Shikamoo ni lazima? Unaninyima nini?

kwa wazee wa kisasa baada ya kuitikiwa salamu hiyo, ni lazima pisi irudishiwe MAMBOooow....

ili kusawazisha hali ya urika na kutengeneza mazingira ya kwamba uzee hakuna kati yenu....
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tatizo wizo unajimix mwenyewe ukianza kunitishia kunipiga hogo la papuchi bana… anyway sirudii tena my wizooo.
Hogo la papuchi liko pale pale wizo. Nitakupiga nalo japo mie ni shangazii 😹😹😹

Tena uniheshimuu mie wifi yako alaaaah
 
kwa wazee wa kisasa baada ya kuitikiwa salamu hiyo, ni lazima pisi irudishiwe MAMBOooow....

ili kusawazisha hali ya urika na kutengeneza mazingira ya kwamba uzee hakuna kati yenu....
😹😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…