Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Idd mubaraka TIP TIP.@Njagomire anae sababisha scarcity ya mafuta namadhila yote yanayoikimba VENEZUELA kwasasa sio muarabu wala Muislam Ni US na anaeenda kuokoa jahazi sio RUSSIA wala Mzungu Ni MUAJEMI nani MUISLAM.
Sent using My COVID-19
Trump kaniangusha sana aisee...Nilikuwa nikisubiria ajilengeshe wamiminiwe mvua za makombora ya balistiki.Tukiwa tunasema US nijoka lakibisa watu hua hawaelewi [emoji23][emoji23][emoji23]
PAPER TIGER [emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji23]
@MK254View attachment 1458676
Sent using My COVID-19
nzuri ndugu yang habari iliopo unayo huko ?!Idd mubaraka TIP TIP.
Wale magaidi toka zamani MKUU.Sasa USA inawahusu nini kuingilia mambo ya watu kama sio UGAIDI wa kupindukia huu
Sent using Jamii Forums mobile app
US anaonea dagaa.....Trump kaniangusha sana aisew...Nilikuwa nikisubiria ajilengeshe wamiminiwe mvua za makombora ya balistiki.
US PAPER TIGER ....Wana jeshi wa Venezuela nao walienda kuzipokea meli za iran yani apo ilikuwa sio mkwara nilikuwa Nina subiria kweli maana Iran walisema kama vip usa wamuulize UK kuhusu utekaji wao wameli!!!
Nadhani ile meli ya uk ilitekwa sio kibabe tu bali technology ilihusika!
Yani Iran yupo kwenye position ambayo ukimchokoza majini lazima adake meli yako tu!Tangu Iran Alipo lipua vikambi vyao huko iraq siku hizi Trump Alisha kuwa na heshima hata mipasho yake ya dharau dhidi ya Iran imeisha huko tweete siku hizi ni furu heshima.
Hawa Iran washenzi sana aisee!
Waliwekewa vikwazo na Marekani ktk uuzaji wa mafuta, na wametakiwa wasimuuzie mafuta Venezuela.
Haitoshi wakapigwa mkwara na Trump, lakini kwa kuwa walishamjulia Trump kuwa huelewa lugha moja tu, ile ya Iraq (kutwangwa makombora ya balistiki), walimuahidi akitia pua kwenye mzigo wake (Iran) unaoenda Venezuela, watamzungumzisha lugha ile pendwa.
Dah, eti mzigo wa kwanza wa mafuta umewasili Venezuela salama kabisa.
=====
View attachment 1458651
View attachment 1458657
View attachment 1458659
Kwani hata hv si alisema vikielekea IRA atavidaka [emoji23][emoji23][emoji23]kwanzatrampu yuko busy na corona &na uchaguzi...kumbukeni tangia atoe order ya ku shoot vileviboti vya iran zitakazo ikaribia submarine za kimarekani ...havijatia puaa....!!tena
Sent using Jamii Forums mobile app