Shida ni nchi ya kisekula kutengenezwa katika Ukristo na Uislam hili ni kosa kubwa lilifanyika na linaendelea kufanyika

Shida ni nchi ya kisekula kutengenezwa katika Ukristo na Uislam hili ni kosa kubwa lilifanyika na linaendelea kufanyika

Walioleta hizi dini walituweza kweli
Sidhani kama ni rahisi kama ulivyo-hitimisha. Kama sio mvivu wa kufikiri, rudi nyuma (mbali) katika HIS-toria ya eno linaloitwa Tanganyika, halafu, fikiria 'alternative paths', alafu fananisha: sidhani kama utafikia hitimisho hili.
 
Nitazidi kupiga kelele kadiri niwezavyo na kutoa tahadhari kadiri niwezavyo katika moja ya makosa yaliyo fanyika Tanzania ni kutengeneza nchi kimaandishi ya kisekula lakini kivitendo ni ya Ukristo na Uislam pekee.

Watanzania wanajipongeza kwamba ni nchi isiyo ya kidini lakini ni nchi iliyo tengenezwa katika mzunguko wa dini mbili hizi Ukristo na Uislam.

Ni nchi chache sana duniani zinazoweza kujitambulisha kama nchi zisizo egemea dini yoyote ile kwa namna yoyote ile na katika nchi hizo Tanzania haipo kabisa.

Kosa ni kuwa serikali bado inaendelea kuzishikilia hizi dini mbili na kuziaminisha kwamba ndizo nguzo ya nchi.

Kazi kubwa sana inahitajika kuiweka hii nchi mbali na udini wa Ukristo na Uislam kama vile Tanzania imejengwa katika mzunguko wao pekee.

Jamii ambayo asilimia kubwa ya population yake inayatazama maamuzi ya serikali katika picha ya Ukristo na Uislam ina tatizo kubwa sana la udini wa kila dini moja kupambana mamlaka dhidi ya nyenzake.

Jamii ambayo viongozi wake wanafanya maamuzi kwa kutazama hizi dini mbili juu ya maamuzi yake ina tatizo kubwa sana la udini ndani yake.

WATANZANIA WANAZIPENDA SANA DINI ZAO UKRISTO NA UISLAM MPAKA KUATHIRI FIKRA ZAO KATIKA KUFIKIRI NA KUTAZAMA MAMBO KIMAPANA NA WATANZANIA WANA UDINI WA UKRISTO NA UISLAM HATA KAMA HAWAPO TAYARI KUKUBALI HILO.
Makosa makuu yanayo kwenda kuliangamiza taifa kuhusu dini ni haya
1) shule za elimu dunia zenye milengo ya dini ...hapa ilitakiwa taasisi za dini zikifungua shule zisiruhusiwe kuweka mambo ya dini sana isipokuwa somo tu la dini...mavazi yawe ni standard kama miaka ya 94 kuja chini.
2)Shule za serikali zisiruhusiwe mambo ya dini kwa namna yoyote ...kufutwe masomo ya dini yote na mitihani ya dini kwenye shule za serikali.
3)Kuhusu mavazi kusiwe na mavazi yoyote yenye kuelekea dini yoyote ...hapa ni kupiga marufuku hijabu na misalaba na kila aina ya kifaa cha dini...kama biblia na misahafu mashuleni hii si kwa wanafunzi tu hata kwa walimu wasiruhusiwe kuvaa mavazi yenye milengo ya kidini kama hijabu.
4)wanafunzi wote wavae sketi zenye kufika magotini zi chini ya hapo ..ni kumaliza vitambaa bure na kuzarisha taifa la wanafiki ...toka lini tumeweza kujisitili nyeti zetu tusifanye uzinzi na uasharati ...mbona wanafunzi wa siku hizi ni malaya haswa kuliko wale wa miaka ya 94 kuja chini ambao walikuwa hawavai hijabu wala masomo ya dini hayakuwepo.
 
Nitazidi kupiga kelele kadiri niwezavyo na kutoa tahadhari kadiri niwezavyo katika moja ya makosa yaliyo fanyika Tanzania ni kutengeneza nchi kimaandishi ya kisekula lakini kivitendo ni ya Ukristo na Uislam pekee.

Watanzania wanajipongeza kwamba ni nchi isiyo ya kidini lakini ni nchi iliyo tengenezwa katika mzunguko wa dini mbili hizi Ukristo na Uislam.

