Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Hivi siwezi kupata kitu cha kununua cha bei chee kutoka kwa aliyekuwa RC wa Simiyu? 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha ila Kwa fundi inatengenezeka vyema tuuUliuza skrepa 🤣🤣🤣
Yeseeeee yeseeeeeee.......hayaSadly!!
Sina mdogo wa kike, na dada zangu wote wamesha olewaa tayari.
😹😹😹 mmezidi mate je, mishangazi yote iliyojaa hukuona mpk wanafunzi??Walinitengenezea zengwe ndugu yangu wakasema nilikula demu wa shule na Bibi yake akasimamia Kucha hiyo ishu ilitaka iwe kubwa sana
😹😹😹 hataree sana!!Noma sana
Sasa wakati huo unajua nilikuwa sijaoa ujue na binti mwneyewe alikuwa 23yrs na hakuwa anasoma iila ilitengenezwa.😹😹😹 mmezidi mate je, mishangazi yote iliyojaa hukuona mpk wanafunzi??
Tena una mke na watoto!!
Pole sana aiseee!!Sasa wakati huo unajua nilikuwa sijaoa ujue na binti mwneyewe alikuwa 23yrs na hakuwa anasoma iila ilitengenezwa.
Wewe sio Mkinga tena?Niliwekaga tangazo home nauza nguo zangu na nikawatafuta wadada wale masista duu waliokuwa wanakuja kukodishaga nguo zangu waje tufanye biashara.!!
Mzee alivyorudi akalichana tangazo tulikula mikanda mimi pamoja na wateja wangu, aiseee wazee wa kichaga jau sana 🤣🤣🤣
Ila bila kujua ile ndio ilikuwa hatma yangu, ss hivi nimekuwa winga mzoefu.!! 😹
Watu mko makini 🤣🤣🤣Wewe sio Mkinga tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uolewee mara ngapiii dyadyaa?? Ndoaa iko na tunatamba nayooUachage uongo mbona dada ako niko single hapa [emoji81][emoji81][emoji81]
Hutaki shemeji weyeee!!
Mdogoangu ndoa ilikufa nikapewa talaka tatu, nikikumbuka mpk usiku wa saa 10 naimbiwa “My African queen” na shemejio nalia sana 😭😭😭😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uolewee mara ngapiii dyadyaa?? Ndoaa iko na tunatamba nayoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em fanyaa uwahi nikupelekee kabla hajafaa.Mdogoangu ndoa ilikufa nikapewa talaka tatu, nikikumbuka mpk usiku wa saa 10 naimbiwa “My African queen” na shemejio nalia sana [emoji24][emoji24][emoji24][emoji81][emoji81][emoji81]
Nipeleke kwa mganga wako nimrudishe mume wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio muongo 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em fanyaa uwahi nikupelekee kabla hajafaa.
Ndoa tuwe nayo na tutambee nayooo. Weuweeeeeh.
Maisha ni safari ndefu. Unapata somo kwa vitendo na unashiriki mwenyewe kwenye somo hiloSitasahau nilivyopigiwa cm na kaka yangu kabisa akanipa mchongo wa kazi Tanga wkt huo nipo Arusha
Kwasababu skua na mke wakati huo na kazi ilikua ya muda mrefu na ukizingatia Tanga ndo home
Ikabidi niuze vitu vyote vya ndani kwa bei ya hasara
Kilichofuata kwakifupi kazi nilikosa nikaishia kulala nje kwa bro kwa miezi 6 kwasababu yeye alikua kaoa na chumba ni singo
Kwakweli iliuma Sana
Tuelekeze tuishi nao haoStaili hizi hizi za kuuza kitu kwa shida ndio zinatuumiza wengi tunaodhani kila anayeuza kitu kwa haraka anashida,wengine ni matapeli.mimi niliuziwa simu kali kwa bei kitonga kwa madai eti muuzaji anashida..ooohoo kumbe ni jumba bovu nimedondoshewa,baada ya wiki nikapewa kesi simu iliibiwa K/koo dukani..na duka lilivunjwa.uzuri polisi najua kuishi nao,kinyume na hapo ingekuwa ni balaa.
Mkuu,Nimecheka Hadi nimepaliwa
Aaaah wee! [emoji23][emoji23][emoji23]Sio muongo [emoji23][emoji23][emoji23]