Shikamoo Kamikaze

Aseeh acha tu.
Nyumban huwa nashtukiwa..saa tatu Ifike halafu mtu aweke muvi..direct BBC.sio kusikiliza taarifa bali kumwqangalia tu
Me bora nikose ITV but BBC sikosi kuna wamama wako vizuri
 
Me bora nikose ITV but BBC sikosi kuna wamama wako vizuri
Ana lafudhi fulani ya pwani iliyochanganyika na kizungu
...hasa pale anapolitaja jina lake mimi hoi taabani..tukiwa pamoja mimi ni Zuhura Yunus BBC..[emoji7][emoji7][emoji7]
 
Angalia tu usijirushe toka juu ya ghorofa kama yule kaka,vipi lakin unamfikia hata kidogo?

Dinazarde;
Sijivuni ila ka huyo kakunanihii sijui miye ungezimia kabisa hadi hospitali. Uzuri si sura, moyo una mengi zaidi
 
Dinazarde;
Sijivuni ila ka huyo kakunanihii sijui miye ungezimia kabisa hadi hospitali. Uzuri si sura, moyo una mengi zaidi
Naomba basi nikioneee ,pm me
 
Haahahahahahaa naona umeamua kufunguka huyu kweli ni mzuri na ana mvuto!huyu ana vyote cc me and I @
 
Lakini kidgo nilie ulivyosema diamond ana mdomo kama chapati [emoji22][emoji22][emoji22]na anavyojitahdi kuu sexisha jamaniiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
Hehehehe hakunji chapati huyooo mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…