Shida ilivyonichochea kuwa mlafi wa kuisoma Biblia

Shida ilivyonichochea kuwa mlafi wa kuisoma Biblia

Biblia ni kitabu cha kijinga jinga sana.

Hakuna kitu cha maana utakipata humo zaidi ya kukucode ubongo wako usifikiri lamaana.

Na zaidi ya yote, unakuwa umejitumbukiza kwenye bahari ya ujinga tu.

Hutokuja kuuelewa ulimwengu kamwe.

Enhe, embu nieleze, kwahyo wewe umesoma biblia yote na ukaielewa kabsa!?
Biblia ilimsaidia kupata kazi.
Biblia ilimsaidia kuendelea na masomo ya Chuo Kikuu.
Biblia imekuwa ikimsaidia kuliko kitabu kingine chochote.

Kwa shuhuda hizo tu, ni dhahiri kuwa hicho si kitabu cha kawaida.
 
Nimesoma mwanzo hadi ufunuo.. Yani agano la Kale hadi agano jipya mara moja

Nikasoma agano jipya Mathayo hadi Ufunuo Kwa kurudia mara mbili.

Ni bible race.. Hakika nimejikuta na uelewa mkubwa wa kujitambua mimi binafsi, mazingira yanayonizunguka na ulimwengu Kwa ujumla.
Hongera sana.
 
Biblia ilimsaidia kupata kazi.
Biblia ilimsaidia kuendelea na masomo ya Chuo Kikuu.
Biblia imekuwa ikimsaidia kuliko kitabu kingine chochote.

Kwa shuhuda hizo tu, ni dhahiri kuwa hicho si kitabu cha kawaida.
Unaelewa nini maana ya kipozauongo ( placebo) !?
 
The Bible is infallible and inerrant word of God. Imejaa maarifa ya kila aina. Kuanzia k, wajibu ktk dunia, kujitafutia mali, kupata mwenza, kutunza mke na familia kwa ujumla, kuwajibika kwa wazazi, familia, taifa na jamii ikuzungukayo nk. Biblia pia inakupa Nguvu ya kushinda vita ktk ulimwengu wa roho(Efe6:10.... 13). Biblia pia inakulpa uhakika wa maisha maxuri nara utapakoihama dunia hii(maana hapa wote ni wapitaji tu). Shida ipo kwenye kuisoma, kutafsiri na kuielewa kwa ufasaha kisha ndiyo utende yanayopaswa kutendwa nawe, bila hivyo utabaki kuisoma tu kama vitabu vinginevya riwaya tu, na ndipo utakapoina haikusaidii!
Yakobo 1:22‭-‬24 SRUV
Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu. Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo. Maana hujiangalia, kisha huenda zake, mara akasahau jinsi alivyo.
Yoshua 1:8-9
[8]Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.
[9]Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
 
Back
Top Bottom