa sioni mtu khaaaa nilisema mwani yule mrembo yupo wapi? nikafumbua macho lahaula niliona noti juu zimetanda Nilifurahi kwani siku hiyo ni j3 siku ambayo inabidi nianze biashara, niliamka na kujiandaa wala sikuaga japo niliacha pesa kdg mezani ya chochote kitu

paap kwa yule mzee nikamweleza kuwa naanza biashara na yeye alinitakia baraka, nilikwenda nunua vyombo vingi tu kwani pesa ninayo nikakodi usafidi (punda wanavuta) mpaka gulioni na nikaanza biashara rasmi, wateja walikua ni wakawaida mnooo

baada ya kumaliza wiki kwa kuzunguuka huku jpili nikitulia na kucheal home, niliwaza why nisimchukue dada yangu aliye nitangulia yeye alinizidi miaka miwili alikua na 20, huku mimi ninamiaka 18 kama msaidizi katika biashara

kweli siku iliyofuatia j3 mapema tulienda kukusanya mzigo na kuanza kuzunguusha magulioni, dada yangu aliizoea biashara mpaka muda mwingine nilimuachia, ila subiri niliwaza kwa sasa ninapata wateja wachache kwanini? nisifanye jambo ili nipate wateja wengi na kuwa na pesa kama mzee ulimbo (mzee ulimbo huyo alikuwa ndio big boss hapo)

Nilisubiri siku ya jpili nimepumzika niliamka ahsubuhi na mapema, nikanywa chai nikashiba nikarudi chumbani kwangu, Nikasema Nataka wateja wengi ili nipate pesa kuliko mzee ulimbo akatokea mwanamume , huyu ni moja kati ya wale niliokabidhiwa akasema, habari ikifika usiku nenda pale ulipokutana na baba yako ili umweleze shida yako pia anamazungumzo nawe

nilisubiri kweli kiza kikatanda na chaap bila hiana nikaaga naenda kunyoosh viungo nilitembea haraka mpaka nilifika pale kwenye jiwe kubwa na kusema Nimefika

ila holaaaaa sikusikia kitu basi nikarudia ila hakukuja kitu, nikajiwazia kwamba anaweza nijia tena ndotoni mimi ngoja nirudi ndoto

ile nageuka nikasikia Mwanangu unakwenda wapi? Nikageuka na kukaa kimya safari hii alionekana kama Nguva wa kiume mwenye misuli na mkuki mweusi sana

akasema ikiwa unataka wateja na pesa zaidi lazima unipe kitu ili nikuzidishie
Nataka uwalishe wale majini wa kike
Nikauliza wanakula nini? kwa haraka sana nilisema kwani nilijua nitaambiwa chakula tu chakawaida

akajibu mbegu zako inabidi kila siku ifanye nao mapenzi kwa awamu fanya nao siku zote za biashara zako j3 mpaka ijumaa usithubutu kuwagusa jmosi na jpili siku hizo unaweza tafuta mwanamke mwingine

wafanye kadri uwezavyo ila isipungue mara nne kwa wiki na nilazima umwage mbegu zako kinywani mwao ndicho chakula chao, pia nataka damu ya hedhi ya ndugu yako unayefanya nae biashara nenda uume hii pipi mwambie alimeze kisha baada ya hapo nitakunywa damu yake ya mwezi kila siku na nilazima umweleze ukweli aujue uaimlazimishe

njoo karibu hapa kweli niliposogea alipotea ndipo nilipomwona mzee akiwa uchi wa mnyama akinifanyia ishara kwamba nimfate

nikajiwazia kwani huyu ndio baba ambaye amekuwa akinitokea?
Nilipomsogelea akasema hapana nimepewa kazi na mkuu ya kukufanyia zindiko na kukuwekea kinga na mvuto

njoo twende alisema

Nilimfata mpaka pembeni ya kijito akasema vua nguo zako, kweli haikuniingia akilini niligoma, hakurudia tema bali jicho tu lilitosha kueleza ikabidi nisaule mdomdo kweli baada ya hapo akaniambia kuwa kila siku usiku nitakuja huku kushiriki kapenzi na wale wanawake kwa siku zote tano, kisha akasema inamisha kichwa kwenye chungu, heee maajabu kutazama chini niliona chungu cheusi chenye madawa na kuvuka moshi mwingi

nilitii na kweli akanifunika na ngozi kuhusu kilichofuata sikujua nilishtuka ahsubuhi tu huku nikimwona yule jini mwenyw asili ya kizungu pembeni akasema hutakiwi kuoga siku tano, hutakiwi kutoka nje siku tano, kuanzia leo usiku utaanza kushiriki mapenzi nasi na ufanye kama ulivyoambiwa

nikahoji kwaiyo biashara yangu atafanya nani? akasema ngojea uone kweli alijibadili na kuwa na muonekano wangu kisha akatoka na kufungua mlango na kumuita dada yangu

akamwambia mimi sitaweza kuja huko kwa siku tano simamia biashara zangu, dada akahoji kwanini? akajibu ninamfungo wa kuombea biashara tena nitafunga msifungie chumba changu mpaka nitakapo fungua mnaruhusiwa kunijulia hali mchana na nitawajibu

dada akasema sawa huku akigeuza , akamwita na dada kweli aligeuza kisha alimwambia njoo kweli ada yangu aliingia chumani kwangu

nikamwona yupe jini alie jibadilisha akija na kulala kama anaingia ndani yangu, nikasikia sauti kichwani kuwa hakuwa anakuona sasa anakuona moe kile kitu ulichopewa na mkuu usimfiche kitu

uuuuu nitajielezaje kwa dada wakati nimemwambia nipo kwenye maombi nashindwa kuelewa nashindwa kujua nitafanya nini?

ITAENDELEA
 
Sehemu ya 4

Kipindi nafikiria fikiria, dada akanishitua wewe mbona huongei unanitolea macho?, ooh dada ngoja nikwambie hivi unaonaje biashara yetu? Inaenda hivyohivyo aaaaa nilijibu na kumwambia haya nenda

baada ya hapo niligeuka upande wapili wa kitanda nijilaze ndipo nilipogundua jambo kuwa kitanda kilikua kimeliwana kwa majimaji na damu kidogo kujicheki mwilini chale nyingi sana

heee kwaiyo dada yangu hakuona hizi chale? duuh hii ni ajabu kwani nilikua nazo nyingi sana nikaamka na kubadili shuka japo lilikua limechakaa na kujilaza nilijikuta nimeshtuka jioni mama akiniitaa

nikamwitikia akasema ni kweli upo kwenye mfungo wa biashara? nikajibu ndio kweli mama alinitakia heri
Nahisi njaa nilisema akatokea tena yule jinni wa kizungu na kusema karibu chakula we ni vipaja vya kuku na coka kwenye glass kubwa tu

nikafakamia sana sana kisha akasema kumbuka leo jioni kazi inaanza tena mimi ndio nitaanza kushiriki mapenzi na wewe kisha akapotea kweli nilijikalia hapo pembeni kipindi hiko mwenye simu tena ya kizamani ni mama tu

kiza likaingia kwakua nyumba haikua na sakafu basi nikachukua ile pipi niliyopewa kula kwenye miti na anayejiita baba yangu na kuisagia chini nikachota ule mchanga na kusema nitaenda kuutupa chooni, sikua tayari kwa dada yangu jambo lile limtokee

usiku ulipotimba kweli niliona joka kubwa sana likiingia ndani kupitia dirisha kwa karibu niliweza gundua ni blackmamba, usiambiwe kitu kwa woga nilioupata naujua mwenyewe kutoka natamani ila masharti vipi? nikaita wasaidizi wangu ila wote nilisikia vicheko vyao tu hawakuja

ndipo yuje joka akasimamisha kichwa na kusema, Unaniona mjinga sio? mimi nikisema langu lazima litimie kwa kupenda au kutokupenda
ndipo nilipomjua nikamwambia hapana nibadilishie zoezi sipendi ndugu zangu wahusike kwenye hili

