Shigongo amuonya Diamond, amlaumu kutoza pesa nyingi shows za ndani...

Ni mgongano wa kimaslahi na hakuna ushauri wowote wa maana.
 
Shingongo bana,yake hayaoni anaona ya wenzie. Enzi hizo hata sasa anatajirika kwa migongo ya wasanii hasa bongo movie kawatumia sana kwa skendo za uongo na kweli.

Ameshauri..unaweza kupokea au kupotezea
 
Semina za shigongo bei gani??
 
Bahat nzur nmesoma maon yote kabla ya mm kuchangia,,,labda tujiulize bila kuweka ushabiki kwanza nadhan tutapata jibu..

Milion 100 yes ni nying ila sio nyingi sana kwa brand kama dimond kwa sasa,, swali hapa je wapi?? Tanzania au nje ya tanzania? Kama nje ya tanzania sawa lakn km ni hapa shigongo ndio akipoegemea hoja yake...

Shigongo hajasema hana hadhi hyo ya milion mia,hapana kasema kwa nyumban ni kias kikubwa ambacho ni bora waandae matamasha yale ya buku tatu kama walivyokua wanafanya mwanzo lakin sio promota anamchukua then ategemee kupata faida..

Shigingo ni mmoja wa wafanyabiashara wa kubwa pia,,anajua masuala ya biashara kuliko wengi wetu tunaopakua nyimbo za dimond bure kule u tube,kuna ubaya gan kumshauri?

Siku zote masikini ndio wanaofanya matajiri wang'are zaid maana sisi ndio mtaji wao,,sasa km sisi ndio mtaji wao hawawez kuweka gharama za bidhaa zao mpka tushindwe kununua mwsho watafeli hata wao....

Shigongo ana hoja tena halisi kabsa,,ila siku zote tumeumbwa kupinga na hili sishangai kupingwa,,,ila muda utasema,,,
Amenikumbusha akichomshauri Mbatia kua kuingiza NCCR kwenye ukawa utaimaliza NCCR na watu wake,,,leo kiko wap?? Nccr chali kifo cha mende lakin huku bado mnaikaushia ile...ha ha ha
 
Mapromota wamewanyonya sana wasanii kwa muda mrefu, ni wakati wa wasanii sasa kurudisha walichonyonywa kwa muda mrefu!

Kwanza muziki ni biashara kama zingine, anayemudu bei ndio ananunua, mie sina shida na kuhudhuria show ya msanii yoyote, nikishadownload wimbo natulia zangu ghetto kusikiliza, hizo show mtaenda nyie!
 
Shigongo naye mbona anatoza gharama kubwa kwenye semina zake za ujasirimali.? Huku akijitapa kuwa ni kwa ajili ya tabaka la chini..! Lakini mbona sisi hatujamuoneshea kidole..!

Hivyo basi, mimi naona aanze yeye kufanya hiyo charity kwenye semina zake kwa kutoweka kiingilio, kama kweli anataka asaidie tabaka la chino kuliko kuzidi kuwadidimiza na viingilio vikubwa kuliko uwezo wao..!
 
Shigongo toka aanze kujihusisha na siasa ukijumlisha na hela aliyodhulimiwa na mabwana wale, akili yake haiko vizuri kichwani. Anataka Diamond afanye show za buku tatu kama zamani wakati brand ya Diamond haiko kama dhamani, fikra zake zimekaa kimgando mgando sana, kila siku tunaombea wasanii wetu wakue kimziki wawe na brand kubwa afu huyu kiumbe anataka malipo yasibadilike, afu mbona wasanii wa buku tatu wengi tuu si aende akachukue hao ( Msanii unakuta anakula madawa ya kulevya, mvuta bangi, mchafu, skendo za kijinga jinga kibao).
 
Mkuu ukumbuke Diamond ameajili vijana zaidi ya 50 kuanzia madance hadi ma IT na kumbuka bado TRA analipa kodi Mara mbili
Kwanza analipa campany yake ya WCB, pili analipa Diamond platnumz kama brand inayojitegemea
Moja ya vyanzo vyake vikuu ya mapato in shows anazofanya
Show yoyote ya nyumbani Diamond anatoza dola 55,000 no lazima iwe hivo kutokana na cost ya production kumbuka sasahivi anamiliki bend.
Diamond show ya nje ya Tanzania anatoza kuanzia dola 75,000 na anapata shows kibao.
Labda kama shigongo anazungumzia charity show anaweza kuwa na hoja kwa kiwango hicho
 
Ni kweli.
WCB walitafakari hilo...nyumbani ni nyumbani lazima kuwe na upendeleo...
 
Hatari sana Jehanamu inanunuliwa Kwa pesa lukuki,pepo ya bure watu hawataki
 
Na pata shida kumuelewa ukomo wa ufikiri wake akili elimu aliyonayo thinking capacity yake imekaa kibashite [HASHTAG]#asiwapangie[/HASHTAG] WCB namna ya kufanya biashara zao.huyu msukuma naye mkolomije
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…