BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
- #21
Ntakucharaza bakora ๐น๐น๐น unataka kuniZalilisha mbele ya wakwe zangu akina DR Mambo Jambo๐๐๐๐ nimelewa wizo nishasahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakucharaza bakora ๐น๐น๐น unataka kuniZalilisha mbele ya wakwe zangu akina DR Mambo Jambo๐๐๐๐ nimelewa wizo nishasahau
Marahaba Dokta.Shikamooo bichwa
๐๐๐๐ tatizo wizo unajimix mwenyewe ukianza kunitishia kunipiga hogo la papuchi banaโฆ anyway sirudii tena my wizooo.Ntakucharaza bakora ๐น๐น๐น unataka kuniZalilisha mbele ya wakwe zangu akina DR Mambo Jambo
๐คฃ๐คฃ๐คฃ wizo dr mbona umemuitikia?? Kumbe unampenda ww huna loloteโฆ.. mfyuuuu!!Marahaba Dokta.
Kusalimiwa na mstaafu ni heshima mno ๐น๐น
Natengua amri yangu ya kuifuta shkamoo.
๐ ๐คฃ๐คฃ๐คฃMarahaba Dokta.
Kusalimiwa na mstaafu ni heshima mno ๐น๐น
Natengua amri yangu ya kuifuta shkamoo.
kwa wazee wa kisasa baada ya kuitikiwa salamu hiyo, ni lazima pisi irudishiwe MAMBOooow....Hivi hii salamu ya kifashisti ilitungwa na nani?
Kuna watu wamenizidi umri lakini nikiwaamkia shkamoo hawaitikii. Wanaona soo.
Kesho yake ukijiongeza ukaamua kutokumsalimia ananuna na kufura kama jinamizi. Sijui ni kwanini ati?
Mimi mwenyewe nikiambiwa shkamoo siitikii kabisa. Labda niamkiwe na vitoto vya chekechea.
Dume zima na mandevu ati shkamoo? Kivipi?
Namuagiza samia aifute hii salamu ya shkamoo mara moja katika mipaka yote ya Tanganyika. Salamu ya fedheha sana hii.
Awaelekeze Bakita watunge salamu nyingine itakayoenzi utu wa watu badala ya kusujudiana kwa mashkamoo ya hovyo hovyo.
Hogo la papuchi liko pale pale wizo. Nitakupiga nalo japo mie ni shangazii ๐น๐น๐น๐๐๐๐ tatizo wizo unajimix mwenyewe ukianza kunitishia kunipiga hogo la papuchi banaโฆ anyway sirudii tena my wizooo.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ unazingua wizoHogo la papuchi liko pale pale wizo. Nitakupiga nalo japo mie ni shangazii ๐น๐น๐น
Tena uniheshimuu mie wifi yako alaaaah
Sio kwamba tuwe Proud, pamoja na uchanga wa Lugha ya Kiswahili tumefanikiwa angalao kutunga salaam ya Kiheshima?!Hivi hii salamu ya kifashisti ilitungwa na nani?
๐น๐น๐นkwa wazee wa kisasa baada ya kuitikiwa salamu hiyo, ni lazima pisi irudishiwe MAMBOooow....
ili kusawazisha hali ya urika na kutengeneza mazingira ya kwamba uzee hakuna kati yenu....
๐น๐น๐น๐น๐คฃ๐คฃShikamoo ni sign of respect. mTu wa hovyo hovyo na shoga kama wewe obviously huthamini heshima ya jamii iliyokuzunguka
Mimi sipendi shkamoo imekaa kinafiki sanaSio kwamba tuwe Proud, pamoja na uchanga wa Lugha ya Kiswahili tumefanikiwa angalao kutunga salaam ya Kiheshima?!
Dr ni mkwe wangu wizoo, shemeji yangu ni mwanae wa tatu aliyemuoa dada yangu mzaa shangazi yanguu ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ wizo dr mbona umemuitikia?? Kumbe unampenda ww huna loloteโฆ.. mfyuuuu!!
Wahenga wote huchukia Shkamoo inayotoka kwa Wasichana warembo.Mimi sipendi shkamoo imekaa kinafiki sana
Huu utambulisho wizo sijauelewa vitawi vingi sana ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃDr ni mkwe wangu wizoo, shemeji yangu ni mwanae wa tatu aliyemuoa dada yangu mzaa shangazi yanguu ๐
Mpige hogo la papuchi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