Shikamoo Kamikaze

Shikamoo Kamikaze

Haaaha, Huko room huyo mamako mdogo lazima itakuwa alimtuliza kwa shoo moja matata. Maana bila hivyo kinaweza kisieleweke.

Na sisi wanaume tulivyokuwa wadhaifu wa papuchi, ukishapewa papuchi na kushikwashikwa kidevu hasira zote kwishaaa.
Itakuwa mkuu maana waliporud tena sebulen walikuwa ka sio wao
 
Kuna kipindi alisema hakuna mbongo fleva anaemfikia kwa mawe(pesa),
 
Kila Mwanamke ana Fantasy yake cha Ajabu kuna wake za watu wataliwa na huyo jamaaa na Hoteli watalipia haha
Sasa kama value for money ipo kwa nini guest isilipiwe? mbona nyie mnalipiaga guest na warembo wenu? Acheni wadada wajipe raha jamani.
 
Sasa na yeye si akasaidie gsm Kama mwenzake mtoto wa kariakoo
....loh.,hii maneno si ungemwambia mwenyewe kwenye kijiwe 'chenu' cha Wakacha?...,au ulitaka kutelezea ganda la ndizi?
..ushajisahau maskini!
 
Nimeona mmeleta wasanii wanaovutia ,kwenye listi yooote mliyoweka huyu kaka hakuna anaemfikia hata robo[emoji108][emoji108][emoji108],au mna makengeza mnaweka kin diamond wana midomo ya kumeza chapati sita unatuambia anavutia?watu wana pua kama mme wa shamsa ford useme wanavutia,jux ana mvuto gani kwa mfanooo,

[emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba mumuone huyu kaka aisee popote alipo salute Mungu fundi aisee
Huyu kaka analika aiseee haku a kujiuliza wala kujishauri
Muangalie macho,mdomo,pua paji la uso,kifua cha wastaniii,nywele
uhuuuuuuuuuuuu

View attachment 393706View attachment 393707View attachment 393708View attachment 393709

We kaka uliko huko Mungu anakuona jamani acha kunitesa mie[emoji23][emoji23][emoji23]

halaf una macho kama ya mtu fulani nimemuona kapita

View attachment 393710
Mimi je umeshaniona??? ukiniona si utasema ninanyweka bila kumeza.
Aisee huyu kaka analika bila hata kachumbari
 
Heheheh kumbe ulikua hujamfollow khaaa ulichelewa aiseee mi mahandsome wote nimewafollow hadi levy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sura yangu ni mbaya lkn naishi miji minne tofauti New York, Las Vegas, London na Dsm pls don't reject us kwa sababu sura zetu mbaya..... njoo ule bata hao watoto warembo wanaweza waka ku fu.ck wosikupe hata mia!
 
Mimi sura yangu ni mbaya lkn naishi miji minne tofauti New York, Las Vegas, London na Dsm pls don't reject us kwa sababu sura zetu mbaya..... njoo ule bata hao watoto warembo wanaweza waka ku fu.ck wosikupe hata mia!
Sawa nakuja
 
Kwani pesa za urithi ni haramu? kama Baba'ko alikuwa mzembe usiwaonee mtimanyongo walioandaliwa future na wazazi wao.

Kama unadhani kurithi pesa ni kazi rahisi basis na we we waandalie watoto wako urithi huo.
Wooord
 
Back
Top Bottom