Shikamoo ni salamu ya ovyo

Umetumia lugha chafu sn na kweli umeonesha jinsi usivyo na adabu. Yani mama wa watu tena mtu mzima unamuita "kimama". Kizazi hiki laana tupu. Vipi angekuwa mama yako ndo anaitwa"kimama" utajiskiaje.
Inategemea na yeye aliniingia vipi, angeniheshimu ningemuheshimu pia, huwezi mvunjia mtu heshma kisa ww mkubwa
 
Yaan nlipokuwa nasoma adv kuna walimu wa kik walikuwa hawaitikii shkamoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaona una wachoresha, eti "shikamoo " na midevu yako [emoji23]
 
Wewe pia una support hii salamu ya hovyo ?
 
"Shikamoo pesa"

Uislam raha sana.


Asalaam Alaikum, haina mkubwa kwa mdogo wala mdogo kwa mkubwa. Haina mwanamke kwa mwanamme wala mwanamme kwa Mwanamke.
Hata " habari za saa hizi/jioni/ asubuhi" haina pia
 
Basi tumia: Hello, How U Doing? Kama hawakuelewi tumia: Hi, Dude!
Wakishanga tena na hiyo, waamkie hivi: whatsup, mother f....ker?
[emoji23][emoji23] sio bure kuna aina flani ya majani unatumiaga
 
Salamu ya kutakiana amani ambay haibagui umri unaeza mtolea mtu yyt awe mkubw wako au hata mdg wako mmeikataa. Pambaneni
 
Kuna nchi nilikuwa sasa jamaa wa huko ana hamu kinoma ya kujua kiswahili sasa akakariri kwamba shkamoo ni salamu kwa yeyote. Yule jamaa mkubwa kuliko mimi ila akiniona tu anakimbilia kusema SHKAMOO... Nikawa nakwepa kupita hata maeneo anayokaa.
 
Mtoto wa miaka kumi akikusalimia 'habari yako'' au akasema 'hello'ni sahihi?

Mimi naona kama ni dharau
Ni sahihi ila tatizo ni mind set yako imejengeka kuwa shikamoo ndo heshima
 
Mimi kuna kimoja kiliniletea miyeyusho kwenye bajaji kisa shikamoo
 
Mimi ndo nipo kwenye umri huo mkuu basi ni mtihani kweli kumjua wa kumpa shikamoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…