nilimwona akifikiri na kusema sawa inabidi utoe sadaka ya damu kila mwezi, nini? nilisema akajibu ndio tena inabidi uanze kazi hii mapema baada ya wiki hii, wasaidizi wako watakupa maelezo kisha aliondoka akiniacha na msonyo mkubwa sana

kweli baada ya hapo yule mzungu alitokea akiwa uchi na akiwa na kibuyu, akasema vua nguo zako, nilifanya kama alivyotaka akanishika na kupiga hatua, huuu nikwenye msitu ambao nilikuwako na yule mzee siku ya jana tukasonga mpaka pembeni ya ule mto na kuniamrisha nilale juu ya nyasi, aliinamisha kibuyu na kutoa mafuta alinipakaa mwili mzima kisha akasema ni wakati wako sasa tufanye

kiukweli sikupenda ubabe wa huyu bibie jini maana alikua akiniamrisha mpaka kwenye zoezi kweli nilienda bao tatu na zote nilizimwagia mdomoni

baada ya hapo akachukua kaniki ambayo ilinukia mitishamba na kunifuta yale mafuta na kusema rudi nyumbani tutaonana wiki ijayo utakapo nihitaji

Nirudi nyumbani ,heeee nashituka kutoka usingizini mezani nilimwona binti wa kiarabu akiniletea kuku na coca kama kawaida? Nikamuuliza mbona kila siku naletewa chakula hiko

akanijibu kwani upendezwi nacho? nikajibu hapana nikitamu, akacheka na kusema mimi ni mtamu zaidi kuliko hiki chakula natumai utaenjoy binti yule alikuja na kukaa karibu yangu huku akinilish na kunilembulia sana

akasema dawa unayopata itakuwa kinga dhifi yako, familia yako na biashara hakuna mchawi atakuweza, duuh nilishangaa mara mlango unagongwa nikaitikia nani? akajibu ni mimi asda huyu ndio dada yangu wa kwenye biashara

nikamsalimi na kumwambia biashara inaendeleaje? akasema biashara jana ilikuwa inaenda sana inabidi leo aende kuchukua mzigo tena

Nikamwambia vizuri mimi bado nafanya maombi wewe fanya biashara kwa nguvu , kisha tukaagana

kweli yule binti alinipetapeta siku nzima kwa kissing ila hakutaka nizamishe dude kwenye kibuyu

ITAENDELEA
 
Sehemu ya 5

usiku ulipofika akasema twende hatua moja tu tulitokea pale pa jana kisha akasema lala chini, akaanza nipaka mafuta huyu sikuona kibuyu ila alivyonipapasa tu niliona kuna mafuta

huyu alikua fundi na macho ya kunong'ona na sauti ya mahaba kweli kila bao alikua makini kweli nilimtolea kinywani mwake

baada ya kumaliza aliniaga kama yule bibie wa kizungu kabla hata hajaondoka nikamuuliza kwani? hauwezi kuja ndani ya wiki hii, akajibu hapana nimpaka wiki iishe utakapo kutana nasi sote

nikashtuka kitandani akiwa mdada mwingine wa kiarabu huyu naye wala hakuwa mbabe wala romantic yupo uvuguvugu alinipa wale kuku na coca

kisha alijilaza pambeni yangu mpaka usiku na kwenda msituni akanipaka mafuta na kuganya yetu

kweli siku iliyofutana alikuja mdada mwingine na kunyanduana nae usiku

siku ya ijumaa akaja yule wa kinyarwanda aisee huyu nilimzimikia sababu alikua na madaaa na ngozi fulani chocolate, alijua kweli kunishika alinilisha na ilipotimia usiku tulifanya yetu kisha akaniambia tutaonana wiki ijayo

na kuamka ahsubuh siku ya jmosi nilibaki ndani kwani vyakula vilikua navikuta kila nikiamka kuku na coca, baada ya wiki kuisha j3 niliamka na kwenda kazini kweli niliona mabadiliko wiki hii

niliuza sana sana tena sana nilipata pesa kweli biashara ilitembea kwa miaka miwili nilikua maarufu sana kwani chumaulete, wachawi wote walijua siingiliki niliuza na kujenga nyumba mpya na vitu vya thamani ndani nilinunua gari la mizigo (used) na kununua mashamba wa wili ambayo mama aliyasimamia

ratiba ya kushiriki mapenzi na wale majini ilikua kama kawaida na kila wiki nililala na wale majini kuanzia mara nne na kuendelea ila nilipenda kushiriki nayo ngono usiku mawili mawili huku nikimuacha yule mnyarwanda nikimfaidi baaya ya siku mbili ili niwe na mizuka, chale nazo zilikauka na sasa nipo fresh na vaa na kupendeza sana

siku moja kipindi nimejikalia tu chumbani (kwenye nyumba mpya) niliona chura eee nilisema huyu chura anaingiaje maana hakuna sehemu ambayo imetoboka na nyumba ni yakisasa sana sio rahisi akajibu

Mwanangu nimekuja kukujulia hali, ndipo yule chura alipokuwa mkubwamkubwa mpaka kunipita kimo changu

hahha alicheka na kusema inabidi uanze kutoa sadaka nataka damu nataka damu nataka damu

kisha akatokea wale majini wa kiume wawili wakasema ndio kwa sauti kubwa

ndipo yule chura alisema mimi ni SHETANI na umekuwa ukisikia sifa zangu hahaha si uongo mimi ni baba wa wote waovu mimi ndimi mungu wao waasi

sasa kwa kuaa umekula vyangu nilazima ufanye kazi zangu mwanangu wewe ndiwe mpendwa wangu

akasema ninaondoka nikirudi nitakueleza baadhi ya mambo ila hao (akimaanisha majini ya kiume) yatakufundisha jinsi ya kunipatia damu katu usiogope

ITAENDELEA
 
Sehemu ya 6

wale majini wakasema twende, ile nanyanyuka kikaja kimbunga kikubwa sana ndani ya nyumba yangu eeee nilisema nyumba inabomoka, ile fumba fumbua nipo ziwani tukiwa tumezama vimebaki vichwa tu wakasema, hili sio ziwa ni bahari na tulipo ni karibu kidogo na pembe tatu ya shetani

Pembe tatu ya shetani? nini nini hicho wakajibu ni sehemu ambapo hata ndege meli hazipiti chini hapo ndipo palipo na makao makuu ya malkia wa baba yako

tunaenda huko? niliuliza wakajibu ndio twende pale ndipo nilipogundua kuwa nilikua ninaelea na ghafla nilivutwa kwa kasi, kufurukuta ndipo nilipoona navutwa na mnyama kasa mpaka sehemu ambayo kulionekana mviringo wa maji (mkondo mkubwa sana) na kunitupia huko

nilizumguushwa na yale maji mpaka chini nikaangukia kwenye sakafu iliyozunguukwa miibabmiiba nilisimama na kusikia sauti ya kike ikisema karibu sana

kugeuka alikuwa binti mrembo ila sikuwahi kumuona, alikua uchii wa mnyama daah nilijiangalia na mimi nilijukuta hivyohivyo akasema twenda, nilianza mfata nyuma nyuma mpaka kwenye chumba alifungua na kabla hata ya kuingia alinishika kifua (kana kwamba ananizuia) na kusema kamwe usije shiriki mapenzi huku itakula kwako) kweli nilivyoingia aliufunga mlango wakati yeye hakuingia nilipokelewa na wadada wawili wazuri hatarii

wakasema njoo tukuoshe ili uweze onana na malkia, waliniingiza kwenye beseni na kunisugua kila sehemu kwa mawe meusi kweli nilijizuia maana dude ilisimama hatarii

baada ya kutoka kwenye lile beseni niliona yale maji ni meusi sana nikauliza hii ni nini? kwamba nilikua mchafu hivi wakasema hiyo ni mikosi na nuksi zote

walinipea vazi ambalo lilionekana kama vazi la mwana wa mfalme baada ya hapo nilipelekwa kwenye chumba ambacho kulikua na bwawa la kuogelea la kifahari ila wee halikua na maji bali ni damu nyingi sana kipindi na shangaa alitoka mwanamke

akiwa uchi alisogea karibu yangu na kuniita na kusema hujambo? karibu katika himaya yetu ya giza mwana wa uovu

eee niliogopa mimi tena niwe mwana wa uovu nilipo mtizama kwa makini niliona sehemu yake za siri zikitoa damu haaaa ninyingi kama bomba akaniuliza unashangaa hedhi yangu, mimi bado nilikaza macho damu ilitoka kama bomba na kuzama kwenye sweaming pool nikajiwazia hivi ndio namna anajaza hili bwawa?

