Shikamoo wasanii wa bongo, naomba mnijibu maswali yangu

Shikamoo wasanii wa bongo, naomba mnijibu maswali yangu

Status
Not open for further replies.
Sasa wewe unaona yule punga kadinda anaweza kununua BMW nitajie wasanii wawili unaowafahamu toka umezaliwa sanaa imewapatia BMW hana kazi anayoweza fanya akapata hela ya kununulia BMW acha ushabiki maandazi we unaamini maandishi BMW sio Samsung Galaxy kwamba mda wote utashinda Instagram

Kwani we unaonaje soma mara mbili huo ujumbe sio kukurupuka..............,
keshasema yeye mwenyewe asingeweza kuna msaada kaupata ndio gari likanunulika......

Na bmw inategemea ya mwaka gani, mwisho wa siku ukweli utajulikana
tatizo waja mna haraka
 
Nami nimelilenga kwako maana wewe ndio uliosema kuwa muanzisha uzi angeshalima hizo hekta, lengo langu lilikuwa tubakie kwenye mada na ikiwezekana wenye ushahidi wa hao wakina Kadinda kuhusu hilo gari waweke hili mweka uzi aproviwe wrong au right na watu jamvini.

Ushahidi gani wautaka, kadi hiyo Wema ndo mmliki halali
watu mlianza atapewa nini akapewa gari mkasema kadi iko wapi
kadi mkaonyeshwa, mkasema mnataka jina sio lake jina tumewapa...
sa hivi Martin hawezi na kweli kaka wa watu ka admit asingeweza yeye mwenyewe
sa sielewi ushahidi gani mwataka... alivotoa ela kwenda kununua gari????????????

attachment.php
 
Inashangaza eti kaka meneja muwe mnakua nyie mabinti wa kibongo shauri zenu ukiita mameneja kakaako atatoka kweli

we uliekua ungekua siasani japo ujadili namna gani tutapata katiba bora
ila ulivyo mmbea ukaja kukaa huku....
 
Ushahidi gani wautaka, kadi hiyo Wema ndo mmliki halali
watu mlianza atapewa nini akapewa gari mkasema kadi iko wapi
kadi mkaonyeshwa, mkasema mnataka jina sio lake jina tumewapa...
sa hivi Martin hawezi na kweli kaka wa watu ka admit asingeweza yeye mwenyewe
sa sielewi ushahidi gani mwataka... alivotoa ela kwenda kununua gari????????????

attachment.php

Nashukuru kwa ushahidi ulioweka nami natumai zawadi hiyo ni nguvu ya Wema,Kadinda na team Wema.Mjini hakuitaji jembe wala shoka mjini akili tu.
 
Ushahidi gani wautaka, kadi hiyo Wema ndo mmliki halali
watu mlianza atapewa nini akapewa gari mkasema kadi iko wapi
kadi mkaonyeshwa, mkasema mnataka jina sio lake jina tumewapa...
sa hivi Martin hawezi na kweli kaka wa watu ka admit asingeweza yeye mwenyewe
sa sielewi ushahidi gani mwataka... alivotoa ela kwenda kununua gari????????????

attachment.php

Naomba picha yenye full details hata bajaj zinamiliki hiyo kadi samahani lakini
 
Aisee,hili jukwaa kila siku kuna ligi...tena tamu kwelikweli Dinazarde I hop unafuatilia kimyakimya siku hizi lolowapi anakuogopa namuona kwa nadra sana nimeimiss ligi yenu jamani...
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom