Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kashindwa kujua other factors being constant lakini mvua imegoma kabisaaa so hata ungeweka laki mbili ishue ni mvua...pole sanaKwamba ningeanza na pesa kidogo mvua ndio ingenyesha? Stupid.
Yani wewe ulienda kubet wakat kwa hio hela ulikua na uwezo wa kufanya kilimo cha uhakika
Hapa tunapata funzo kwamba siku tukiingia shambani tusitegee mvua kama chanzo cha maji, tupambane tupate mfumo wa umwagiliaji.Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!.
Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year.
Ila kila nikikaa machale yananicheza.
Page pendwa yangu ikawa tma.
Yes bila hiyana nikasoma kua mvua zitanyesha chini ya wastani.
Refer hapa.
Basi nikajipa moyo. Nikaendelea na process za kulima na kisha ilinyesha mvua kidogo. Tukazika mbegu shamba lote.Mvua za vuli kua chini ya wastani
Habarini wakulima wenzangu. Mimi mkulima mpya (form one) nimejiandaa haswaa na kilimo kipindi hiki kuelekea mvua za vuli. Hofu yangu kuu ni mvua kwani kilimo nilichopanga kufanya kinategemea mvua. Watu wapo site wanaissafisha pori eka za kutosha tu tena wamepiga kambi. Narudi kwenye kurasa za...www.jamiiforums.com
Ekari 30.
Tuliweka camp nikiambatana na wafanyakazi wangu wa mkataba wa 3.
Vibarua hawakukauka shambani kwangu.
Kwakweli kazi ilifanyika kwa ustadi wote.
Sikutaka kurudi mjini mpaka nione hatima ya pesa yangu ninayoizika siku hadi siku.
Huku nikipewa matumaini na wakulima wenzangu kua mvua ziko karibuni.
Siku zinakatika jua linazidi kudhoofisha mimea yangu.
Inasikitisha sana kushuhudia mimea inanifia machoni mwangu.
Nimekata tamaa.
Inasikitisha sana.
Kwa hiyo hela hapo alitakiwa alime hekari zisizozid tano achimbe kisima, anunue pump na pipe za kusupply maji, kwa kua eneo ni virgin land hukukua sana na ulazima wa mbolea na madawa mengine baada ya hapo kila mwaka angekua anaongeza eneo kulingana na faida anayopata. Asingerud hapa kulia liaEbu elezea hicho kilimo cha uhakika
Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!.
Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year.
Ila kila nikikaa machale yananicheza.
Page pendwa yangu ikawa tma.
Yes bila hiyana nikasoma kua mvua zitanyesha chini ya wastani.
Refer hapa.
Basi nikajipa moyo. Nikaendelea na process za kulima na kisha ilinyesha mvua kidogo. Tukazika mbegu shamba lote.Mvua za vuli kua chini ya wastani
Habarini wakulima wenzangu. Mimi mkulima mpya (form one) nimejiandaa haswaa na kilimo kipindi hiki kuelekea mvua za vuli. Hofu yangu kuu ni mvua kwani kilimo nilichopanga kufanya kinategemea mvua. Watu wapo site wanaissafisha pori eka za kutosha tu tena wamepiga kambi. Narudi kwenye kurasa za...www.jamiiforums.com
Ekari 30.
Tuliweka camp nikiambatana na wafanyakazi wangu wa mkataba wa 3.
Vibarua hawakukauka shambani kwangu.
Kwakweli kazi ilifanyika kwa ustadi wote.
Sikutaka kurudi mjini mpaka nione hatima ya pesa yangu ninayoizika siku hadi siku.
Huku nikipewa matumaini na wakulima wenzangu kua mvua ziko karibuni.
Siku zinakatika jua linazidi kudhoofisha mimea yangu.
Inasikitisha sana kushuhudia mimea inanifia machoni mwangu.
Nimekata tamaa.
Inasikitisha sana.
Tupe heshima wazee wa kubet, sisi hatufanyi ujinga wa kuzika pesa, kutumia nguvu nyingi bila manufaa,mimi pia ni muhanga wa ukame kwenye kilimo mwaka huu lakini niliwekeza kiasi kidogo tu cha pesa " nilichekecha" , zingine nikawekeza kubeti ,shambani kumegoma lakini huku kwenye kubeti nimerudisha hela iliyopotea shambani.Yani wewe ulienda kubet wakat kwa hio hela ulikua na uwezo wa kufanya kilimo cha uhakika
Pole sana mkuu mimi kama mkulima mwenzako naomba nikwambie kwamba hilo ni suala la kawaida kabisa. Hakuna kufanikiwa bila kuchukua risk. Usikate tamaa. Back to the arms room!Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!.
Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year.
Ila kila nikikaa machale yananicheza.
Page pendwa yangu ikawa tma.
