Shikamoo Kamikaze

Haaaha, Huko room huyo mamako mdogo lazima itakuwa alimtuliza kwa shoo moja matata. Maana bila hivyo kinaweza kisieleweke.

Na sisi wanaume tulivyokuwa wadhaifu wa papuchi, ukishapewa papuchi na kushikwashikwa kidevu hasira zote kwishaaa.
Itakuwa mkuu maana waliporud tena sebulen walikuwa ka sio wao
 
Kuna kipindi alisema hakuna mbongo fleva anaemfikia kwa mawe(pesa),
 
Kila Mwanamke ana Fantasy yake cha Ajabu kuna wake za watu wataliwa na huyo jamaaa na Hoteli watalipia haha
Sasa kama value for money ipo kwa nini guest isilipiwe? mbona nyie mnalipiaga guest na warembo wenu? Acheni wadada wajipe raha jamani.
 
Sasa na yeye si akasaidie gsm Kama mwenzake mtoto wa kariakoo
....loh.,hii maneno si ungemwambia mwenyewe kwenye kijiwe 'chenu' cha Wakacha?...,au ulitaka kutelezea ganda la ndizi?
..ushajisahau maskini!
 
Mimi je umeshaniona??? ukiniona si utasema ninanyweka bila kumeza.
Aisee huyu kaka analika bila hata kachumbari
 
Heheheh kumbe ulikua hujamfollow khaaa ulichelewa aiseee mi mahandsome wote nimewafollow hadi levy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sura yangu ni mbaya lkn naishi miji minne tofauti New York, Las Vegas, London na Dsm pls don't reject us kwa sababu sura zetu mbaya..... njoo ule bata hao watoto warembo wanaweza waka ku fu.ck wosikupe hata mia!
 
Mimi sura yangu ni mbaya lkn naishi miji minne tofauti New York, Las Vegas, London na Dsm pls don't reject us kwa sababu sura zetu mbaya..... njoo ule bata hao watoto warembo wanaweza waka ku fu.ck wosikupe hata mia!
Sawa nakuja
 
Kwani pesa za urithi ni haramu? kama Baba'ko alikuwa mzembe usiwaonee mtimanyongo walioandaliwa future na wazazi wao.

Kama unadhani kurithi pesa ni kazi rahisi basis na we we waandalie watoto wako urithi huo.
Wooord
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…