akajibu hii ni damu ya kafara kwa ajili yangu na mungu wetu chukua hiki kibuyu na inabidi kijazwe damu kila mwezi, nitazitoa wapi?

subiri alinyoosha mkono alivyoshusha alitoa upembe uliovikwa shanga nyekundu nyeusi na nyeupe akasema chukua akanipa na hirizi mbili

akasema hii moja inabidi uwish chochote itatenda na hii nyingine ulinzi zidi ya wachawi wengine wabaya

nitaviweka wapi? akasema ukitaka hizi hirizi nitaziweka ndani ya mwili wako

ila huo upembe unanguvu zana ukitumia na hizi hirizi utafanya kila utakacho kumbuka kafara inatolewa kila mwanzo wa mwezi

ITAENDELEA

Ngoja nile maana shemeji yenu ananichatisha hapa naona hata kuandika nakosea sana
 
Sehemu ya 7

Utapata mafunzo zaidi pale utakapo kuwa unafanya jambo kisha akaleta bakuli kubwa kutazama ndani kuna coka kisha akanambia tumbukiza hirizi moja (ile ya kwanza) humo

kweli baada ya kutumbukiza soda ile iligeuka damu aaaa jamani mbona ni damu, hahahahhahahahhahahahahahahhahahhahahahahahahahhaha siku zote ulidhani unakunywa nini? ni damu damu ya kafara

Yesu wangu nilisema, ghafra niliona yule malikia akinuna na kuonesha hasira lips zilitikisika kwa hasira sura ilizidi kubadilika na kuwa mbaya sana sana alikuaa kama funza ila mwenye miguu miwili meno mawili juu na chini yalio tokea nje, pua ya ngurue na mdomo macho kama ya nyoka na ulimi kama wanyoka

akasema kwa nguvu huku kamwe hauruhusiwi kutaja jina hilo huku mungu wetu ni yule aliye kujia hutakiwi kumtaja Mungu na utakapo rudia utaishia huku sawaaa

niliitika kwa kichwa ndipo aliposema kunywaa, weee hakuna mtihani kama huo nawezaje kunywa ila ndio hivyoo sina budi sina namna lazima tu ninyweee hii damu kweli nilikunywa ikiwa na hirizi ndipo niliisikia ikitembea na kwenda kukaa nyuma ya koo langu

ilenyingie alisema nyanyua mkono wa kushoto kisha akaitumbukiza kimiujiza ndani ya kwapa tangu hapo sikuwahi kuzihisi

ndipo aliponiambia umepewa nguvu sasa nenda utoe sadaka haraka ndipo niliposhtuka ni ahsubuh

niliwahi kazini kweli biashara ilipamba moto sana, sasa kunamuda kipindi tunachakarika na dada yangu ndipo mfanyabiashara mwenzangu walipokuja na kuanza kubwabwaja wewe mtoto mchawi sana na miaka yako hiyo 20 unatumia uchawi mwingi hivyooo huna lolote na nitakukomesha

nilikaa kimya kuendelea na wateja ila sababu ya dawa wateja wao hawakujali wala nini kisha nikamjibu tutaona

kisha nikaendelea na biashara zangu kweli nilikua na pesa kuliko hata wefanyabiashara wengine cha ajabu baada ya kurudi toke kule baharini kila kwenye biashara kubwa na baadhi kwenye hilo gulio lazima nione viungo vya watu au hirizi na madawa na wengi waliligundua hilo pale tu ninapoona

nilivyorudi nyumbani nilimwambia mama, hapa congo si sehemu nzuri sana kwetu kwakua nina maisha mazuri kiasi kwamba nilichukua mizigo na kwenda kuwauzia wenzangu kwenye gulio kwa bei cheee kbs

basi next week nitaenda tanzania kusaka mahari pazuri pa kuishi huko, kwani huku tumetengwa

ITAENDELEA
 
Sehemu ya 8

wiki iliyofuata nilipanda boti mpaka kigoma, kiswahili nilikijua vema tu japo na ile rafudhi ya kongo nilipanda bus mpaka jijini dar es salaam nilitumia nguvu ya irizi ili kuweka kiininacho ninapo ongea kweli hakuna aliesanuka kama mimi sio mtanzania na kweli niliwapumbaza

baada ya kufika dar nilikodisha chumba WANYAMA HOTEL kariakoo, mda wote huo niliweza change farang kwenda tsh kwa njia ya kishirikina yaani wale majini niliwapa kiasi cha pesa kisha baada ya 30min waliniletea tsh, walizitoa wapi? sijui wanajua wenyewe

kama utani usiku huo walemajini wa kiume Harold na jannu waliniambia twende ukalete damu niliwaza nitaitoa wapi waliniambia sisi tutakuambia mahali wewe utaenda kila ufikapo muda wa sadaka

kisha akasema nenda kagera, nini? niliuliza kwanza kagera ni wapi? Harold (moja kati ya wale majini wa kiume) wakajibu kila kitu unacho uwezo unao nenda kafanikishe zoezi aliongea ndipo niliposimama na kunyanyua mikono juu kisha nikasema tugoletugoletugole mara 3 ndipo upembe na kibuyu vilipo tokea chini pamoja na kaniki

hii ni njia ambayo nilifundishwa na wale ma jinni kuhufadhi kivu vyangu kwa nguvu nilizopewa

nikaivaa kaniki tu na kushika kibuyu kushoto(nilipewa sharti damu ikingwe kwa mokono wa kushoto) kisha upembe niliuacha chini nilikwenda kwenye begi langu na kutoa kijiko nikakiweka chini na kuubeba upembe na kusema nasafiri mpaka bukoba eneo ninalotakiwa kisha nikautupia ule upembe pale kwenye kijiko (hii ni njia niliopewa kama moja ya njia ambayo inakinzana na guvu nyingine maana hapo kariakoo nilipozunguuka mchana kweli niliona giza la kichawi hivyo nilifanya hivi ili kukinzana na nguvu hizo kirahisi

kweli kulitokea moshi nikafumba macho kufumbua nipo kando kando ya mto wavuvi wakivua usiku ule wa amba la mwezi nilichukua mchanga nikaumimina ndani ya upembe kisha nikaurusha ajabu mchanga ule uliruka mpaka kwenye boti

wavuvi: oya huu mchanga uliomwagika umetoka wapi?
mvuvu wa pili: ngojea naona kuna mtu anataka kutuchezea
alitoa mfupa na hirizi kisha akaviweka juu ya kichwa na kuanza kuimba imba na kufanya mambo ya kichawii

upembe ulianza kupata moto, mara nasikia urushe urushe kwenye boti, ilikua sauti ya jannu( yule jini mwingine wa kiume) kweli niliutupa kisha nikasema nataka damu zako kama kafara niliingia mtoni nikiogelea kile kibuyu nilikuelesha juu ya maji kila nilipo karibia ndipo ule mtumwi mdogo ulipo toboka na kuzama nilisogea karibu huku wale wavuvi wakikosa nguvu kutokana na ule mchanga

