Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Habari zenu wana jamvi!! Moja kwa moja kama mada inavyojieleza, kuna mtoto wa miaka miwili hivi sasa ila bado chakula kwake ni kama anapigana vita hadi akabwe na mama yake ndo anyweshwe uji ila chakula hata akilishwa ni kulia na hatokimeza.
Nini suluhu ya hili jambo? Msaada wenu please.
Nini suluhu ya hili jambo? Msaada wenu please.