Shikamoo biashara

Hao wameshindikana wako wengi mno mno unakuta mtu aanalipa laki tano. Fremu alfu kutaa anacho USA sasa
 
Shida wana uwa wanakurupuka sana yaani akishika chenji yeye yumo kwenye bussiness tayari .

Kifuatacho ni kupost mambo whatsap kila kukicha ila ground hali ni tete .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hat kula mchna Hali

Kuna bint mmoja anaduka sinza la kuuza oil za magari Sasa anacho fanya Ni kupost kila siku mtaandaoni

Na ukikah nae hat kula hawezi Hulu akilipia fremu laki 500k
 
Hakuna sehem nzur ya kufanya biashara kama Africa. Unatakiwa tu kujua kudance according the tune. Ngoja niishie hapo. Achanen na biashara ya people power mzee. Kuna huna kitu huna power.
 
Hahaha biasha ganj hii ya mageneza nn
 
Hahahaha inafurahishaga na kuhuzunisha, anakuuliza biashara kama hii mtaji kiasi gani, soko likoje na changamoto.

Kiuhalisia huwezi kumwambia changamoto unazopitia ila unatamani Umwambie lete hela nikuuzie hii yangu.
Tatizo huwenda nae akataka kufungua Happ Happ jirnaj kwangu alfu tugawane wateja
 
Safi mzee, kwaio kwa sasa bado unafanya biashara za jumla ??
 
Brother Tubariki na mawazo mawili matatu ya biashara. Tushike peni na karatasi tuandike tuchukue notes
 
Biashara inakuhitaji uwe na nidhamu kwa kila shilingi, unaweza kuwekeza pesa nyingi ila faida ikawa kidogo sana kama bei ya kreti; usipokuwa na nidhamu lazima biashara ife.
Majuzi nilimtembelea rafiki yangu mmoja, amenunua mashine ya kudarizi 30m, nilimkuta anaweka nembo kwenye mashati 30, lakini malipo aliyopata ni shilingi 60,000/=; kwa mazingira hayo kama huna nidhamu ya pesa, unaweza kuhisi hiyo milioni 30 aliyowekeza kwenye mashine imepotea.
 
Hat kula mchna Hali

Kuna bint mmoja anaduka sinza la kuuza oil za magari Sasa anacho fanya Ni kupost kila siku mtaandaoni

Na ukikah nae hat kula hawezi Hulu akilipia fremu laki 500k
Binti ukiona anafanya biashara sio wa kushindana naye! Kwanza kodi ya pango ni chupi! Mtaji ni chupi! Hawanaga mahesabu zaidi ya kukuelekeza kwenye 'V' ya mapaja yake ukitaka kudai kodi! Wanaofanya biashara za piga/ua/komaa ni wanaume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…