ndipo nilipo uokota upembe ndani ya maji na kuwagusisha kichwani na baada ya hapo niliweke mdomo wa kibuyu kwenye utosi ukanyonya damu yao yote nilifanya hivyo kwa wote wawili ila nilihakikisha baada ya kuwagusisha upembe nasubiri waelee ndipo wamgusisha kibuyu baada ya hapo huyo mtualizama tena, hii ilikua kwa wote nilitoka mtoni kile kibuyu kilikua kizito si chini ya lita 7 -13 zile

nikarudi kama nilivyokuja baada ya hapo niliweka kibuyu chini na kukifunika na pembe nilipofunua hakukua na damu tena mule ndani kisha nilivipoteza kimazingara

nikalala zangu na kutimiza wajibubwa kuserebuka na wale majini wa kike ( safari hii nachagua nile mda gani na nani) ila sikuruhusiwa kupitisha siku 19 bila kutomgusa mmoja wapo

palipo kucha amini usiamini nilikuta pesa ndani ya choo ni nyingi mnoo nilikusanya zote na kuhesabu ni ml120

halaula japo pesa ya bongo ilinichukua muda kuimastaer vizuri ila nilitoka na kwenda kutafuta dalali ninunue nyumba sehemu pia niliwasiliana na dada yangu kuwa nanunua nyombo kwa jumla na kupeleka kongo

kweli baada ya wiki nilienda kutazama nyumba iliyouzwa milioni 70 maeneo ya kinyerezi kisha nilinunu kila kitu, nilikaa kwa mwezi mmoja kisha nilitoa sadaka tena maeneo ya mombasa

safari hii nilitengeneza ajali wakati watoto wakiogelea nilinunua pipi nyingi na kuziwekea uchawi kisha niliwapa wale ambao walikula ndio niliowapata maana walipoenda tu kuogelea nilirusha upembe kimazingara huku kibuyu nikikifunga ule upembe kwa ubavu

nilikaa pembeni nikisubiria ndipo lilikuja wimbi na wale watoto walizama, kwanza waliogelea mbali kutokana na uchawi wa zile pipi, daah mzazi mmoja walewatoto sijui nini kitatokea twendeni aliamka na wannaume wengine wawili kuwahi watoto kabla ya wimbi ila walichelewa liliwakuta na kuwazamisha wote

ila baada ya kuibuka waliibuka watoto ambao hawakula pipi na wale wazazi

ITAENDELEA
 
Sehemu ya 9

hahaha jinni yule wa kizungu alicheka na kusema, sasa unajua utakipataje hiko kibuyu ulisahau kukinenea , kweli nilinena kwenye upembe kwamba damu ya sadaka ijazwe ndani ya kibuyu akasema ila bado unalakufanya nifanye nini? niliuliza maana kichwa kilikuwa kinavibrate kwa hofu ya kupoteza kile kibuyu

Kwani siulipewa irizi zitumie sasa, nizitumiaje??? nuwia mara saba ukiupa bahari mgongo

mara bro unaongea na nani?

aaa hamna kwani ninaongea kwa sauti, yule mtu hakujibu ila alijiondokea zake
kweli nilishika kwapa (kuna namna nikishika na kupindisha miguu napotea kwenye macho ya watu) kisha niligeuka na kunuwia nikitaka kile kibuyu kija chenyewe pale nilipo baada ya kumaliza nilifunga macho na kugeuka nilipofungua kweli kibuyu kilikuja kikavu hakina hata tone la maji na ule upembe ukiwa umekatika katikati japo haukuachana

niliubeba mpaka nyumbani na kuwaza dah, nini kinetokea kwenye upembe huu, ila kwakua kibuyu kilikua na damu niliamua kutenga chumba na kuweka kila kibuyu

nilipata maelekezi ya kwamba ninunue begi kubwa na niweke mzizi wa mbaazi ndani yake, vyote pamoja na upembe nivitunze kwenye chumba pia chini niweke zulia jeusi

nikafanya hivyo na baada tu ya kuweka damu iliisha na pesa niliziona, ila hazikuwa nyingi sana
nilihesabu na kujua ni laki 2, aa nilitoka na kwenda sebleni nikiwaza aaa mbona pesa ni chache sasa, mara nasikia sauti kwenye chumba ikisema, Njoo unijibu njoo

kweli nilikimbia mpaka ndani ya chumba, ndipo nilipomkuta mwanaume tu, nilijua alikuwa ni yule shetani baba yangu, alivalia vizuri(official) suti na kiatu cha kaki

akasema ni muda sijaja ila mimi kila ijumaa ya wiki hujigeuza mtu na kuzurura duniani twende nami tusafishe macho

kweli nilitoka nae yeye alikaa sebleni nikaoga kisha, nikavaa zangu nikatoka hao tukadandia taxi mpaka nightclub moja tabata

aliagiza pombe zakutosha(konyagi, castle lite) mimi sikuwa mnywaji kabisa, niliagiza fanta alikunywaa ila sikuona dalili ya kulewa, baada ya kimya alisema unajua mimi ninaweza gawa pesa ulimweguni kote bure, ila mimi kwangu lazima zirudi kwa faida lazima zirudi kwangu, watu wote hawa wananiunga mkono

akasema ninda uchukue mwanamke yeyote pale na ukalale naye, kipindi nawaza yeye alinyanyuka na kudaka malaya mmoja na kutokomea lodge

niliwaza kwamba ndio baba kashanitupa sina hata pesa ya kulipa huyo demu, mara yule jini nilimwona nje ya bar kwa mbali, akisema kwa nguvu unazubaa nini wewe kapeli pesa ziko mifukoni mwako

nilinyanyuka na kwenda kwa dada mmoja na kumwambia nataka ukanipooze akasema laki na nusu, nikamwambia twende tukaenda mapokezi na kununua room nikapewa na funguo ile kuzama room tu, khaa nisimkute yule bwana akiwa kwenye shughuli, nilizubaa sana na wala hakunigeukia, yule demu oyaa unashangaa nini wewe?

mh kwani yeye haoni au? na mbona mhudumu kanipa room yenye mtu?

ITAENDELEA
 
Sehemu ya 10

Yule dada: twende bwana muda huu
mimi: sawa

Nilizama ndani nikatulia kwenye sofa, bibiye alikwenda kuoga kisha mimi nikafuata baada ya hapo nilimwambia, tufanye kwenye kochi

mrembo: kwanini?
mimi: niamua tu
mrembo: poa

kweli tulifanya yetu pale baada ya kumaliza alienda kuoga na kulala kitandani
mimi bado ninamwona yule Baba yangu sahari hii alikaa pembeni yeye pamoja na mwanamke

yule mrembo nilieingia nae hakuwa anawaona maana aliwapita na kuzama kitandani, ndipo niliposikia mtu akija toka bafuni alikuwa yule baba akasema mbona unashangaa ile haikuwa kweli ni kiini macho tu

