Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya ubeligijiMijusi ya stone sio?
Huyo Roho Mtakatifu anaubaguzi wa kufunua wachache na sio woteHuwezi kuelewa unahitaji ufunuo wa roho mtakatifu
OkayGTs,
Hakika Mungu alituepusha na Korona 19 kipindi kile mataifa mengine yanazika wafu wao kwa mamia kama si kwa maelfu.
Hakika Mungu aliiponya Tanzania baada ya Kiongozi wetu wa nchi kujinyenyekeza mbele za Mungu.
Hakika shetani hukiri matendo makuu ya Mungu.
Kila anayebeza pale ambapo rais wetu anaonesha unyenyekevu kwa Mungu, basi huyo ni mfuasi wa shetani na anatumika na shetani na inapaswa kumuombea.
Shetani anakiri (pamoja na hao wanao shangilia vifo vya sasa) kuwa ni kweli Mungu alituepusha na korona ya kwanza na Maombi yalifanya kazi!
Korona ya pili imekuja kutuonesha kuwa Mungu hakika huponya taifa iwapo mfalme atajinyenyekesha mbele zake.
Hata sasa Mungu anaenda kuliepusha taifa letu na kutuponya kabisa huu ugonjwa na kamwe hautokaa kusumbua tena.
Tuungane kwa maombi ya kumuombea rais wetu pamoja na viongozi na kuliombea taifa letu liponywe kabisa maana ushindi ni wetu.
Unatutafutia ban tu ww,kichwa maji.Shetani shindwa ktk jina la Yesu
Mungu gani alisema ujisaidie na yeye atakusaidia? Naomba uweke hiyo aya hapa kama kweli ipo.Pumbavu wewe usimuhusishe Mungu katika upumbavu wenu wa akili,Mungu alisema jisaidie na mim nitakusaidia ,endelezeni ushirikina wenu wa kupiga nyungu pumbafu majinuni
Humu ndani kuna ng'ombe wengi sana sijui huyo jamaa kaandika mikojo mnoo aiseeNgoja afe mama yako uje uandike tena upupu wako ,watu wamepoteza wapendwa wao wew unaleta upupu hapa.
Ongeza makaburi mtazika sana pamoja na maombi yenu. Nyie mnamjua Mungu kuliko waliowaletea hizo dini na kuwafundisha kuhusu Mungu?GTs,
Hakika Mungu alituepusha na Korona 19 kipindi kile mataifa mengine yanazika wafu wao kwa mamia kama si kwa maelfu.
Hakika Mungu aliiponya Tanzania baada ya Kiongozi wetu wa nchi kujinyenyekeza mbele za Mungu.
Hakika shetani hukiri matendo makuu ya Mungu.
Kila anayebeza pale ambapo rais wetu anaonesha unyenyekevu kwa Mungu, basi huyo ni mfuasi wa shetani na anatumika na shetani na inapaswa kumuombea.
Shetani anakiri (pamoja na hao wanao shangilia vifo vya sasa) kuwa ni kweli Mungu alituepusha na korona ya kwanza na Maombi yalifanya kazi!
Korona ya pili imekuja kutuonesha kuwa Mungu hakika huponya taifa iwapo mfalme atajinyenyekesha mbele zake.
Hata sasa Mungu anaenda kuliepusha taifa letu na kutuponya kabisa huu ugonjwa na kamwe hautokaa kusumbua tena.
Tuungane kwa maombi ya kumuombea rais wetu pamoja na viongozi na kuliombea taifa letu liponywe kabisa maana ushindi ni wetu.
Siyo kila kulitaja jina la Mungu ni kujinyenyekeza,wengine hulitumia kwa faida binafsi,hii ni dunia ambayo jina la Mungu linatumika sana hata ktk kurubuni watu,GTs,
Hakika Mungu alituepusha na Korona 19 kipindi kile mataifa mengine yanazika wafu wao kwa mamia kama si kwa maelfu.
Hakika Mungu aliiponya Tanzania baada ya Kiongozi wetu wa nchi kujinyenyekeza mbele za Mungu.
Hakika shetani hukiri matendo makuu ya Mungu.
Kila anayebeza pale ambapo rais wetu anaonesha unyenyekevu kwa Mungu, basi huyo ni mfuasi wa shetani na anatumika na shetani na inapaswa kumuombea.
Shetani anakiri (pamoja na hao wanao shangilia vifo vya sasa) kuwa ni kweli Mungu alituepusha na korona ya kwanza na Maombi yalifanya kazi!
Korona ya pili imekuja kutuonesha kuwa Mungu hakika huponya taifa iwapo mfalme atajinyenyekesha mbele zake.
