Yeah..ukiweza kuvumilia mwanzoni ni hatua muhimu ya kuizoea biashara (sio kufanikiwa).
Ukifika hii hatua unakua huogopi hasara, huogopi kupoteza wateja, huogop competition n.k .mindset yako unakua free kiasi kwamba the fear of failure becomes not an issue any more. Hapa unakua tayar kukabiliana na challenge yoyote huku akil yako iki focus katika ku grow zaid, nifanye nini kupiga hatua.
Muhim sana hii stage
Big point[emoji419]