Mimi: simlinipa zindiko mambo kama haya ningeyagundua
Baba: Hapana tangu lini mwana akamzidi baba
Mimi: kwanini ulifanya hivyo?
Baba: sikia mwanangu tangu sasa nitakupa pesa nyingi ustareheshe watu, uwasaidie katika uwovu
Mimi: kimyaa
Baba: Kwani si unajua kuwa dhambi ni gharama na malipo yake ni kifo?
sikia mimi si wa ulimwengu huu nimetoka juu sana ninamjua Muumba kuliko Mwanadamu mwengine yeyote, najua anafanyaje kazi
sasa ninataka damu ya huyo ulielala nae
Mimi: nikasema sawa baba nitafanya hivyo

alipotea na kuanza kufikiri sana sana je nitafanya nini? mrembo wa watu alijua anakuja kupata pesa kumbe ndio mwisho wake

dahh ni shida, kweli nilivua nguo na kukianzisha na yule mrembo cha mwisho mwisho baada ya hapo nilimwacha alale nikanyoosha mikono juu na kukiita kibuyu changu

nilimwekea kwenye utosi binti wa watu alitapatapa sana
Mara akaanza kuongea kwanini unatuulia kiti chetu, kwanini? na tutakukomesha umeamua kuvunja nyumba yetu tunakwenda kukaa kwa ndugu zako tutawatesa

sikusikiliza baada ya kumaliza kumnyonya nilipotea nikatokea kwenye chumba changu cha siri nikaweka kila kibuyu pale nikashika kitasa nitembee, hee nilisahu kuwa nilifunga kile chumba kwa nje

niligeuka nikiwaza nifanye nini? ndipo nilipopata wazo la kutumia hirizi zangu, kushirikiana na yule jinni wa kinyarwanda ambaye alionekana mwenye nguvu kuliko wate, alinisafirisha kimazingara

siku hii hakuonekana kufurahi waa nini? alifanya kama vile ni majukumu tu, baaae alinipikia vizuri tukala pale tukashiba akatoa vyombo

mimi: kwanini huna furaha?
jinni mnyarwanda: Mnajua sisi nao tunawivu kma ninyi
mimi: duuh
jinni mnyarwanda: ndio tunapenda kama ninyi sema tu tumekosa chaguo moja
mimi: lipi?
jinni mnyarwanda: kwaheriiiii
Akpotea

ITAENDELEA
 
Sehemu ya 11

Sikuzingatia wala nini? nilenda kulala akaja jinni wa kizungu na kulala nae, ahsubuh kweli niliingia sokoni kukusanya mzigo na kuutuma kongo

nilikaaa takribani mwaka mmoja, ndipo nilipozunguuka kwenye viwanda baada ya kutumiwa pesa za biashara nikachanganya na pesa za makafara nilinunua mzigo mwingi sana

nilijaza kontena moja na kuisafirisha huku mimi nikipanda basi na kuvuka ziwa nikarudi nyumbani

mambo yalikuwa yamebadilika baada ya kuambiwa dada yangu wa kwanza anasumbuliwa na mapepo sana, ndoto mbaya kuanguka na kusema vitu vya ajabu kuwa mimi nilimuua kiti wao

mhhh niliguna na kusema Mama nimechoka sana kesho nitalitafutia dawa hilo tatizo
Nilienda chumbani na kujiegesha mida yaa usiku mzito, niliamka siku hiyo sikupanga kushiriki mapenzi

niliwaita majini wote na kuwaeleza shida ya dada yangu, wakasema chukua hiki kijiti umwambie atafune, shida yake tutaitatua

ila inaonekana hao majini wamepania kwanini? usiwaite na kuzungumza nao, nilisema waite

kweli jinni mmoja alinyoosha mkono kisha nikahisi baridi chini pia kulikuwa na paka wakubwa wawili weusi

walizingumza kwa hasira, kijana huyu anatuona wajinga ametuacha bila makazi safari hii tuko pamoja na dada yake

Mimi: niwatafutie makazi mengine?
Mapaka: hatutaki
mimi:lakini niliagizwa damu ya yule binti na baba yangu
Mapaka: baba yako ni nani?
mimi: Nilikosa kujibu maana sijui jina lake zaidi ya lile Alilosema ni shetani

mara Radi kubwa ikapiga na wale wote waliinamisha vichwa vyao
kisha wakanyanyua

Mapaka: tumekuelewa sisi tunaenda zetu
Wakapotea

Kisha nikaagana na wale wengine ila kwakua nilimpenda yule mnyarwanda (Agness) nilimwomba kampani

kweli tulipiga sana yetu baada ya hapo, tulipumzika nilishtuka ahsubuh mwenyewe

nilivaa na kusebenza zangu kwenda kukagua biashara, dada yangu alibadili biashara na kuwa muuzaji mkuu wa jumla hakuzunguuka tena kwenye minada

baada ya hapo nilitafuta vibali ili tuhamie tanzania moja kwa moja kweli baada ya mwaka maandalizi yalikamilika (ila kila mwezi nilirudi tanzania kuchukua mizigo na kuiangalia nyumba)
kabla ya kuja rasmi nilitafuta fremu kariakoo na kujuana na wafanya biashara wengine ili jianze rasmi biashara ya nguo

Pia nilimwomba agness (jinni wa kinyarwanda) aishi kama mke wangu na ndugu zangu wajue kweli alikubali, alikaa nyumbani mpaka siku tunaamia mama na ndugu zangu walijua ndio mke wangu na kweli agness aliwatunza sana

nilitafuta hati na vibali vya uraia kwa wote mm na ndugu zangu tukapata, nilianza biashara na kuona jinsi mzunguuko na faida inavyo ingia

Siku moja mimi na mke wangu agness aliniambia twende nikutambulishe nyumbani, mhhh niliguna sababu niliwahi soma story za majini mambo ya kupelekana chini ya bahari na mauzauza mengine kisha nikasema lini?

akajibu kesho nitakupeleka kwa ndugu zangu kisha usiku wa jmosi tutakwenda nyumbani kwetu na nilisha waambia, mimi nilijibu poa no problema

kweli kesho baada ya kupambazuka tuliaga kuwa tunaenda matembezi (biashara ilikuwa inafanya na dada zangu) mimiilikuwa naagiza mizigo tu na kukagua hesabu

tulitoka na kuchukua taxi mpaka magomeni tulishuka mahari nisipopajua na kuingia ndani ya nyumba ya kawaida sana

tulikuta wenyeji kama 10 wanaume saba na wanawake 3 tulikaa zikaletwa nyama choma na vinywaji

mapema ikabidi niwahi kuwa mimi sinywi vinywaji leo sina hamu navyo (hapa nilikumbuka kule kwa yule malikia nilivyonyweshwa koka kumbe damu) wakachela kisha wote walikaa kimya na kuendelea na yao tulipiga zile nyama badae niliomba maji ya baridi nilipewa kushushia

Agness: hawa wote ni ndugu zangu kasoro yule mwanaume pale ni mme wa dada yangu yule (niliwaza kumbe yule ni kama mimi) agness aliendelea hapana sote sisi ni majini

tupo tunaendeesha maisha yetu huku tukichanganyikana na ninyi

kweli wale ndugu zake walijitambulisha na marisala mengi kama tuko kwenye kitchen party bwana, ila kwa kua ugenini nilisikiliza kisha tukasepa

ilikua siku ya alhamisi iyo tulipo rudi nyumbani agness alisema, kwanini usimwombe Mkuu akubadilishie shart la kulala na sisi wote, kweli niliona wazo jema ila nampata wapi?

maana yeye ndiye anayekuja akaendelea alafu uliogopa kunywa soda kisa ukidhani damu kwani unajua umekulala nyama ya nini? au kuku ulizofakamia toka kongo mpaka leo unafikiri ni kwio hahahha alicheka

mimi tena kimberembere kimeisha wala sikuuliza tena kwani nilihisi moyo unadundia tumboni na utumbo unataka kutoka

dah nilisema sasa nimekuwa mjinga sana

ITAENDELEA....
 