Hata sasa Mungu anaenda kuliepusha taifa letu na kutuponya kabisa huu ugonjwa na kamwe hautokaa kusumbua tena.
Tuungane kwa maombi ya kumuombea rais wetu pamoja na viongozi na kuliombea taifa letu liponywe kabisa maana ushindi ni wetu.
Shetani ushindwe kabisa, maana Maandiko yanasema tukijinyenyekesha kwa Mungu atasikia maombi yetu na kuiponya nchi yetu, hivyo hakuna cha eti madina etc
NAKUUNGA MKONO MKUU KORONA HAKUNA KAMA UNAONA IPO JIKINGE NA BARAKOA LAKO KWANI UNAKATAZWA?!GTs,
Hakika Mungu alituepusha na Korona 19 kipindi kile mataifa mengine yanazika wafu wao kwa mamia kama si kwa maelfu.
Hakika Mungu aliiponya Tanzania baada ya Kiongozi wetu wa nchi kujinyenyekeza mbele za Mungu.
Hakika shetani hukiri matendo makuu ya Mungu.
Kila anayebeza pale ambapo rais wetu anaonesha unyenyekevu kwa Mungu, basi huyo ni mfuasi wa shetani na anatumika na shetani na inapaswa kumuombea.
Shetani anakiri (pamoja na hao wanao shangilia vifo vya sasa) kuwa ni kweli Mungu alituepusha na korona ya kwanza na Maombi yalifanya kazi!
Korona ya pili imekuja kutuonesha kuwa Mungu hakika huponya taifa iwapo mfalme atajinyenyekesha mbele zake.
Hata sasa Mungu anaenda kuliepusha taifa letu na kutuponya kabisa huu ugonjwa na kamwe hautokaa kusumbua tena.
Tuungane kwa maombi ya kumuombea rais wetu pamoja na viongozi na kuliombea taifa letu liponywe kabisa maana ushindi ni wetu.
kwani akifa mama yake ukweli wa bandiko hilo unabadirikaje!!!Ngoja afe mama yako uje uandike tena upupu wako ,watu wamepoteza wapendwa wao wew unaleta upupu hapa.
Ndugu yangu kwanza MWENYEZIMUNGU anaitambua taaluma ya udaktari kuliko hata wewe na mifano iko mingi tu kwenye maandikoDuh kwahio huyu Mungu anakisirani yaani ukisahau tu kumyenyekea anaamua kuwaua (alafu kama kifo ni adhabu kwanini wema wanakufa ?)
Kwahio usipopiga magoti anakuua (kitu ambacho unasema ni adhabu), na hata ukipiga magoti vilevile unakufa... (sasa hapo unaokoka vipi)....
Tufuati kanuni na facts hii mbona ni wazi..., usipofuata miongozo ya kiafya kama inavyokueleza hakika utakufa (tena kwa uzembe) ukifuata misingi na kujihadhari eventually utakufa ila either kwa uzee au kwa uzembe wa mwingine au ajali
Una maana hao wa miji mitakatifu hawa mnyenyekei Mungu Kama watu wa Chato?Shetani ushindwe kabisa, maana Maandiko yanasema tukijinyenyekesha kwa Mungu atasikia maombi yetu na kuiponya nchi yetu, hivyo hakuna cha eti madina etc
teh teh hiyo ndio passport yake kwenda kwa Israeli
Hata haueleweki!GTs,
Hakika Mungu alituepusha na Korona 19 kipindi kile mataifa mengine yanazika wafu wao kwa mamia kama si kwa maelfu.
Hakika Mungu aliiponya Tanzania baada ya Kiongozi wetu wa nchi kujinyenyekeza mbele za Mungu.
Hakika shetani hukiri matendo makuu ya Mungu.
Kila anayebeza pale ambapo rais wetu anaonesha unyenyekevu kwa Mungu, basi huyo ni mfuasi wa shetani na anatumika na shetani na inapaswa kumuombea.
Shetani anakiri (pamoja na hao wanao shangilia vifo vya sasa) kuwa ni kweli Mungu alituepusha na korona ya kwanza na Maombi yalifanya kazi!
Korona ya pili imekuja kutuonesha kuwa Mungu hakika huponya taifa iwapo mfalme atajinyenyekesha mbele zake.
Hata sasa Mungu anaenda kuliepusha taifa letu na kutuponya kabisa huu ugonjwa na kamwe hautokaa kusumbua tena.
Tuungane kwa maombi ya kumuombea rais wetu pamoja na viongozi na kuliombea taifa letu liponywe kabisa maana ushindi ni wetu.