Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Sasa wewe unaona yule punga kadinda anaweza kununua BMW nitajie wasanii wawili unaowafahamu toka umezaliwa sanaa imewapatia BMW hana kazi anayoweza fanya akapata hela ya kununulia BMW acha ushabiki maandazi we unaamini maandishi BMW sio Samsung Galaxy kwamba mda wote utashinda Instagram
Hhhhhaaaaaaaa waliringa waleee
Naona wewe ndiye msemaji wake...kwa hiyo kama ananikera nisiseme au?freedom of speech bwana
Sasa hivi saasaa ni sheedaaaah....
Zamu kwa zamu kwiii kwiiii
Nami nimelilenga kwako maana wewe ndio uliosema kuwa muanzisha uzi angeshalima hizo hekta, lengo langu lilikuwa tubakie kwenye mada na ikiwezekana wenye ushahidi wa hao wakina Kadinda kuhusu hilo gari waweke hili mweka uzi aproviwe wrong au right na watu jamvini.
Ndo akili za masupa staa...marafiki wamekimbia..
Inashangaza eti kaka meneja muwe mnakua nyie mabinti wa kibongo shauri zenu ukiita mameneja kakaako atatoka kweli
Ushahidi gani wautaka, kadi hiyo Wema ndo mmliki halali
watu mlianza atapewa nini akapewa gari mkasema kadi iko wapi
kadi mkaonyeshwa, mkasema mnataka jina sio lake jina tumewapa...
sa hivi Martin hawezi na kweli kaka wa watu ka admit asingeweza yeye mwenyewe
sa sielewi ushahidi gani mwataka... alivotoa ela kwenda kununua gari????????????
Nashukuru kwa ushahidi ulioweka nami natumai zawadi hiyo ni nguvu ya Wema,Kadinda na team Wema.Mjini hakuitaji jembe wala shoka mjini akili tu.
Ushahidi gani wautaka, kadi hiyo Wema ndo mmliki halali
watu mlianza atapewa nini akapewa gari mkasema kadi iko wapi
kadi mkaonyeshwa, mkasema mnataka jina sio lake jina tumewapa...
sa hivi Martin hawezi na kweli kaka wa watu ka admit asingeweza yeye mwenyewe
sa sielewi ushahidi gani mwataka... alivotoa ela kwenda kununua gari????????????
At least you have appreciated.......
Kwa biashara gani wanayofanya siwezi kukubali labda shukrani ya mkongomani kakaako meneja si kuwadi wakutumainiwa mjini hapa muulize Lulu
Naomba picha yenye full details hata bajaj zinamiliki hiyo kadi samahani lakini
Alishawahi kumkuwadia dada ako???
Wote tukiwa siasani malimbukeni kama nyinyi si mtapotea kabisa mana mama zenu wameshindwa kuwafunza tuacheni walimwengu tuwape funzo kiroho safiwe uliekua ungekua siasani japo ujadili namna gani tutapata katiba bora
ila ulivyo mmbea ukaja kukaa huku....