Shetani, kwa nini haukuomba msamaha yaishe? Ulipewa nafasi ya kujirudi au basi tu na wewe ulikuwa mhanga wa Matrix? Au ni kiburi chako tu?

Shetani, kwa nini haukuomba msamaha yaishe? Ulipewa nafasi ya kujirudi au basi tu na wewe ulikuwa mhanga wa Matrix? Au ni kiburi chako tu?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Eeh Mungu nisamehe kama ninakufuru!!

Like nini haswa kilikuwq nyuma ya shetani kuasi.

Alipata hamasa binafsi au kulikuwapo na mamlaka nyingine iliompa hamasa ili washirikiane kumpindua Mungu pamoja kwa ahadi ya vikubwa zaidi ya vile mwenyezi Mungu alivyokuwa amempa.

Is lucifer, satan? Au shetani na lucifer walikuwa tofautu, ndio shetani akamdanganya lucifer ili washirikiane katika ushetani?

Baada ya kuwa Mungu amemshinda Lucifer, je Mungu alimuonea huruma kiumbe wake ili ampatie nafasi nyingine au alimuonea huruma lakini lucifer hakuwa tayari kuachana na ushetani.

Why did satan had reside on earth ambapo ndipo viumbe vipya vya Mungu (wanadamu) ndipo walipowekwa.?

Anyway, nijajiuliza on and on labda hakuna majibu, ila nachoamini vitabu vyetu vitakatifu havina majibu yote.
 
Eeh Mungu nisamehe kama ninakufuru!!

Like nini haswa kilikuwq nyuma ya shetani kuasi.

Alipata hamasa binafsi au kulikuwapo na mamlaka nyingine iliompa hamasa ili washirikiane kumpindua Mungu pamoja kwa ahadi ya vikubwa zaidi ya vile mwenyezi Mungu alivyokuwa amempa.

Is lucifer, satan? Au shetani na lucifer walikuwa tofautu, ndio shetani akamdanganya lucifer ili washirikiane katika ushetani?

Baada ya kuwa Mungu amemshinda Lucifer, je Mungu alimuonea huruma kiumbe wake ili ampatie nafasi nyingine au alimuonea huruma lakini lucifer hakuwa tayari kuachana na ushetani.

Why did satan had reside on earth ambapo ndipo viumbe vipya vya Mungu (wanadamu) ndipo walipowekwa.?

Anyway, nijajiuliza on and on labda hakuna majibu, ila nachoamini vitabu vyetu vitakatifu havina majibu yote.
Keani alikosa nini? Hakuna kosa ndiyo maana alipewa utawala na mamlaka.
 
downloadfile-37.jpg
 
Eeh Mungu nisamehe kama ninakufuru!!

Like nini haswa kilikuwq nyuma ya shetani kuasi.

Alipata hamasa binafsi au kulikuwapo na mamlaka nyingine iliompa hamasa ili washirikiane kumpindua Mungu pamoja kwa ahadi ya vikubwa zaidi ya vile mwenyezi Mungu alivyokuwa amempa.

Is lucifer, satan? Au shetani na lucifer walikuwa tofautu, ndio shetani akamdanganya lucifer ili washirikiane katika ushetani?

Baada ya kuwa Mungu amemshinda Lucifer, je Mungu alimuonea huruma kiumbe wake ili ampatie nafasi nyingine au alimuonea huruma lakini lucifer hakuwa tayari kuachana na ushetani.

Why did satan had reside on earth ambapo ndipo viumbe vipya vya Mungu (wanadamu) ndipo walipowekwa.?

