Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata kingilio kiwe laki tano nitaenda tu embu miss kufa kwa roho yako mbayadiamond akifanya show hapa bongo itakuwa ya kawaida saana wala hakuna mtu ataenda.shigongo kasema kweli m 100 alipwe kwa lipi ? kuimba yenyewe majanga live performance yake anabebwa na madansa tu.
mapromoter wa bongo hakuna mjinga wa kumpa mond m 100 maana hana jeuri ya kuingiza watu hao
Sema ww ndo hutoendadiamond akifanya show hapa bongo itakuwa ya kawaida saana wala hakuna mtu ataenda.shigongo kasema kweli m 100 alipwe kwa lipi ? kuimba yenyewe majanga live performance yake anabebwa na madansa tu.
mapromoter wa bongo hakuna mjinga wa kumpa mond m 100 maana hana jeuri ya kuingiza watu hao
We nisaidie tu kuisoma hiyo paper. Maana type na mm hatupendi shida kabisa, tunapenda vitu facts tu!Ngoja nikusomee ... na ubashite wako
hata mimi amenishangaza sana tena sana...kumbe makala hii imekuja baada ya yeye kukosa deal hahahaKwani hamna wasanii wengine akafanya nao kazi kwa hizo bei anazotaka?!...mbona yeye hapunguzi bei ya magazeti yake
Siku nyingine jitahidi kusoma walau kidogo.Hayo maelezo marefu sijayasoma, ila naona kama huyo bwana hizi wiki mbili hatambi kabisa!... Watu wapo busy na nchi yao tu, angetoa kanyimbo angesikika.....astaafu kuimba mapenzi tu
Teh Teh...kwa lipi? Sema Shigongo amechoka kufikiri tuu anafikiri ataweza kumuharibia Diamond kwa hizi makala? hiyo hela wapo wanaweza kutoa na kumpa Diamond kama yeye hawezi aache...kuna watu wanaweza andaa show kwa kiingilio cha 30,000/, 100,000/= 200,000/= na wakampa hiyo hela Diamond na wakapata na faida...diamond akifanya show hapa bongo itakuwa ya kawaida saana wala hakuna mtu ataenda.shigongo kasema kweli m 100 alipwe kwa lipi ? kuimba yenyewe majanga live performance yake anabebwa na madansa tu.
mapromoter wa bongo hakuna mjinga wa kumpa mond m 100 maana hana jeuri ya kuingiza watu hao
Mkuu umeongea kweli tupu, na ndio maana Diamond anajitahidi sana kuimarisha brand.Ukweli ni kuwa wafanyabiashara kama Shigongo wameshapitwa uwezo wa kummudu Diamond. Mbona wenzake voda wananunua shoo kwa hela hiyo hiyo halafu wananchi wanalipia buku kumi? Njia ya biashara ya Diamond ya sasa sio ya kutegemea viingilio ni ya kutegemea matangazo ya corporate. Brand inanunua shoo Diamond anapiga hata bure! Shigongo anadhani JayZ alilipwa kutokana na kiingilio chetu?
December 31 alikuwa janwani sea breeze kwa 30k then january 1 alikuwa iringa kwa 10k. Anachokiongea shigongo akina mantiki katika ulimwengu wa kisasa. ukiachana na huduma ya kisanaa, diamond ni brand kubwa, hao mapromoter wanaweza wakamlipa diamond mil10 then wakatafuta sponsorship ya events hata coca wakaweka hizo 100mil. Huyo shigongo ni promoter tu, eti ataishia kufanya shows nigeria, so amemaanisha huko nigeria ndio kuna fans wenye pesa kuliko bongo au ni suala la sponsorship. Mapromoters wote wangekuwa na akili fupi kama hizi basi tamasha kama sauti za busara zanzibar lisingefanikiwa, inshort kusaport hii kitu ni kufurahia umaskini wa wasanii wetu.Wengi mnachangia kwa mahaba na ushabiki zaidi kuliko hata kuangalia faida ya miaka 20 ijayo ya huyu msanii unaempenda...jibu kwa hoja huku unajiuliza pia ww shabiki hapa tz Mara ya mwisho kuhudhuria show ya diamond kwa kiingilio cha kawaida ni lini kulingana na kipato chako????