Sehemu ya 12

Kweli jumamosi ilifika na ahsubuhi sana nilikwenda kariakoo kama ilivyo ada huko alikuwepo mama na dada zangu wawili nilikodisha fremu double kwakua nilikua na pesa
nilipiga mahesabu nikakusanya mauzo na kwenda kuchange kuwa dollar na kuzituma china ili mzigo wangu upakiwe baada ya hapo nilichukua pesa iliyobaki na kwenda kwenye moja ya cargo yenye mzigo wangu kuukomboa
nilisimamia zoezi mpaka mzigo unaingia store

kisha nikapanga bei na kuwahudumia wateja wangu wakubwa kubwa, kisha niliwaachia muda waendelee na biashara mimi nikasepa
nilikuwa nishafanya janja janja mpaka ndugu zangu wote wamepata kitambulisho cha uraia na niliwaambia watembee navyo sababu kiswahili chao kidogo kilikuwa baadhi ya sehemu lazima utambue rafudhi yao

nilirudi nyumbani mida ya saa 8 na nakumbuka mama alikua anakazania kweli kuona wakwe zake yaani ndugu upande wa mke maana anavyomjali mpaka raha
Agness upo tayari leo tunakwenda zetu huko nyumbani (Mda mwingi agness alikuwa anapenda kuongea kwa masihara masihara sana ila alikuwa mwepesi wa kununa kwa jambo lisilomfurahisha) Tunakwenda na ungo au taksi?

hahhha alicheka na kusema utajionea tu subiri mid night aliingizia kiingereza kweli alipika chakula cha siku nzima na kufanya usafi kisha akanambia kafara usisahau leo utakwenda wapi?
Mimi aaaa nitajua baadae, Hapana baadae unamiadi na mimi pia nenda kafanye mambo yako na hapo wake wenza usiku mimi na wewe tutakuwa kwetu tukisharehe

Mara ghafla nilihisi uwepo wa mtu mwingine
Agness: Unashtuka nini?
Mimi:Nahisi kabisa kunakiumbe kingine
Agness: Ni morning star
Mimi: Simjui huyo mimi
Agness: Wacha uwongo sindo baba yako aliekupa mali zote
Mimi: Aaa kumbe alafu siku ile ilipopiga radi ilikuwa nini?
Agness: Alikuwa akiwaamrisha wale majini

Mara nilimwona mtu mwanamume mrembo sana amevalia vazi jeusi tii akaja na kutusalimu na kusema
Nimebariki ndoa yenu na sasa nitawaondoa wasaidizi sita ubaki naye huyu
ila sharti ni moja uendeleee kumwaga mbegu zako mdomoni kila ufanyapo Mapenzi isipokuwa tu mkitafuta mtoto

Ahsante nilisema aliitikia nina watoto wengi sana wengine nimewapa masharti magumu na kazi ngumu na wengine nimewapa starehe tu ila mwisho wote ni wangu tu
kumbuka kutoa sadaka kwani ndio nguvu zako

Akapotea
Agness: Nilimwona akiachia tabasamu baada ya kuinua kichwa kwa maneno ya mkuu wake
Akasema nimefurahi sana sana
Nilimwangalia kwa muda ila sikujibu chochote ila niliwaza huu ndio muda wa kupata nafasi ya kuuliza maswali kuhusu ngano zote za zamani kuhusu majini na shetani

Mimi: Hivi tukiongea shetani anaweza kusikia na kuona hata kama hayupo
Agness: Iblis hayupo kila mahali akiwa pale hawezi kuwa hapa atajua endapo atataka kujua kuhusu nini kinaendelea hapa
Mimi: Ninyi mlitokea wapi? asili yenu ni ipi?
Agness: Majini tumetofautiana kwa makundi yetu yapo ambayo ni mchanganyiko wa binadamu na majini na wale ambao wametengenezwa au wale ambao huitwa fallen angel
Mimi: Sawa sawa kwaiyo tunaendaje kwenu
Agness: Nenda ukatafute sadaka ukirudi tutajua

kweli ilikua mida ya saa moja usiku kwenye kile chumba ambacho nilifanya cha siri nilikifunga na komeo kwa ndani na nje nilijenga ukuta ili kuingia ndani nilazima utumie mazingara pia niliwatia upofu ndugu zangu na wote wanastarehe kwa mali ambazo wao hawajui zimepatikanaje na walizikataa

nilifanya uchawi wangu na kuzama ndani ya chumba eeee nilimkuta yule malkia na upembe mwingine mkono wa kushoto ulionekana mkubwa kidogo sio kama ule wangu wa mwanzo ambao alikuwa kaushika mkono wa kuume
Akasema tazama nimekupa zawadi kubwa zaidi kwa kua unaenda kuunganishwa kwa damu na koo zetu huu upembe ninaokupa ni wenye nguvu sana safari hii kafara itakuwa rahisi na ya muda mfupi sana

niliupokea kwa unyenyekevu na mikono miwili kisha kicheko kilirindima na kutoweka sikulaza damu nilibeba kibuyu changu na kufanya uchawi nikatokea pembezoni mwa mteremko mkali nilishuka mpaka chini na nilimkuta watoto tisa wa kimasai wakicheza huku wanachunga mifugo yao

nilitazama huko na huko nisione kitu ndipo nilipopata wazo nikachukua upembe nikashika wapa langu na kunyunyuzia na kuunda nyoka wa kichawi ambao niliwatuma waende kung'ata wale watoto kweli walingata wote na wengi walilia kwa maumivu sikua na huruma nilijibadili nionekane na kuficha vitendea kazi na kisha nilikimbia mpaka center na kusema kwa nguvu watoto wenu wameng'atwa na nyoka twendeni tuwahi kuwapeleka hospitali

kweli wale wazazi walikimbia sana na kwenda kuwachukua na kuwapeleka zaanati ya karibu katikati katika safari mzazi mmoja kwanini tusiwapeleke kwa mganga
Niliwahi zama zimebadilika hizi tuwapeleke hoapitali kwanza we siunaona kabisa ni karibu kwani huko kwa mtaalamu ni wapi

akasema ni kweli maana ni mbali sana, kipindi hiko walishawawekea madawa ya kienyeji ila hali bado haikuwa nzuri baada ya kufikishwa walilazwa na mimi niliomba kuondoka, nilichomoka kama mshale na kwenda nyuma ya kizaanati na kupotea nikarudi ndani kwa upya kabisa, nilikaa pembe ya nne na kufanya uchawi wangu ambapo wale watoto walianza kuzidiwa sana huku kibuyu changu kikianza kupata damu huku wale watoto wa kikauka kweli watoto saba walikauka na wanane huyo aliishiwa damu kidogo wa tisa hakuguswa sababu kibuyu kilijaa hivyo niliachana naye na nilimwacha na sumu ili madaktari wa angaike nae

ile nageuka tu nisepe nilisikia unaenda wapi wewe mchawi nilipogeuka alikuwa mzee pia yupo uchi sikumsemesha na nilianza kuchapa hatua nikisaka pembe ya saba nitimue ndipo aliporusha kombora lake bwana we lilimrudia sababu ya mazindiko yangu na upembe wangu

na kuanguka watu wote walimwona na kusema huyu ndie aliye tuulia watoto wetu yaani leo tunakuchoma mzima mzima

mimi huyo nishatokea kwenye kile chumba niliweka damu na kuingia chumbani kwangu sikumkuta mtu na ilikua mida ya saa 3 watu wote walirudi nilipokwenda sebleni kuwasabai walisema ulikuwa unelala duuh
Niliitikia kawaida nilipiga nao story ila sikula nilimwambia mama nataka kujenga nyumba ya wapangaji akajibu ni jambo zuri tutazungumza maana nimechoka sana

mimi nilirudi kulala na nilipitiwa kwelikweli mara
weeweeweewee kapeli amka mda wa safari umefika

ITAENDLEA..
 