Anyway, nijajiuliza on and on labda hakuna majibu, ila nachoamini vitabu vyetu vitakatifu havina majibu yote.
Biblia imeandika kila kitu soma tu na umuombe Mungu akupe kuelewa. Ngoja nikupe majibu machache.
1. Shetani ndiye Lucifer. Shetani ni cheo na Lucifer (Nyota ya Asubuhi) ni jina. Kama ambavyo Mungu ni cheo lakini Yesu Kristo ni Jina.
2. Lucifer alijitutumua akidhani atamuweza Mungu. Hakujua kuwa mawazo yake yote Mungu aliyajua. Isaya 14:12-16

3. Lucifer alikuwa Malaika wa kipekee kwa uzuri. Huo uzuri ndio uliomponza akatamani kuwa Mungu apokee ibada. Ezekiel 28:12-18. Hata leo watu wanaopewa na Mungu karama au vipaji vya pekee hujaribiwa kuingia ktk kiburi ambacho ndio huwaangamiza. Lucifer kadhalika.
4. Malaika hawana fursa ya kutubu kama binadamu. Alitenda dhambi rohoni na alipata adhabu rohoni. Hivyo hakuna namna ya kuusamehewa. Sisi wanadamu tuko mwilini na Mungu akatengeneza njia ya kutusaidia akavaa mwili akaja duniani. Malaika walioasi hawana fursa hiyo wameshahukumiwa.
5. Kwanini unamwonea Shetani? Hakuna kiumbe kikatili kikorofi kama shetani. Acha kumfikiria shetani maana hana faida yoyote.
 
Biblia imeandika kila kitu soma tu na umuombe Mungu akupe kuelewa. Ngoja nikupe majibu machache.
1. Shetani ndiye Lucifer. Shetani ni cheo na Lucifer (Nyota ya Asubuhi) ni jina. Kama ambavyo Mungu ni cheo lakini Yesu Kristo ni Jina.
2. Lucifer alijitutumua akidhani atamuweza Mungu. Hakujua kuwa mawazo yake yote Mungu aliyajua. Isaya 14:12-16

3. Lucifer alikuwa Malaika wa kipekee kwa uzuri. Huo uzuri ndio uliomponza akatamani kuwa Mungu apokee ibada. Ezekiel 28:12-18. Hata leo watu wanaopewa na Mungu karama au vipaji vya pekee hujaribiwa kuingia ktk kiburi ambacho ndio huwaangamiza. Lucifer kadhalika.
4. Malaika hawana fursa ya kutubu kama binadamu. Alitenda dhambi rohoni na alipata adhabu rohoni. Hivyo hakuna namna ya kuusamehewa. Sisi wanadamu tuko mwilini na Mungu akatengeneza njia ya kutusaidia akavaa mwili akaja duniani. Malaika walioasi hawana fursa hiyo wameshahukumiwa.
5. Kwanini unamwonea Shetani? Hakuna kiumbe kikatili kikorofi kama shetani. Acha kumfikiria shetani maana hana faida yoyote.
Ahsante mkuu, Mungu akubariki
 
Biblia imeandika kila kitu soma tu na umuombe Mungu akupe kuelewa. Ngoja nikupe majibu machache.
1. Shetani ndiye Lucifer. Shetani ni cheo na Lucifer (Nyota ya Asubuhi) ni jina. Kama ambavyo Mungu ni cheo lakini Yesu Kristo ni Jina.
2. Lucifer alijitutumua akidhani atamuweza Mungu. Hakujua kuwa mawazo yake yote Mungu aliyajua. Isaya 14:12-16

3. Lucifer alikuwa Malaika wa kipekee kwa uzuri. Huo uzuri ndio uliomponza akatamani kuwa Mungu apokee ibada. Ezekiel 28:12-18. Hata leo watu wanaopewa na Mungu karama au vipaji vya pekee hujaribiwa kuingia ktk kiburi ambacho ndio huwaangamiza. Lucifer kadhalika.
4. Malaika hawana fursa ya kutubu kama binadamu. Alitenda dhambi rohoni na alipata adhabu rohoni. Hivyo hakuna namna ya kuusamehewa. Sisi wanadamu tuko mwilini na Mungu akatengeneza njia ya kutusaidia akavaa mwili akaja duniani. Malaika walioasi hawana fursa hiyo wameshahukumiwa.
5. Kwanini unamwonea Shetani? Hakuna kiumbe kikatili kikorofi kama shetani. Acha kumfikiria shetani maana hana faida yoyote.
Uzi uishie hapa...
 
