Yeah..ukiweza kuvumilia mwanzoni ni hatua muhimu ya kuizoea biashara (sio kufanikiwa).
Ukifika hii hatua unakua huogopi hasara, huogopi kupoteza wateja, huogop competition n.k .mindset yako unakua free kiasi kwamba the fear of failure becomes not an issue any more. Hapa unakua tayar kukabiliana na challenge yoyote huku akil yako iki focus katika ku grow zaid, nifanye nini kupiga hatua.
Muhim sana hii stage
mrangiPole sana biashara ni ngumu ila ni ngumu kabisa kama umepakana na Mrangi....
Ah kmmke ππUkute ni kontena la miti ya Xmas ndo limeingia Feb hii π€ Xmas ishapita, na nyingine bado iko mbali
Kuanguka mara nyingi sana sio ushujaa. Motivational speakers huwa wanajiropokea tu. Ukianguka zaidi ya mara 3 unatakiwa ujiulize una matatizo gani. Ukigundua tatizo lililopo ndani yako ndo utaepuka kuanguka hovyo.Usiogope, unaweza kuanguka hata mara Kumi na ukasimama tena mambo yakanyooka... Ila nyieππ
Wakuu
Wale mliofanikiwa kuanzisha biashara zenu na zimedumu mpaka sasa SHIKAMOONI WAKUBWA. Hili game sio la kitoto for beginners.
Mimi tayari mwaka jana kuna ndugu yangu kwa dhati aliniomba msamaha baada ya kunirushia maneno ya hovyo kwasababu ya kumjibu kuwa bado sijalipwa madeni ninayodai kwenye kazi nilizopewa kama tenda. Alikuwa anaona ninamdanganya.Huwa nawashangaa watu ambao sio wafanyabiashara na wanalia eti maisha magumu. Zaman nlikuaga nashangaa ndg yangu mmoja ana duka kubwa sana ila ukimuomba hata buku anasema hana, nikadhan ana roho mbaya. Miaka hii najionea mwenyewe, hadi nataman nikamuombe msamaha
Acha kbsaaa yqani Ni stress tupu kwa kweli biadhara Anza walau ukiwa na age ya 24 HV au 20 KbsaNa hasa ukianza biashara umri umekwenda.
Aiseee Ni balaah leo nimeuza 140k Kuna siku had nauza 40Wakuu
Wale mliofanikiwa kuanzisha biashara zenu na zimedumu mpaka sasa SHIKAMOONI WAKUBWA. Hili game sio la kitoto for beginners.
Unautoa Kahama unaupeleka wapi.?? Naomba unipe hints kidogo za huo mchongo na gharama zipojePole san mkuu usikate tamaa ,tuendelee kupambana sana mm nataka niende Kahama nikaangalie biashara ya mpunga Mungu anisaidie tu.
HakikaBiashara ni nyoko. Kila ambapo nilikua nakaribia kukata tamaa, ni kama Mungu alikua ananiletea a guardian angel to encourage me..huwa siamin kama am surviving years now.
Ukiwa na roho ndogo biashara inakutoa mchezon sekunde tu.
UKiona mtu kwel ame maintain kwenye biznes, kwakwel cha kwanza mpe heshima tu mengine muulize taratibu akupe maelezo
Yan sekunde tuu inakulaza chaliiiHakika
Ukiwa na muoga unaikimbia biashara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787] dada acha kunichekesha na kunitishaPole sana biashara ni ngumu ila ni ngumu kabisa kama umepakana na Mrangi....
Braza umeongea point kubwa mnoYeah..ukiweza kuvumilia mwanzoni ni hatua muhimu ya kuizoea biashara (sio kufanikiwa).
Ukifika hii hatua unakua huogopi hasara, huogopi kupoteza wateja, huogop competition n.k .mindset yako unakua free kiasi kwamba the fear of failure becomes not an issue any more. Hapa unakua tayar kukabiliana na challenge yoyote huku akil yako iki focus katika ku grow zaid, nifanye nini kupiga hatua.
Muhim sana hii stage
Mkuu maisha yanataka tabasamuWakuu
Wale mliofanikiwa kuanzisha biashara zenu na zimedumu mpaka sasa SHIKAMOONI WAKUBWA. Hili game sio la kitoto for beginners.
Brazaaa Kuna wkt nakaa ofc kwangu natamani nikatafute Kaz serekaliNi lkn Kuna wakt napiga maokoto Wala sitamani Tena mamb ya utumishi Ila Sasa ...Yan sekunde tuu inakulaza chaliii
Hiko kimuhe muhe itafika hatua kitapotea completelly πππBrazaaa Kuna wkt nakaa ofc kwangu natamani nikatafute Kaz serekaliNi lkn Kuna wakt napiga maokoto Wala sitamani Tena mamb ya utumishi Ila Sasa ...
ikiwa doro mmh naanza kuwaza kuapply Kaz kampuni au taasis yoyote ile hofu inanijaa Sanaa
Kuna wakati nilikiwa natafuta kazi kwenye zile centre za Tuition nifundishe Chemistry na Maths ila hata nikipewa chance malipo duni. Ilikuwa sio poa aisee.Brazaaa Kuna wkt nakaa ofc kwangu natamani nikatafute Kaz serekaliNi lkn Kuna wakt napiga maokoto Wala sitamani Tena mamb ya utumishi Ila Sasa ...
ikiwa doro mmh naanza kuwaza kuapply Kaz kampuni au taasis yoyote ile hofu inanijaa Sanaa