Yes bila hiyana nikasoma kua mvua zitanyesha chini ya wastani.
Refer hapa.
Basi nikajipa moyo. Nikaendelea na process za kulima na kisha ilinyesha mvua kidogo. Tukazika mbegu shamba lote.Mvua za vuli kua chini ya wastani
Habarini wakulima wenzangu. Mimi mkulima mpya (form one) nimejiandaa haswaa na kilimo kipindi hiki kuelekea mvua za vuli. Hofu yangu kuu ni mvua kwani kilimo nilichopanga kufanya kinategemea mvua. Watu wapo site wanaissafisha pori eka za kutosha tu tena wamepiga kambi. Narudi kwenye kurasa za...www.jamiiforums.com
Ekari 30.
Tuliweka camp nikiambatana na wafanyakazi wangu wa mkataba wa 3.
Vibarua hawakukauka shambani kwangu.
Kwakweli kazi ilifanyika kwa ustadi wote.
Sikutaka kurudi mjini mpaka nione hatima ya pesa yangu ninayoizika siku hadi siku.
Huku nikipewa matumaini na wakulima wenzangu kua mvua ziko karibuni.
Siku zinakatika jua linazidi kudhoofisha mimea yangu.
Inasikitisha sana kushuhudia mimea inanifia machoni mwangu.
Nimekata tamaa.
Inasikitisha sana.
Haya maelezoo ulitakiwa kuyasema mapema mkuu, leo tatizo limetokea kwa jamaa kesho litatokea kwangu sasa ili tusiende na loop ya mambo yale yale kujirudia inabid usemwe ukweli. Asante nimejifunza kitu.Kwa hiyo hela hapo alitakiwa alime hekari zisizozid tano achimbe kisima, anunue pump na pipe za kusupply maji, kwa kua eneo ni virgin land hukukua sana na ulazima wa mbolea na madawa mengine baada ya hapo kila mwaka angekua anaongeza eneo kulingana na faida anayopata. Asingerud hapa kulia lia
Huyo kapata hela kabla ya kupata akili ndio mana amefeli kiboya sana. Bora angetafuta odds zake 2 tu. Sasa iv angekua mbali sanaTupe heshima wazee wa kubet, sisi hatufanyi ujinga wa kuzika pesa, kutumia nguvu nyingi bila manufaa,mimi pia ni muhanga wa ukame kwenye kilimo mwaka huu lakini niliwekeza kiasi kidogo tu cha pesa " nilichekecha" , zingine nikawekeza kubeti ,shambani kumegoma lakini huku kwenye kubeti nimerudisha hela iliyopotea shambani.
Na ndio sitaki tena mambo ya kulima.
Bora ukizika 10m ni Bora uweke mechanization ya plan B mvua ikigoma unafanya IRRIGATION SYSTEM..Ndio kuanza na kuanza na 10M?
Kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Asante kwa ushauri.Kwa hiyo hela hapo alitakiwa alime hekari zisizozid tano achimbe kisima, anunue pump na pipe za kusupply maji, kwa kua eneo ni virgin land hukukua sana na ulazima wa mbolea na madawa mengine baada ya hapo kila mwaka angekua anaongeza eneo kulingana na faida anayopata. Asingerud hapa kulia lia
Pole sana kwa hasara uliyopata mdau, farming is unpredictable, especially when the rains don’t follow the forecast. But don’t lose hope!Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!.
Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year.
Ila kila nikikaa machale yananicheza.
Page pendwa yangu ikawa tma.
Yes bila hiyana nikasoma kua mvua zitanyesha chini ya wastani.
Refer hapa.
Basi nikajipa moyo. Nikaendelea na process za kulima na kisha ilinyesha mvua kidogo. Tukazika mbegu shamba lote.Mvua za vuli kua chini ya wastani
Habarini wakulima wenzangu. Mimi mkulima mpya (form one) nimejiandaa haswaa na kilimo kipindi hiki kuelekea mvua za vuli. Hofu yangu kuu ni mvua kwani kilimo nilichopanga kufanya kinategemea mvua. Watu wapo site wanaissafisha pori eka za kutosha tu tena wamepiga kambi. Narudi kwenye kurasa za...www.jamiiforums.com
Ekari 30.
Tuliweka camp nikiambatana na wafanyakazi wangu wa mkataba wa 3.
Vibarua hawakukauka shambani kwangu.
Kwakweli kazi ilifanyika kwa ustadi wote.
Sikutaka kurudi mjini mpaka nione hatima ya pesa yangu ninayoizika siku hadi siku.
Huku nikipewa matumaini na wakulima wenzangu kua mvua ziko karibuni.
Siku zinakatika jua linazidi kudhoofisha mimea yangu.
Inasikitisha sana kushuhudia mimea inanifia machoni mwangu.
Nimekata tamaa.
Inasikitisha sana.