Hivi hizi Sifa anazopewa Mungu anazo kweli? Kama kweli Mungu anajua mwisho kabla ya mwanzo km hivi vitabu vyake vinanvyosema, Ina maana akijua kuwa huyo Lucipher atakuja kuasi. Kwa hiyo alimuumba hivyo hivyo pamoja na kujua madhara yake ya baadaye. Kwa maana nyingine yeye ndiye aliyepanga yote yaliyokuja kutokea baadaye. Kinachonishangaza ni kujifanya hakujua kuwa huyo Lucipher angekuja kuasi. Anamlaumu huyo Lucipher kwa makosa yake yeye mwenyewe Mungu. Km alijua Lucipher angekuja kuasi Na yeye akaamua kumuba, asimlamu huyo Lucipher.
Kingine kinachoshangaza ni yeye (Mungu) kuamua kumtupa huku Duniani tunapoishi binadamu ili atusulubu. Sisi(Binadamu) tulimkosea nn huyo Mungu hadi atuletee huyo adui yake aliymtengeneza mwenyewe atusumbue? Mungu anajua kuwa huyo Lucipher ana nguvu kubwa, hadi kumnyang'anya theluthi moja ya Malaika wake, alitarajia sisi tungemuweza vipi huku hatuna uelewa na uwezo wowote? Mungu alijua kabisa kwamba huyo shetani atamdanganha Adam na atakula hilo tunda, Sasa lawama za nn kwa Adam na mkewe Eva? Hv watunzi Wa hadithi hizi wanataka kutuaminisha kuwa Mungu ni sawa na jirani yangu mmoja aliyekuwa analalamika kuzaa watoto wezi na Malaya kwa sababu wakati anawazaa hakujua kuwa watakuja kuwa na tabia gn. Ndivyo Mungu alivyo pia.
Kama Mungu anatupenda kama inavyosemwa kwenye hivi vitabu, kwann atuletee shetani huku tunakoishi? Hivi kweli Kuna mzazi anayewapenda watoto wake wachanga ambaye atamtoa nyoka mwenye sumu kali akamuingiza chumbani kwa watt wake, akafunga mlango kwa nje na akategemea hao watt kutoka Salama humo? Kama ndivyo alivyofanya huyo Mungu, upendo wako uko wp?
Naweza kusema hizi ni hadithi za kale ambazo, kutokana na uwezo mdogo wa uelewa Wa wakati Huo, haukuwa balanced na zina contradiction nyingi sana. Hazifai kuendelea kuaminiwa na kizazi cha sasa.
 
Kama una namna nyingine ya kuamini wewe amini tuu.. lakini story zote zilizoandikwa bibiliani zipo kwenye maisha yetu live na tunaziona sasa kama wewe unaona nizakutungwa sawa
 
Biblia imeandika kila kitu soma tu na umuombe Mungu akupe kuelewa. Ngoja nikupe majibu machache.
1. Shetani ndiye Lucifer. Shetani ni cheo na Lucifer (Nyota ya Asubuhi) ni jina. Kama ambavyo Mungu ni cheo lakini Yesu Kristo ni Jina.
2. Lucifer alijitutumua akidhani atamuweza Mungu. Hakujua kuwa mawazo yake yote Mungu aliyajua. Isaya 14:12-16

3. Lucifer alikuwa Malaika wa kipekee kwa uzuri. Huo uzuri ndio uliomponza akatamani kuwa Mungu apokee ibada. Ezekiel 28:12-18. Hata leo watu wanaopewa na Mungu karama au vipaji vya pekee hujaribiwa kuingia ktk kiburi ambacho ndio huwaangamiza. Lucifer kadhalika.
4. Malaika hawana fursa ya kutubu kama binadamu. Alitenda dhambi rohoni na alipata adhabu rohoni. Hivyo hakuna namna ya kuusamehewa. Sisi wanadamu tuko mwilini na Mungu akatengeneza njia ya kutusaidia akavaa mwili akaja duniani. Malaika walioasi hawana fursa hiyo wameshahukumiwa.
5. Kwanini unamwonea Shetani? Hakuna kiumbe kikatili kikorofi kama shetani. Acha kumfikiria shetani maana hana faida yoyote.
Ni Jinsi Ipi?Mwanaume au Mwanamke?
 
