Shikamoo Kamikaze

Anafaa Kwa mboga chaina.
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Diamond Ana mvuto gani[emoji15] [emoji15] [emoji57] [emoji57] [emoji57] yule ukimuona live mbayaa Ana mipele mipele usoni
ebu kampe papuchu ujue uzur wake unafikir kwanin msanii wako anadata na jamaaa achana mziki
 
ebu kampe papuchu ujue uzur wake unafikir kwanin msanii wako anadata na jamaaa achana mziki
"Kwann msanii wako anadata na jamaa Achana mziki" sijaelewa hapo em nyoosha maelezo . mm yangu naenda kumpa kamikaze na tuna appointment Leo jioni diamond mpelekee mkeo nahis atakusimulia uzuri wake ulivo[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]
 
grow up old woman....you think life is just man with pretty face & six parts whatever he has mjinga sana wew mwanamke nimekudharau kuliko
Hahaaa wewe mbona avatar sio yako hiyo , inamaanisha na ww unapenda mwanamke wa hivo sasa na ww tukuweke kipengere kipi. Mapovu vepeeee[emoji12] [emoji12] [emoji12] wanaume wenye sura ngumu utawajua tu[emoji23] [emoji23]
 
grow up old woman....you think life is just man with pretty face & six parts whatever he has mjinga sana wew mwanamke nimekudharau kuliko
[emoji12] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]life is too short dude!!
easy...easy...!
 
"Kwann msanii wako anadata na jamaa Achana mziki" sijaelewa hapo em nyoosha maelezo . mm yangu naenda kumpa kamikaze na tuna appointment Leo jioni diamond mpelekee mkeo nahis atakusimulia uzuri wake ulivo[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]
Tena kwa Kamikaze tunapanga foleni ukitoka naingia mimiii
 
Hahaaa wewe mbona avatar sio yako hiyo , inamaanisha na ww unapenda mwanamke wa hivo sasa na ww tukuweke kipengere kipi. Mapovu vepeeee[emoji12] [emoji12] [emoji12] wanaume wenye sura ngumu utawajua tu[emoji23] [emoji23]
Hehehhehehe ukute ana sura kama kalamba malimau
 
Hehehhehehe ukute ana sura kama kalamba malimau
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana nimekuta picha yake sehemu[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

 
roho mbaya haijengi!!
yaani wanaume bwana kusifia mwanaume mwenzao ni shidaa!
Ndo maana saa zingine wanasalitiwa maana hata ukimkosoa kwamba hiki ulichofanya sio fanya hiki , wao wanapanic bila kujali kina thamani gani kwako ukimpata mwenye nacho unampa mgongo
 
Hapo nimefunika 99.5%..would you???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…