Marekani (Paper Tiger) baada ya kushindwa kusimamia utekelezaji wa vikwazo ilivyoweka dhidi ya Iran na Venezuela kuuziana mafuta huku akiziangalia na kukosa cha kuzifanya meli tano za Irani zilizopeleka shehena za mafuta Venezuela kwa mkupuo, kakimbilia kuweka vikwazo vingine vipya kwa hasira.
Wewe sio tu ni kunguru usiye fugika bali ni kunguru usiyefugika na usiye na akili. Na ndio maana unaishia kuandika upuuzi kwenye jukwaa la watu wenye akili zao.