Eeh Mungu nisamehe kama ninakufuru!!

Like nini haswa kilikuwq nyuma ya shetani kuasi.

Alipata hamasa binafsi au kulikuwapo na mamlaka nyingine iliompa hamasa ili washirikiane kumpindua Mungu pamoja kwa ahadi ya vikubwa zaidi ya vile mwenyezi Mungu alivyokuwa amempa.

Is lucifer, satan? Au shetani na lucifer walikuwa tofautu, ndio shetani akamdanganya lucifer ili washirikiane katika ushetani?

Baada ya kuwa Mungu amemshinda Lucifer, je Mungu alimuonea huruma kiumbe wake ili ampatie nafasi nyingine au alimuonea huruma lakini lucifer hakuwa tayari kuachana na ushetani.

Why did satan had reside on earth ambapo ndipo viumbe vipya vya Mungu (wanadamu) ndipo walipowekwa.?

Anyway, nijajiuliza on and on labda hakuna majibu, ila nachoamini vitabu vyetu vitakatifu havina majibu yote.
Kwanza kabisa Mungu hawezi kumuua shetani kwa sababu roho iki exist haiwezi kufa milele kwa hiyo hakuna mwanzo wa dunia wala mwisho hivyo shetani alikuwepo yupo na atakuwepo na pia mungu na shetani sio viumbe ni energy na hizi energy zipo kwa ajili ya kubalance dunia kwa sababu vinategemeana na bila kimoja maisha hayana maana ni sawa na kulitoa giza ubaki mwanga tu.
 
Biblia imeandika kila kitu soma tu na umuombe Mungu akupe kuelewa. Ngoja nikupe majibu machache.
1. Shetani ndiye Lucifer. Shetani ni cheo na Lucifer (Nyota ya Asubuhi) ni jina. Kama ambavyo Mungu ni cheo lakini Yesu Kristo ni Jina.
2. Lucifer alijitutumua akidhani atamuweza Mungu. Hakujua kuwa mawazo yake yote Mungu aliyajua. Isaya 14:12-16

3. Lucifer alikuwa Malaika wa kipekee kwa uzuri. Huo uzuri ndio uliomponza akatamani kuwa Mungu apokee ibada. Ezekiel 28:12-18. Hata leo watu wanaopewa na Mungu karama au vipaji vya pekee hujaribiwa kuingia ktk kiburi ambacho ndio huwaangamiza. Lucifer kadhalika.
4. Malaika hawana fursa ya kutubu kama binadamu. Alitenda dhambi rohoni na alipata adhabu rohoni. Hivyo hakuna namna ya kuusamehewa. Sisi wanadamu tuko mwilini na Mungu akatengeneza njia ya kutusaidia akavaa mwili akaja duniani. Malaika walioasi hawana fursa hiyo wameshahukumiwa.
5. Kwanini unamwonea Shetani? Hakuna kiumbe kikatili kikorofi kama shetani. Acha kumfikiria shetani maana hana faida yoyote.
mkuu kama utakuwa na mda huu mstari unanamaanisha nini "ufunuo wa yohana 22:16"
 
Endeleeni kujiuliza maswali, ila majibu sio rahisi kuyapata
 
Mkuu, umeandika kama vile shetani yupo humu JF.
Shetani yupo kila mahali, kila siku na kila wakati. Kwani ww haujakutana naye humu Jf?
Inaelekea pengine haumfahamu simply kwakuwa haonekani physically kwa macho ya nyama.
 
Back
Top Bottom