Ni nchi chache sana duniani zinazoweza kujitambulisha kama nchi zisizo egemea dini yoyote ile kwa namna yoyote ile na katika nchi hizo Tanzania haipo kabisa.

Kosa ni kuwa serikali bado inaendelea kuzishikilia hizi dini mbili na kuziaminisha kwamba ndizo nguzo ya nchi.

Kazi kubwa sana inahitajika kuiweka hii nchi mbali na udini wa Ukristo na Uislam kama vile Tanzania imejengwa katika mzunguko wao pekee.

Jamii ambayo asilimia kubwa ya population yake inayatazama maamuzi ya serikali katika picha ya Ukristo na Uislam ina tatizo kubwa sana la udini wa kila dini moja kupambana mamlaka dhidi ya nyenzake.

Jamii ambayo viongozi wake wanafanya maamuzi kwa kutazama hizi dini mbili juu ya maamuzi yake ina tatizo kubwa sana la udini ndani yake.

WATANZANIA WANAZIPENDA SANA DINI ZAO UKRISTO NA UISLAM MPAKA KUATHIRI FIKRA ZAO KATIKA KUFIKIRI NA KUTAZAMA MAMBO KIMAPANA NA WATANZANIA WANA UDINI WA UKRISTO NA UISLAM HATA KAMA HAWAPO TAYARI KUKUBALI HILO.
Siyo wanazipenda dini ....ila ukweli ni kwamba wamezifanya dini kuwa ushabiki na sikuzote ushabiki haupo pamoja na ukweli ....tanzania hakuna mkristo wala muislamu hata mmoja bali kuna mashabiki wa ukristo na uislamu ni WAHUNI WA KIDINI
 
Kuna siku ukiristo utakuwa hauna nguvu tena tanzania...nakupa 30yrs later...ukiristo utakuwa minority group tz..kama ilivyo Nigeria
Sababu ni wakristo wenyewe kushabikia mitume feki na kuacha misingi ya dini siku 6 fanya kazi isipokua moja ....leo mitume feki na manabii wanashindisha watu kwenye mikutano siku zote na kuwataka watowe sadaka na kuteketeza familia zao ....inakuwaje makanisa na mambo ya kidini yanafanyika siku zaidi ya moja kwa week .....wakristo wa leo ni wapumbavu
 
Walioleta hizi dini walituweza kweli
Ni hadi damu imwagike ndiyo waisiharamu na makafiri watajua kuwa dini azifwatwi kishabiki...nilazima tumwage damu kwanza ndiyo akili zitafunguka maana hata huko zilipo toka walimwaga damu sana
 
Hebu acheni utoto. Kujadili mada za udini ishara ya kutokukomaa kiakili mkiamini kuwa hizo ni shida au changamoto muhimu kwa taifa kushinda mambo mengine.


Kama mnashindwa kujadili changamoto ya uongozi mbovu na serikali kukumbatia wala rushwa na mafisadi jambo ambalo linalopelekea kupoteza direction ya maendeleo kila uchwao na kupoteza pesa nyingi pamoja na kuingia madeni kutokana na mikopo isiyo na tija kwa taifa then hamna uhalali wa kujadili swala kama la utofauti wa kiimani ambalo si changamoto ya kitaifa bali ni changamoto kwa watu wanaofikiria kwa kutumia fikra za kitoto na kukosa sera za misingi.

Mnajitisha sababu mnaishi Dar na miji mikubwa ila mnasahau idadi kubwa ya raia wengine ambao hata hawashiriki imani zenu hizo mlizopewa na kurithi kwa wakoloni au immigrants wa mataifa ya magharibi na uarabuni.

Hebu tulizeni vichwa vyenu na mjielekeze kujadili changamoto ambazo zinaathiri taifa letu kiukweli kama rushwa, uongozi mbovu unaoendeshewa na siasa chafu za mashindano na uchawa, haya ndio matatizo yanayozalisha shida kwenye hili taifa sio dini za watu.

Dini ni kama aina nyingine ya kundi la influence ambalo wanasiasa uchwara wanatumia kupata ushabiki au kuzidi wengine kete. Sasa hoja za udini utawapekea wamasai, wahadzabe, wasafwa, wanyakyusa, wamakuwa, na wakirikiri huko vijijini watakuelewa na watu hawaendi makanisani wala hawajui misikiti wana imani zao za kiafrika? [emoji848]

Hebu fanyeni kama mnakuwa watu wazima na mnafungua nyuzi za maana. Ni mara mbili muongelee hata ngono basi kuliko mada za kukosa uelekeo wa kisera na kifikra.