Sehemu ya 13
Niliamka kwa kujivuta sana sana kwani usingizi ulishanichota kwa kiasi fulani, Nikajiandaa kwa kuoga kwa sabuni (Nilipewa na agness) fulani na kuvaa suti yangu nyeupe pee na unyunyu (pia nilipewa)
Haya sasa tuondoke tulishikana mikono kwa kuifungania hatua moja tulitokea ufukweli nilipatambua kwani ni eneo ambalo niliwahi fika ni cocobeach ghafla wakaja wadada wengine wa tano wakasema karibu alfat

Agness: Tuwafate na huku niite alfat
Kweli nilianza fuata mdogo mdogo mpaka ndani kabisa ya bahari si kuwa na uoga sana kwani tayari niliwahi kupata experience kama hii hapo kabla
Tulijikuta tupo chini hali ya hewa ilikuwa tu ya kawaida mbele palikuwa na nyumba nzuri tu
tuliingia humo na kumkuta mzee wa makamo akiangalia runinga kipindi ambacho hata sikukielewa documentary sio documentary yaani sikuambulia kitu

Alinigeukia na kunipa salamu za karibu mara sauti kushoto kwangu Mkwee hujambo, niliitikia kwa mashangao kwani sikusikia hata vishindo vya kuja kwakwe japo alikua na mwili wa kawaida na mapambo ya vito

mara njooni tule, eee moyo paaa baba mkwe unahofu ya nini?
Alfat: Hamna baba huyu hupenda tu kula huku akijichekesha maana baba yake alionekana dhairi kuujua uongo ule
Kweli palikuweko na vyakula vingi kabla ya kutengwa nilimwambia alfat mapema kuwa nitakula wali na njugumawe na maji ili kuwai nisije liswa vitu vingine
Msosi ulikuwa bomba sana sana, baada ya hapo wakasema twendeni ukumbini bwana na bibi harusi mnasubiriwa
eeee nilijiwazia kuwa leo ndo naoa et aaa mbona haraka hivi
Wewe usiwe na shaka kabisa mkwe utafurahia tu Mama mkwe alisema

tulifunga ndoa maana tafrija ilijawa na watu wengi sana wenye mavazi ya kila rangi ila kwa kuwatambua tu ulijua sio binadamu kwani bado walikuwa na baadhi ya tabia ambazo kwa binadamu sijawahi ona

walipokuwa wanamove wengine walitambaa au kuyeyuka waliongea kwa sauti sana
Ndoa ilifugwa na kuambiwa twende fungate nilishavaa pete mimi na mke wangu,

IMEANDIKA NUSU TOKA AHSUBUH SABABU SIJATULIA NIMESEMA NITUME KWANZA BAADE NITAENDELEA.
 
Sehemu ya 14
Tuliongozwa mpaka chumba kilichopo ndani ya nyumba ile kilikuwa kizuri na chakuvutia wote tulivua nguo na kwenda kuoga pamoja baada ya hapo mambo yalihamia kwa kitanda siku hiyo alfat aliniambia leo tunatafuta mtoto

kweli tulikandamizana sana sana mpaka ahsubuh nilipotoka tulikunywa chai ya maziwa na kachori nyeusi (selewi ndio ilikuwa jicho la mtoto au ni nini? ila tamu) na alfat alimwambia wazazi wake kuwa inabidi aonane na wazazi wangu na kweli walijibu kuwa baada ya siku saba wangekuja

tuliondoka na kutokea pembezoni mwa barabara sinza makaburini tulichukua tax mpaka kariakoo

Kaka mbona hukuonekana kwa siku tatu
Mimi: Nilienda kwao agness
Mdogo wangu: Aaaah umeniletea nini?
Agness alidakia hii hapa
eeee nilishangaa kuona saa yenye vito akimpatia mdogo wangu

niliaga kuwa nimechoka baada ya kukagua mauzo na nilirudi zangu nyumbani kupumzika
nililala mpaka mida fulani fulani nikatoka kwenda kupunga upepo huku agness yeye akiendelea kuandaa vitu vya kula usiku
mama yangu alirudi pamoja na ndugu zangu

ndipo tulipomweleza ujio wa wakwe baada ya siku saba ambapo itaangukia siku ya jumanne
mama alifurahi sana sikuzilisonga huku nikiona faida kwenye biashara yangu iliyopelekea kufungua duka jingine la nguo za kike ili kupunguza msongamano wa dada zangu kwakua mipango nilikua nayo mda ilichukua siku 5 tu

siku ya saba baada mama alijiandaa na mida ya saa mbili tuliupokea ugeni kutoka kwenye tax walipiga story za maendeleo yetu pia walileta na zawadi kwa ndugu zangu wote ilipofika mida ya saa saba waliaga kuondoka
Mama alijaribu kweli kuwakatisha ila alishindwa maana baada ya kuona upinzani mwingi walitumia mazingara ili kuwapumbaza na wao walitoka kupitia ukuta na kupotelea kusiko julikana

ila kabla ya kuondoka nilitoka nje na baba yake agness kupiga nae story mbilitatu na kunipa wosia wake

tulirudi na kila mtu alikwenda kujinyoosha kivyake
ooooh ivi yule mzee wako alikuwa anaangalia nini?
agness: sisi kule nyumbani tunaweza tazama maisha ya mtu toka kuzaliwa kwake kama kipindi cha runinga ili kumjua vizuri

mimi: kwaiyo alikuwa anatazama maisha ya mtu
agness: eee ndio
mimi: huko kwenu kunatanesko sio kwa mataa yale
agness: ahahhahaa nitakuonesha kitu ila unabisi ujue kila mwanadamu anaye kwenda kule huundiwa picha ili asishangae maana vitu vingi si halisi kama unavyoona

mimi: nioneshe
agness: Chai uliionaje?

hua ananieleza mambo ya misosi makusudi ili tu kunikata moto nilimjibu tulale

ITAENDELA MAANA WAKUU SIFEEL GOOD NAJITAHIDI ILA HATA PARAGRAPH NAONA INANISALITI KWENYE UANDISHI MSIWIE RADHI.
 
Sehemu ya 15

Ahsubuhi ya siku iliyofuata nilijiandaa mapema na kwenda zangu kariakoo, nikiwa na wafanyabiashara wengine tukizungumzia ucheweleshwaji wa mizigo yetu

baadae nilipiga mahesabu ya mauzo na kuchukua baadhi ya fedha kuweka bank na nyingine kuchange kwenda $$$

siku zilipita nilitoa makafara sana niliua na kila nilipokuwa natoa kafara pesa zilizidi baada ya miezi mitatu mke wangu akasema muda wangu wa kujifungua umefika

waaaaat nini? unataka uniletee toto njiti?
hapana agness alijibu akasema sisi hua hatubebi mimba miezi mitatu tu
Pia nitawaaga mimi pamoja na mama yako naenda jifungulia kwetu kesho

kweli baada ya mama yangu na dada yangu kurudi aliwaaga mama alitamani sana ajifungulie hapo ila agness aligoma katukatu
usiku aliyeya zake na kusema Mume wangu kuwa mwangalifu nitarejea hivi karibuni

baada ya kuondoka kesho yake ndipo nilipo pata wazo kwanini baba yangu hakuja kwa masiku mengi, nakumbuka ilikuwa jioni ya jumapili ambapo familia yangu hupumzika, nilitoka kidogo ili nikapate kusafisha macho kipindi nipo kwenye mizunguuko ya hapa na pale ndipo simu yangu iliita
Nilipokea Helo mama alisema na kisha aliendelea kuna mgeni wako kasema kuwa anakusubiria tu hapa
basi niligeuza alfard ambayo ndugu zangu hutumia kipindi wanaenda kariakoo na kurudi nyumbani nilipo ingia ndani nilimwona yule mtu

na nilimjua kabisa kabisa kuwa ni Baba yangu, baada ya kumsalimu, aliendelea kwa kuwaambia ndugu zangu kuwa tulikuwa na safari na tutarejea kesho jioni
katika hali isiyo ya kawaida ndugu zangu hawakukataa hata yule bwana alisema twende

kweli nilivyokuwa naingia ndani sikuangalia mazingira, ee mzee alikuja na gari ya ajabu kweli nilimuuliza hii ni gari gani akasema hii ni beast ya mwaka huu, ni customized version ya Rambogin na roseroyce niliagiza mwenyewe nitengenezewe, mzee sikwambii ile ndinga ni kali sana alisema twende nilipanda

safari ilianza ila sasa nilishangazwa na kitu kimoja kipindi nafunga mkanda na kukaa vizuri nilihisi gari imesimama kuangalia mbele tulikua kwenye eneo jingine kabisaaa
Tumefika alisema
Tulishuka na kushika njia inayoelekea maporini nilikua ninaongoza mbele kwani njia ilikuwa wazi yeye aliongea toka nyuma yangu alisema

leo unaenda kuonana na watu muhimu kama wewe kumbuka mda wa kafara umefika na sasa nilazima mshirikiane mtoe kwa pamoja ili upate pesa nyingi sana sawa mwanangu ndio

ukatawaliwa na ukimya kipindi naongoza niliona watu, kugeuka nyuma niongee na mzee eee hakuna mtu
Niliwaangalia tena wale watu wakasema njoo (walitumia ishara za mikono) nilifika na walinipa nguo za ngozi niufiche uchi wangu kweli nilivua nilizovaa na kuvalia vazi la ngozi

mmoja wao alisema kwa ishara kwa kuonesha mkono mkono wake mdomoni kuwa haupaswi kuongea, kisha akasema tena kwa ishara vifaa vyako viko wapi?

