Shida ni nini kwenye haya maisha? take its so serious.

Shida ni nini kwenye haya maisha? take its so serious.

Kifulu

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
557
Reaction score
2,064
Inakuwaje kijana unapambana Kwa Hali na Mali kiakili na kimwili Ila mafanikio yanakuwa bado shida?

MTU huywi pombe na wala hutumii kilevi chochote

Sio MTU wa wanawake uko na mahusiano yako strong

Sio MTU wa peer pressure na wala huna circle kubwa ya marafiki wajinga wajinga

Unaamini katika Mungu

Sio Mtu wa Socio media

Yaaani full time MTU upo serious na Maisha lakini mafanikio bado ni Giza kubwa??

Wakuu based on your life experiences tatizo huwa ni Nini?

Maana ukienda Kwa mganga wale mbwa huwa hawakosi sababu

Karibuni
 
Inakuwaje kijana unapambana Kwa Hali na Mali kiakili na kimwili Ila mafanikio yanakuwa bado shida?

MTU huywi pombe na wala hutumii kilevi chochote

Sio MTU wa wanawake uko na mahusiano yako strong

Sio MTU wa peer pressure na wala huna circle kubwa ya marafiki wajinga wajinga

Unaamini katika Mungu

Sio Mtu wa Socio media

Yaaani full time MTU upo serious na Maisha lakini mafanikio bado ni Giza kubwa??

Wakuu based on your life experiences tatizo huwa ni Nini?

Maana ukienda Kwa mganga wale mbwa huwa hawakosi sababu

Karibuni
Umeamka umevurugwa nn 👽 mzeye ila wahenga wanasema kila jambo na wakati wake ukifika utaona mwenyew steps n muhimu kwa kila jambo huwez maliza drs 7 bila kusota miaka 6 kwa drs so,be humble!!! Aya maisha so easy kama tunavofikiri🤝
 
Umeamka umevurugwa nn 👽 mzeye ila wahenga wanasema kila jambo na wakati wake ukifika utaona mwenyew steps n muhimu kwa kila jambo huwez maliza drs 7 bila kusota miaka 6 kwa drs so,be humble!!! Aya maisha so easy kama tunavofikiri🤝
Sure mkuu sometimes MTU unathamani kufanya mambo ya ajabu kisa Hela ila nafsi inakataaa kabisa

Anyway God's time is the best.
 
Sure mkuu sometimes MTU unathamani kufanya mambo ya ajabu kisa Hela ila nafsi inakataaa kabisa

Anyway God's time is the best.
Yes!!! Mkuu best ov luck kuelekea penye watamani ufikee lkn tuepukee tu shortcut way mara nying huwa na negative impact
 
Inakuwaje kijana unapambana Kwa Hali na Mali kiakili na kimwili Ila mafanikio yanakuwa bado shida?

MTU huywi pombe na wala hutumii kilevi chochote

Sio MTU wa wanawake uko na mahusiano yako strong

Sio MTU wa peer pressure na wala huna circle kubwa ya marafiki wajinga wajinga

Unaamini katika Mungu

Sio Mtu wa Socio media

Yaaani full time MTU upo serious na Maisha lakini mafanikio bado ni Giza kubwa??

Wakuu based on your life experiences tatizo huwa ni Nini?

Maana ukienda Kwa mganga wale mbwa huwa hawakosi sababu

Karibuni
Maisha yalishachorwa......huwezi toka nje ya mstari......usiumize kichwa.........
 
Kuna mambo yanayochua fedha sana bila kujua.
Naomba uwe unatoa hata masalua kidogo kwa watoto na wenye shida utafanikiwa sana
Sawa hili naomba nilitumie
 
Mkuu niamini mimi bado kuna code onakurudisha nyuma. Kujituma unajituma na hela unapata je kuna akiba unaweka? Kwa muda gani? Na malengo ya akiba hiyo ni nini?

Unaishije na watu wanaokuzunguka? Madili wanakupa au hata kama hawakupi ila kuna kauzibe yoyote unaiona kutokana na hao watu? Usiumize sana kichwa kuwatafakari watu.

Jichunguze mwenendo wako wewe
 
Mkuu niamini mimi bado kuna code onakurudisha nyuma. Kujituma unajituma na hela unapata je kuna akiba unaweka? Kwa muda gani? Na malengo ya akiba hiyo ni nini?

Unaishije na watu wanaokuzunguka? Madili wanakupa au hata kama hawakupi ila kuna kauzibe yoyote unaiona kutokana na hao watu? Usiumize sana kichwa kuwatafakari watu.

Jichunguze mwenendo wako wewe
Naomba nijichunguze kwenye suala la akiba hapo serious naona kuna changamoto
 
Naomba nijichunguze kwenye suala la akiba hapo serious naona kuna changamoto
Mkuu hapo ndio muhimu sana. Weka akiba hata UTT halafu mwisho wa mwaka cheki umefanya nini ila hiyo akiba iwe ni kwa ajili ya lengo fulani aidha kuongeza chanzo cha mapato au kununua kiwanja n.k ukifanikiwa hapo naamini huo ndio mwanzo na utakua umepiga hatua.
 
Mkuu hapo ndio muhimu sana. Weka akiba hata UTT halafu mwisho wa mwaka cheki umefanya nini ila hiyo akiba iwe ni kwa ajili ya lengo fulani aidha kuongeza chanzo cha mapato au kununua kiwanja n.k ukifanikiwa hapo naamini huo ndio mwanzo na utakua umepiga hatua.
Sawa nashukuru sana ahsante Sana Kwa hili
 
Back
Top Bottom