Karne ya 21 mwaka 2024 watu mnajadili nani bora kati ya wa dini ya kiislam na kikristo, hivi katika hali ya kawaida mtu mwenye elimu, utimamu wa akili na uwezo wa kifikra atakuwa anadeal na mambo cheap kiasi hicho?

Hebu muwe watu wazima sasa, jadilini mambo ya msingi.
 
Indeed.. COURT ya Naijeria inasema kesi za watu kubadili Majina toka ya Kikristo kwenda ya kiislam zimeongezeka mara dufu kuliko miongo miwili iliyopita.
Inward Nigeria ni Jamhuri ya kiislam kwasasa.. Waislam ndiyo wanaamua mstakabali wa Naijeria.
Tinubu hakutaka MUSLIM - MUSLIM TICKETS ila wenye Nchi wakamgomea, ikabidi akubali,akamchukua Shetimma(BOKO HARAMA ENABLER) sasa wapi Ikulu.
Cheti chako kikiwa na jina la Peter kupata Ajira ni shughuli ni Bora Uende mahakamani ubadili ili uendane na mfumo.
Una ifahamu History ya Nijeria? [emoji848]
 
Sioni future ya ukiristo kabisa....muislim wanafanya best move, non returnable...kuna uwezekano hata next prezidar atakuwa shehe tena....na itakuwa ngumu kurudisha ukiristo madarakani
Akili yako ni mbovu sana
 
Ni mpuuzi tu atakache chukulia serious ujinga wa dini za kuletewa.
 
Una ifahamu History ya Nijeria?
emoji848.png
Siijui, ila kuna wakati ili wait kuwa considered as Christians country.
Kwani history inasemaje.

Kwa Tanzania haitakaa ije itokee.
Ni jambo la Muda... Christianity Demise is inevitable.
 
Makosa makuu yanayo kwenda kuliangamiza taifa kuhusu dini ni haya
1) shule za elimu dunia zenye milengo ya dini ...hapa ilitakiwa taasisi za dini zikifungua shule zisiruhusiwe kuweka mambo ya dini sana isipokuwa somo tu la dini...mavazi yawe ni standard kama miaka ya 94 kuja chini.
2)Shule za serikali zisiruhusiwe mambo ya dini kwa namna yoyote ...kufutwe masomo ya dini yote na mitihani ya dini kwenye shule za serikali.
3)Kuhusu mavazi kusiwe na mavazi yoyote yenye kuelekea dini yoyote ...hapa ni kupiga marufuku hijabu na misalaba na kila aina ya kifaa cha dini...kama biblia na misahafu mashuleni hii si kwa wanafunzi tu hata kwa walimu wasiruhusiwe kuvaa mavazi yenye milengo ya kidini kama hijabu.
4)wanafunzi wote wavae sketi zenye kufika magotini zi chini ya hapo ..ni kumaliza vitambaa bure na kuzarisha taifa la wanafiki ...toka lini tumeweza kujisitili nyeti zetu tusifanye uzinzi na uasharati ...mbona wanafunzi wa siku hizi ni malaya haswa kuliko wale wa miaka ya 94 kuja chini ambao walikuwa hawavai hijabu wala masomo ya dini hayakuwepo.
Ww naye ni tahira na huna akili.
Kwanza ni lini serikali imeruhusu misaraba mashuleni?
Sheria ya kutochanganya mambo ya dini na serikali inazibana taasisi za serikali tu na sio sekta binafisi hiyo iko dunia nzima.
Alafu kisheria hakunaga vazi linalo itwa la kidini ,maana kuna jamii nyingi unaweza kukuta zina mtindo mmoja wa uvaaji wa mavazi lakini katika mitizamo tofauti , kidini ,kimila na kimazingira.
,suala la mavazi lipo katika maamuzi ya mtu binafisi kuamua avae nguo ya aina gani ,kama ww ambaye unaweza kuamua kununua gari aina ya Toyota au benzi,au uowe mwanamke wa aina gani mweusi au mweupe.
Alafu aliye kwambia nguo zimetengenezwa kwa ajili kuzuia uovu ni nani?
Basi ww na binti yako anzeni kutembea uchi maana mavazi hayazuii uzinzi.
Nguo ipo kwa ajili ya kulinda utu wa binadamu husika kutokana na mtazamo wa huyo mtu na ndio maana kuna watu wanavaa vimini ,nguo ndefu,ya wastani ,ya kubana ,pana kutokana na mzamo wa mtu kuwa avaeje ili kulinda utu wake.

