Yaani shetani lenu lile ndo takatifu!?Aliwatesa akiwa hai na atawatesa akiwa kaburini,,,,aliechomoa betri kabeba madhambi yote ya jamaa na maushetani mnayopigia kelele,,,,na uzuri tunajua alitubu huyo mtakatifu wa mbinguni kabisa,,,,,pambaneni na kiungo wenu mchomoa betri kabeba madhambi yote ya jamaa ahsanteni kwa kazi nzuri ya kutupatia mtakatifu