ooohhh nilijisemea kichwani na kunyanyua mikono yangu juu nikifanya mazingara na kuviita vifaa vyangu mikononi

kisha wale watu ambao wote walikuwa ni wanawake waliongoza njia kweli nilifuata tulitembea kwa kasi sana tulichukua saa 4. tu tulikuwa pembeni ya ziwa

nilimwona mdada wa kwanza akinyanyua majani yaliyojiotea pembeni na kulitafuna kisha kulipaka miguuni na kuzunguuka mara saba(kulia kwenda kushoto) na kuanza kutembea juu ya maji, dada wa pili nae alifanya hivyohivyo na mimi niliiga hivyohivyo wote tulijikuta tupo juu ya maji tukitembea kifuta meli kubwa iliyokuwa inaangaza kwa mbali sana
baada ya muda tuliifikia na mmoja alitoa ishara kuwa meli inakuja usawa wetu, tutege tego ili kuizamisha na kafara itakuwa imekamilika kisha aliongea sasa kwa sauti kuwa kafara hii ni kubwa tutasaidiwa na baadhi ya majini ili kukusanya damu yote na kutakuwa na pesa nyingi sana

kijana chukua upambe wako uutupe hapo kweli nilitii na ule upembe ulielea juu ya maji kisha mama mwingine alikuwa na kifuu aliwekea juu ya upembe na yule mwanamke anayeleta maelekezo aliweka ungaunga ndani ya kifuu na moshi ulitokea wote tulikaa juu ya maji kwa mtindo ule wa kukunja miguu uku mikono yetu tukishika nyeti zetu

kisha yule dada alisema nifuatisheni alizungumza maneno yasiyo eleweka kisha akasema tukakae ufukweni tukiangalia yanayoendelea kwani tego hili ni kubwa likitukuta hapa nitatizo sharti ni moja tunarudi kinyumenyuma na ole wako upepese macho kwa kufunga na kufungua ni kosa jikazeni

ITAENDELEA
 
Sehemu ya 16

Kweli tulisonga kinyume nyume mpaka kando ya ziwa mama yule aliokota kibao na kukisotea kisha akakitupa chini mbele yetu, ilikuwa zaidi ya samsang led tv fuu HD 1080.

tuliona kila kitu kilichokuwa kinaendelea kule na baada ya muda meli ilipokaribia yule mama kwa sauti alisema rusheni vibuyu ziwani haraka, tulivitupia humo na meli iligonga lile tego na ikasonga mbele baada tu ya muda meli ilitoboka na kuanza kuingiza maji wala haikufika mbali ikazaanza kuzama

yule dada sasa ikipotea tu tunaupa mgongo hili ziwa kisha nitaawambia nini cha kufanya sawa
wote tuliitikia sawa
baada ya muda fulani kweli ile meli ilizama kabisa na wote haraka tuligeuka na kuupa mgongo
tuliweza kusikia vilio na vishindo mule na ghafla yule mama alikaa chini na kutuonyesha kuwa tumfuate na kweli tulikaa chini kisha akasema fungeni macho mpaka niwaambieni mfungue

tuliisi upepo mkali sana na ghafla tulitokea eneo ambalo kwa haraka ilikuwa pangoni na ndipo aliponiambia
huku ni amboni tanga sasa twende ndani zaidi tupate kuzungumza na malkia wetu, kwani kazi imekamilika na hakutegemea kwamba itakuwa rahisi sana kuliko ilivyotokea twende kumbuka huku tutasonga kwa kuanza na mguu wa kushoto na kipindi utakapo taka kusimama lazima utangulize mguu wa kushoto

kweli tuliyafata maagizo ya yule dada na ndipo tulisimama sehemu ambayo kuna moshi sana , yule dada aliongea maneno fulani na ndipo tuliona kiti cha enzi cha malkia akiwa amekaa na kutabasamu sana sana wote tulitoaheshima zetu na tulikaa kimya kabisa akasema

nimefurahia kazi zenu nyie, sasa vibuyu na zana zenu mtazikuta vyumabi mwenu baada ya siku saba na mtapata ujiea wenu sawa sawa haya yule dada aliaga na kupotea kisha mara yule dada mwingine alipotea

nilibaki mimi ambaye sikujua nini cha kufanya bifanye nini sasa, malkia alinikazia macho kana kwamba anasema tuone utafanya nini?
Ndipo nilipomuona akiinamisha kichwa kwa heshima sana na kukinyanyua akasema eee mwenye enzi umemfuata huyu kijana nenda nae

ndipo nilipogeuka na kuona bonge la joka ni kubwa kubwa kubwa kubwa kubwa kubwa kubwa sana kuliko hata ufikiriavyo akasema shika mkia wangu twende kunakazi ya kufanya kweli niliposhika tu tulitoweka na kutokea eneo fulani

ilikuwa kama maktaba ambapo palikuwepo na viumbe vyenye vicha vikubwa sana ambayo vilisoma kisha kujadiliana kisha kuondoka na viliingia vingine kisha akasema hii ni maktaba kila ujuzi unaouwaza upo hapa kila hekima na elimu ipo hapa sasa nakupatia hii pete kamwe usiivue ni ulinzi na ukishirikiana na hirizi na nyenzk nyingine basi utakuwa mwenye nguvu hakuna atakaye kuroga nae akafanikiwa

kumbuka hutakiwi kueleza siri hii na tangu sasa utatoa sadaka ya damu nyingi ili kufidia ndugu zako na nilazima ushiriki Mapenzi na mwanadamu mwenzio ili pete ifanye kazi na jilazima iwe leo enenda nilijikuta nikitoka kwenye choo cha umma ubungo mida ya saa saba mchana

nilitembea tembea na kumwona mrembo fulani mwenye sura nzuri rangi flani nyeusi lips laini,

Mimi: Dada dada nisubiri
huyo dada: Fanya haraka unajua jua ni kali
mimi: usijali upo vizuri
huyo dada: ndio nipo vyema
mimi: Oooh unaitwa nani? mrembo
huyo dada : Naitwa Shunie
mimi: ohhh mrembo unajina zuri
shunie: Ahsante

Nikatoa simu ilinipate mawasiliano nae
Shunie: sina simu natumia ya baba yangu
mimi: kwaiyo itakuwaye
shunie: baba yangu ni mchungaji nakupa namba yake ila usiku mimi huna nachezea simu yake nitakutext
Basi mrembo aliandika namba yake kisha akaisave ASKOFU. GILY
shunie: Niandikie namba yako hapa
niliiandika namba kwenye karatasi na kumpa alisisitiza sana nisimtafute atanicheki mwenyewe

niligeuka nyuma na kuonana macho to macho na yule jinni wa kizungu akasema, Mwanamke utakaye kutana nae lazima afe ili pete ifanye kazi

ITAENDELEA
 
Back
Top Bottom