Zee zima kupenda kuangalia mapaja ya visichana vidogo lika na wajukuu zake ni upumbavu.
 
Nitazidi kupiga kelele kadiri niwezavyo na kutoa tahadhari kadiri niwezavyo katika moja ya makosa yaliyo fanyika Tanzania ni kutengeneza nchi kimaandishi ya kisekula lakini kivitendo ni ya Ukristo na Uislam pekee.

Watanzania wanajipongeza kwamba ni nchi isiyo ya kidini lakini ni nchi iliyo tengenezwa katika mzunguko wa dini mbili hizi Ukristo na Uislam.

Ni nchi chache sana duniani zinazoweza kujitambulisha kama nchi zisizo egemea dini yoyote ile kwa namna yoyote ile na katika nchi hizo Tanzania haipo kabisa.

Kosa ni kuwa serikali bado inaendelea kuzishikilia hizi dini mbili na kuziaminisha kwamba ndizo nguzo ya nchi.

Kazi kubwa sana inahitajika kuiweka hii nchi mbali na udini wa Ukristo na Uislam kama vile Tanzania imejengwa katika mzunguko wao pekee.

Jamii ambayo asilimia kubwa ya population yake inayatazama maamuzi ya serikali katika picha ya Ukristo na Uislam ina tatizo kubwa sana la udini wa kila dini moja kupambana mamlaka dhidi ya nyenzake.

Jamii ambayo viongozi wake wanafanya maamuzi kwa kutazama hizi dini mbili juu ya maamuzi yake ina tatizo kubwa sana la udini ndani yake.

WATANZANIA WANAZIPENDA SANA DINI ZAO UKRISTO NA UISLAM MPAKA KUATHIRI FIKRA ZAO KATIKA KUFIKIRI NA KUTAZAMA MAMBO KIMAPANA NA WATANZANIA WANA UDINI WA UKRISTO NA UISLAM HATA KAMA HAWAPO TAYARI KUKUBALI HILO.
Misingi yetu hii mizuri ndio inadanya hadi leo nchi iwe kitovu cha amani duniani na watu kuishi kwa kuheshimiana na kuvumiliana tofauti na nchi nyingi hata majirani tu hapo angalia uchaguzi unakuwa kama vita , kwa hili tanzania tujipongeze
 
Mbona unajiongelesha mwenyewe na tena vitu ambavyo havitakuja kutokea kabisa kabisa.
Kiufupi hiyo ni future impossible tense,nyie jidanganyeni misikitini lakini uhalisia hautakuja uwe hivyo.
Kitu ambacho hawakijui katika uongozi wa kisiasa CCM hawamchukui mfia dini😝😝

Jk,Mwinyi na Samia. Hawa hawana sifa za kuwalinganisha na wafia dini kama Maalim SEIF.
 
Sio leo wala kesho wala kesho kutwa,kiufupi sahau Hilo.Mambo yanaangaliwa kwa umakini mkubwa sana.
Kwa umakini mkubwa na kutumia Compass Directions(bible)...
Hayupo wa kuzuia Islam kutake over dunia nzima.
Kutaibuka challenge mdogo ndogo tu lakini wa kuzuia fully Hayupo.
EUROPEANS pumzi zao ni za mwisho mwisho, ikiwa hao wamefikwa hapo why Tanzania?.
 
Sioni future ya ukiristo kabisa....muislim wanafanya best move, non returnable...kuna uwezekano hata next prezidar atakuwa shehe tena....na itakuwa ngumu kurudisha ukiristo madarakani
Unaifahamu DEEP STATE?
 
Indeed.. COURT ya Naijeria inasema kesi za watu kubadili Majina toka ya Kikristo kwenda ya kiislam zimeongezeka mara dufu kuliko miongo miwili iliyopita.
Inward Nigeria ni Jamhuri ya kiislam kwasasa.. Waislam ndiyo wanaamua mstakabali wa Naijeria.
Tinubu hakutaka MUSLIM - MUSLIM TICKETS ila wenye Nchi wakamgomea, ikabidi akubali,akamchukua Shetimma(BOKO HARAMA ENABLER) sasa wapi Ikulu.
Cheti chako kikiwa na jina la Peter kupata Ajira ni shughuli ni Bora Uende mahakamani ubadili ili uendane na mfumo.
Acha uongo
 
Back
Top Bottom